Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Vipi kama alikuwa kashauza hizo siri tayari?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Kabla ya kifo chake aliongea kidogo kwa TV wakati akihojiwa na mwanahabari maarufu Martin Bashir, hio tu ilionesha kuwa anataka kutoa siri nyingi ,kipindi hicho alikua na mpenzi mpakistan Dr. Hasnat Khan hadi mwishoni wa 1996..Summer 1997 aliondoka na mpenzi wake Doddy Al Fayed kwenda holiday South of France hadi Paris ilioenda hadi kwenye ajali. Nchi za wenzetu uwa wakiamua kunyamazisha kitu hawaachagi hata punje... wale wote walioshudia kwa ukaribu ile ajali wengi wao ni marehemu sasa hivi. Walio nusa nusa hizo siri wamenyamazishwa kabisaaa kuanzia baba yake Dodi Al Fayed hadi huyo aliemhoji kwa TV. Kaka yake Princess Diana akiitwa Early Spencer nae alitaka kuanza kuongea, alifungiwa pesa yake ya kutosha akahama UK, siku hizi anaishi Cape Town , SA. Kuna mmoja alikua kama msaidizi wa Princess Diana, yeye aliongea kidogo tu wakamzushia kesi akadivorce ilibidi ahamie US.... yule waziri wa ulinzi nae kumbe alitoka jela yupo low profile kawa pasta wa kanisa.......
 
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla
Sidhani kama Princess wakati anafariki alikuwa na mimba, ila alikuwa na uwezekano wa kupata.

Lingine baba wa yule kijana kutokufahamika mpaka leo,

Hata yule mwalimu wa farasi alisema siyo, kwamba ana date na princess yule mtoto alikuwa tayari anatembea.

Japo ni kama aligoma DNA, hapo ni baada ya princess kufariki
 
fun fact...

kuna babu yake Lady D alikuwa na mke ambaye ni Native American (Red Indian)! alikuwa na heritage ya Kimarekani pia.
 
Back
Top Bottom