Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla
 
Miaka ile ilisemwa hivyo.

Ikasemwa pia kati ya wale vijana wawili wa Diana mmoja ni wa nje, utofauti wa nywele wenyewe walisema.

Yule kijana alikuwa ametengwa, na mpaka akaamua kuoa mmarekani mweusi, na akatafuta maisha yake nje ya kasri

Ni majuzi tu walisema vizuri na Malkia.

Haya na huyu mme wa Diana naye alikuwa na jimama Camilla, likasogea na ndo kilizidi kumchanganya Diana.

Duuuu, nimeandika hata swali lako silikumbuki, I'll be back
 
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi yani Royal family inakuja kuletewa aibu mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza, wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muhafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla
Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.

Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!.

Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.

P
 
FB_IMG_16627014516935724.jpg
 
Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.

P
Tupe mwanga mkuu
 
Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.

P
Mkuu tulia nyumbani, jina lako tunalipitia kwenye ile nafasi, muda wowote Shaka atataja majina muende mjengoni kuomba kura za wabunge.

Huu ni muda wa kupambana na fitina za ndani na kujipitishapitisha.
 
Habari yako ndugu,

Pongezi kwa nakala nzuri yenye mawaidha na tija kwa jamii. Hakiki kila mmoja ni kioo cha jamii yake.

Ndugu, nikiamini katika uchakataji wako wa mambo na uwezo wako wa fikra na ubunifu, naomba ukipendezwa, nipate kura, mawazo au mapendekezo yako juu ya nakala ihusuyo:-


Ahsante!!
Mshaanza mambo yenu, si mna jukwaa lenu huko la kugombea hizo million 5 za Max?
 
Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.

P
Mkuu tupe somo kidogo kwa msaada kma mimi wakati uwo hata ckuwepo dunian nipo 33yrs wala ckusoma lakin habari kma hizi ni nzuri plz plz tupe kidogo ukweli wa mamboz
 
Si ndio yaliyopo,yapo sio umbea!
Yes ni kweli haya mambo yalitokea, ila pia kuna umri na umri wa kusema vitu na vitu, enzi tukiwa vijana, ikitokea issue wewe umemjaza beki3 wenu, ni news ni story, tutasema, hivyo wakati hayo yanatokea I was young ningesema. Now nikisikia wewe umemjaza beki 3 wenu, mimi babu going to 60!, nitathubutu kweli kusema?!.

Hako kabinti kalijazwa, taarifa zikafika ukoo wa kifalme, hivyo binti mama wa mflme ajae, ajazwe nje, na kijana wa Kiarabu, Muislamu!, katoto kazaliwe!, if anything happens kwa kaka zake wawili, katoto ka mwanaharamu hako, kanatawazwa kuwa kafalme!, that will never happen in England!, ikaamuliwa, she and her issue, they both had to go, na aliyesababisha!, they eventually well taken care of!. Story za namna hii, mimi at around 60!, they are not for me to say!. Stories zangu za sasa, ni ikiwa nitachaguliwa EALA, ni agenda gani?, nitakwenda kuifanyia nini Tanzania etc, vitu kama hivyo, na sio kueleza kama mwanamke fulani ana kamzigo ka fulani as if ni mimi niliwashikia mguu wakati wa kuingiza hako kamzigo!.
P
 
Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.

P
Wacha weeeeeeeee hahahahhaa
 
Back
Top Bottom