Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth II, je tunaweza kufungua codes za kifo cha Princess Diana?

Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla
Siri za mule ndani kuvuja mpka sisi watu kutoka kwa mpalange , mwanalumango, kwa bibi njau tujue ?? Mmmmmh sio kweli ni story tu
 
Kuna tetesi zingine kuwa Diana alizikwa eneo la makaburi wanakozikwa mbwa wakifa wa wafalme na malkia wa Uingereza

Hilo vipi?
Huo ni uongo mkubwa wa mchana kweupe wa tabloid ya Daily Mail. The royal families zote duniani zina mtindo wa ku keep close ties, ukiolewa na kutalikiwa unahesabika kama an outcast, sio kweli kuwa alizikwa wanakozikwa mbwa bali Diana ni Spenser hivyo alizikwa makaburi ya Spencer chembers na sio inner chambers kwasababu tayari alikuwa smeishaondoka rasmi nyumbani kwa kuolewa, hivyo sio Spenser na ni mtalaka!.
P
 
Nikiukwaa mimi nitakuwa ni mbunge wa jf!.
P
Mimi nakuombea Kwa dhati upate hii nafasi, wasiwasi wangu ni wapiga kura tu ambao ndio hawa waliopitisha tozo bungeni bila hata kujuwa wanapitisha nini.

Sina imani na hawa wabunge wa Ccm hasa ukifuatilia jinsi walivyopatikana ni ubatili mtupu.
 
Doddy Al Fayed aliekua mpenzi wa Princess Diana, hakua mpakistani alikua ni mwarabu wa Misri. Baba yake Mohamed Al Fayed alikua ni tajiri mkubwa sana hapo London akimiliki Duka la Vitu vya bei mbaya la " The Harrods" lipo mitaa ya Knightsbridge na Kensington. Pia alikua ndio mmiliki wa Hotels za Ritz London na Paris na timu ya Fulham kabla hajaiuza kwa mmiliki wa sasa. Siku ajali inatokea hao wapenzi walikua wametokea kwenye hio hotel ya baba yake ya The Ritz Paris. Mohamed Al Fayed alikua na connection na utawala wa Uingereza kwa hio ilikua rahisi kwa mtoto wake Doddy kumpata Diana. Yeye na shemeji yake marehemu Adnan Khashoggi ndio waliokua middlemen wa kuuza silaha za Uingereza duniani. Adnan Khashoggi alikua ni baba mdogo wa yule mwandishi wa Saudi Arabia alieuawa kwenye ubalozi kule Istanbul Turkey. ni familia ya kitajiri yenye uhusiano na ufalme wa Saudi Arabia.... nitarudi ili nieleze ukitaka kitu chochote lazima uwe na connection.
Kumbe kifo cha khashoggi ni zaidi ya tukijuavyo. Mtu anauwawa ubalozini wakati huohuo ana historia ndefu na viunga vya malikia na wafalme
😮😮😮😮 bila shaka kuna jambo alilinyaka(tofauti na tunavyo elezwa) na halikuoaswa liende public
 
Mimi nakuombea Kwa dhati upate hii nafasi, wasiwasi wangu ni wapiga kura tu ambao ndio hawa waliopitisha tozo bungeni bila hata kujuwa wanapitisha nini.

Sina imani na hawa wabunge wa Ccm hasa ukifuatilia jinsi walivyopatikana ni ubatili mtupu.
Mkuu Matola, usikute mimi kukosa ndio mpango wa Mungu. Kuna vitu vingine ni blessing in disguise!.
P
 
Mkuu Matola, usikute mimi kukosa ndio mpango wa Mungu. Kuna vitu vingine ni blessing in disguise!.
P
Ccm ni chama cha washirikina, wala Mungu hausiki na michakato ya Ccm.

Hao waliopitishwa hakuna hata mmoja anayekuzidi jina wala sofa, wewe si mwenzao.

Kawe ulipata fursa ya kugombea kura za maoni Kwa sababu utaratibu wa mchujo unafanyika baada ya kura kupigwa.

Angalia uchaguzi wa Ccm ngazi ya wilaya na mkoa watakavyokatana majina ya wagombea na watakaoshinda utakuja kuamini hiki ninachoandika Ccm siyo chama cha siasa, ni kikundi cha kigaidi tu.
 
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla
Basikia aliuawa na wasiojulikana
Alikuwa mjamzito wa mwarabu
 
Ccm ni chama cha washirikina, wala Mungu hausiki na michakato ya Ccm.
Mkuu Matola , haijalishi ni mbinu gani mtu ametumia kuupata uongozi, iwe ni kwa kuhonga, kugawa, kwa kutumia nguvu za giza, ushirikina, sangoma or just a technical know who, the end justify the means, anayepata ni Mungu anawezesha, ni Mungu ndiye anaweka serikali za mataifa hata kama zimeingia kwa hila, udhalimu au bao la mkono, ukishinda ni Mungu, na ukikosa pia ni Mungu!.
Hao waliopitishwa hakuna hata mmoja anayekuzidi jina wala sofa, wewe si mwenzao.
Niliyapitia majina ya waliopitushwa, kiukweli kabisa wamenizidi sana kwa sifa!. EALA: Waliopitishwa CCM, ni Kwa Haki!, Tulioachwa ni kwa Haki, Tumezidiwa Vigezo!. Thanks4 for Support, Nimekubali Matokeo Kiroho Safi! Kazi Iendelee!
Ccm siyo chama cha siasa, ni kikundi cha kigaidi tu.
Naomba kuheshimu mawazo yako Ila sikubaliani nayo!. CCM sio kikundi cha kigaidi, ila Tanzania vikundi vya kigaidi vipo na vinajulikana!. CCM ndio chama pekee cha siasa nchini Tanzania hivyo kitaendelea kutawala for a long long time, probably milele, hadi watoto wetu na watoto wa watoto wetu waje waanzishe chama mbadala. Kwa sasa Tanzania hivi tulivyo Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.

Sababu inayokifanya CCM kutawala Tanzania milele ni kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola!
P
 
Mbona mnamkomalia sana bibi wa watu?
Kifo cha Princess Diana kilipangwa, maana hawakutaka kuona mkwe wao anaeda kuolewa na Dodi, mbaya zaidi ni kuwa Princess Diana anajua siri za UK hivyo waliona huyu anaweza akauza ramani huko kwa Dodi.
Wakamnyamazisha chap.
Umamkumbuka Marilyn Monroe
Vipi kama alikuwa kashauza hizo siri tayari?

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu mtakumbuka kuna tetesi na longolongo nyingi zilihusishwa na kifo cha Princess Diana kwamba kilipangwa, na sababu ni kwamba Princess Diana Mke wa Prince Charles alikuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtoto wa tajiri Dodi ambaye ni jamii ya wahindi wa Pakistani kama sikosei na pia ni waislamu.

Tetesi za ndani kabisa zikadai Princess Diana alikuwa tayari na mimba ya Dodi, yaani Royal family inakuja kuletewa aibu ya mtoto muhindi halafu muislamu then ile damu kuna siku itakuja kutawala Uingereza. Wale wakata umeme wa UK wakasema haiwezekani, ndio siri ya ile ajari Paris iliyochukuwa maisha ya Princess Diana na mimba yake ya muhindi?

Nimechokoza hii mada wakati muafaka ili wajuzi mtudadavulie vizuri ukweli uwekwe wazi.

Cc: Pascal Mayalla

Umeshindwa kufungua za Ben Unapambama na yasiyokuhusu
 
Dereva alikuwa kalewa. Anaingia kwenye tunnel kwa speed ya 110km/h. Kwenye ule tunnel unatakiwa uingie kwa 30km/h na uendeshe kwa speed hiyo mpaka utoke kwenye hiyo tunnel ya 200m.Wakati gari inatolewa meter ilisoma 196km/h. Walioshuhudia wanasema gari iliendeshwa between 145km/h-196km/hr. Diana na Dod walikuwa hawajafunga mikanda. Aliefunga mkanda ni yule mlinzi wao na alipona.Hakuna cha ujasusi. Unataka kusema dereva alipewa hela ili asababishe ajali na yeye afe humo humo ?Yaani kwa jinsi Diana alivyokuwa anafuatiliwa na paparazi kipindi kile,ile ilikuwa ni ajali tu.
Diana alievuka mstari mwekundu the only solution was to eliminate her,

Ingetosha tu kuwa na mahusiano ya kimapenzi na yule mwarabu lkn alipoamua kubeba na mimba yake aliingiza kiganja chake kwenye mdomo wa Simba.
 
Back
Top Bottom