Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Mimi ni Mhe. Mbunge Mtarajiwa wa EALA, hivyo lazima nianze kuongea kiheshimiwa heshimiwa na kuleta vitu vya heshima kibunge bunge tuu! na sio vitu vya hovyo hovyo!.
P
Tunaelekea kwenye E-perliament, ni bunge la smart phone vishikumbi na sio yale mabunge ya mikoba!.sawa mbunge mtarajiwa,
usinisahau kwenye ufalme wako niwe nabeba mikomba yako mkuu.
Siri za mule ndani kuvuja mpka sisi watu kutoka kwa mpalange , mwanalumango, kwa bibi njau tujue ?? Mmmmmh sio kweli ni story tuWakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.
Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?
Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.
Cc: Pascal Mayalla
Huo ni uongo mkubwa wa mchana kweupe wa tabloid ya Daily Mail. The royal families zote duniani zina mtindo wa ku keep close ties, ukiolewa na kutalikiwa unahesabika kama an outcast, sio kweli kuwa alizikwa wanakozikwa mbwa bali Diana ni Spenser hivyo alizikwa makaburi ya Spencer chembers na sio inner chambers kwasababu tayari alikuwa smeishaondoka rasmi nyumbani kwa kuolewa, hivyo sio Spenser na ni mtalaka!.Kuna tetesi zingine kuwa Diana alizikwa eneo la makaburi wanakozikwa mbwa wakifa wa wafalme na malkia wa Uingereza
Hilo vipi?
Nikiukwaa mimi nitakuwa ni mbunge wa jf!.Ehh we jamaa wa drive in magorofani
Mbona ushaanza tamboo mapema
Ukishaukwea ubunge hutoonekana humu
Cc:shonza
Ova
Mimi nakuombea Kwa dhati upate hii nafasi, wasiwasi wangu ni wapiga kura tu ambao ndio hawa waliopitisha tozo bungeni bila hata kujuwa wanapitisha nini.Nikiukwaa mimi nitakuwa ni mbunge wa jf!.
P
Kumbe kifo cha khashoggi ni zaidi ya tukijuavyo. Mtu anauwawa ubalozini wakati huohuo ana historia ndefu na viunga vya malikia na wafalmeDoddy Al Fayed aliekua mpenzi wa Princess Diana, hakua mpakistani alikua ni mwarabu wa Misri. Baba yake Mohamed Al Fayed alikua ni tajiri mkubwa sana hapo London akimiliki Duka la Vitu vya bei mbaya la " The Harrods" lipo mitaa ya Knightsbridge na Kensington. Pia alikua ndio mmiliki wa Hotels za Ritz London na Paris na timu ya Fulham kabla hajaiuza kwa mmiliki wa sasa. Siku ajali inatokea hao wapenzi walikua wametokea kwenye hio hotel ya baba yake ya The Ritz Paris. Mohamed Al Fayed alikua na connection na utawala wa Uingereza kwa hio ilikua rahisi kwa mtoto wake Doddy kumpata Diana. Yeye na shemeji yake marehemu Adnan Khashoggi ndio waliokua middlemen wa kuuza silaha za Uingereza duniani. Adnan Khashoggi alikua ni baba mdogo wa yule mwandishi wa Saudi Arabia alieuawa kwenye ubalozi kule Istanbul Turkey. ni familia ya kitajiri yenye uhusiano na ufalme wa Saudi Arabia.... nitarudi ili nieleze ukitaka kitu chochote lazima uwe na connection.
Na siku zote mwanahabari hanyamazi mwenyewe bali hunyamazishwa.Ninasali sana Mungu anifundishe kunyamaza!.
P
Mkuu Matola, usikute mimi kukosa ndio mpango wa Mungu. Kuna vitu vingine ni blessing in disguise!.Mimi nakuombea Kwa dhati upate hii nafasi, wasiwasi wangu ni wapiga kura tu ambao ndio hawa waliopitisha tozo bungeni bila hata kujuwa wanapitisha nini.
Sina imani na hawa wabunge wa Ccm hasa ukifuatilia jinsi walivyopatikana ni ubatili mtupu.
Namshukuru Mungu, nimemaliza utumishi wangu wa miaka 30 ndani ya sekta habari salama usalmini bila kunyamazishwa!. RIP waandishi wenzangu wa habari, who were not so fortunate as me, ambao walinyamazishwa. Waandishi wa Habari na Kupotea/Vifo vya Kutatanisha, Toka Katabalo, Saanane, Gwanda, Mwangosi, Isango. Ni Ama Tuombe Mungu Atunusuru ama...Na siku zote mwanahabari hanyamazi mwenyewe bali hunyamazishwa.
Ccm ni chama cha washirikina, wala Mungu hausiki na michakato ya Ccm.Mkuu Matola, usikute mimi kukosa ndio mpango wa Mungu. Kuna vitu vingine ni blessing in disguise!.
P
Basikia aliuawa na wasiojulikanaWakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.
Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?
Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.
Cc: Pascal Mayalla
Ukifa utajua!Mtu akifa anawezaje kumsubiri mwingine ?
Mkuu Matola , haijalishi ni mbinu gani mtu ametumia kuupata uongozi, iwe ni kwa kuhonga, kugawa, kwa kutumia nguvu za giza, ushirikina, sangoma or just a technical know who, the end justify the means, anayepata ni Mungu anawezesha, ni Mungu ndiye anaweka serikali za mataifa hata kama zimeingia kwa hila, udhalimu au bao la mkono, ukishinda ni Mungu, na ukikosa pia ni Mungu!.Ccm ni chama cha washirikina, wala Mungu hausiki na michakato ya Ccm.
Niliyapitia majina ya waliopitushwa, kiukweli kabisa wamenizidi sana kwa sifa!. EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!Hao waliopitishwa hakuna hata mmoja anayekuzidi jina wala sofa, wewe si mwenzao.
Naomba kuheshimu mawazo yako Ila sikubaliani nayo!. CCM sio kikundi cha kigaidi, ila Tanzania vikundi vya kigaidi vipo na vinajulikana!. CCM ndio chama pekee cha siasa nchini Tanzania hivyo kitaendelea kutawala for a long long time, probably milele, hadi watoto wetu na watoto wa watoto wetu waje waanzishe chama mbadala. Kwa sasa Tanzania hivi tulivyo Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.Ccm siyo chama cha siasa, ni kikundi cha kigaidi tu.
Vipi kama alikuwa kashauza hizo siri tayari?Mbona mnamkomalia sana bibi wa watu?
Kifo cha Princess Diana kilipangwa, maana hawakutaka kuona mkwe wao anaeda kuolewa na Dodi, mbaya zaidi ni kuwa Princess Diana anajua siri za UK hivyo waliona huyu anaweza akauza ramani huko kwa Dodi.
Wakamnyamazisha chap.
Umamkumbuka Marilyn Monroe
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.
Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?
Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.
Cc: Pascal Mayalla
Sorry, huu utakuwa ni umbea!.
P
Diana alievuka mstari mwekundu the only solution was to eliminate her,Dereva alikuwa kalewa. Anaingia kwenye tunnel kwa speed ya 110km/h. Kwenye ule tunnel unatakiwa uingie kwa 30km/h na uendeshe kwa speed hiyo mpaka utoke kwenye hiyo tunnel ya 200m.Wakati gari inatolewa meter ilisoma 196km/h. Walioshuhudia wanasema gari iliendeshwa between 145km/h-196km/hr. Diana na Dod walikuwa hawajafunga mikanda. Aliefunga mkanda ni yule mlinzi wao na alipona.Hakuna cha ujasusi. Unataka kusema dereva alipewa hela ili asababishe ajali na yeye afe humo humo ?Yaani kwa jinsi Diana alivyokuwa anafuatiliwa na paparazi kipindi kile,ile ilikuwa ni ajali tu.