Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Watajuana huko kwenye ulimwengu wa giza.Mtu akifa anawezaje kumsubiri mwingine ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watajuana huko kwenye ulimwengu wa giza.Mtu akifa anawezaje kumsubiri mwingine ?
Dah! Fanya ata kwa code watu tupasue vichwa.Sorry, huu utakuwa ni umbea!.
P
Weka weka mboga mboga mkuu, unga kabisa ilo supu tukuelewe vizuri.Watajuana huko kwenye ulimwengu wa giza.
Mbona ulikuwepo Princess D akifanya yake...acha kujilisha chumvi nyingi.Mkuu tupe somo kidogo kwa msaada kma mimi wakati uwo hata ckuwepo dunian nipo 33yrs wala ckusoma lakin habari kma hizi ni nzuri plz plz tupe kidogo ukweli wa mamboz
Kwenye ubora wako mkuuMkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.
P
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu tulia nyumbani, jina lako tunalipitia kwenye ile nafasi, muda wowote Shaka atataja majina muende mjengoni kuomba kura za wabunge.
Huu ni muda wa kupambana na fitina za ndani na kujipitishapitisha.
Hahaha... hapo kwenye utakwenda kuifanyia nini Tanzania. Naona tu asali ikilambwa.Yes ni kweli haya mambo yalitokea, ila pia kuna umri na umri wa kusema vitu na vitu, enzi tukiwa vijana, ikitokea issue wewe umemjaza beki3 wenu, ni news ni story, tutasema, hivyo wakati hayo yanatokea I was young ningesema. Now nikisikia wewe umemjaza beki 3 wenu, mimi babu going to 60!, nitathubutu kweli kusema?!.
Hako kabinti kalijazwa, taarifa zikafika ukoo wa kifalme, hivyo binti mama wa mflme ajae, ajazwe nje, na kijana wa Kiarabu, Muislamu!, katoto kazaliwe!, if anything happens kwa kaka zake wawili, katoto ka mwanaharamu hako, kanatawazwa kuwa kafalme!, that will never happen in England!, ikaamuliwa, she and her issue, they both had to go, na aliyesababisha!, they eventually well taken care of!. Story za namna hii, mimi at around 60!, they are not for me to say!. Stories zangu za sasa, ni ikiwa nitachaguliwa EALA, ni agenda gani?, nitakwenda kuifanyia nini Tanzania etc, vitu kama hivyo, na sio kueleza kama mwanamke fulani ana kamzigo ka fulani as if ni mimi niliwashikia mguu wakati wa kuingiza hako kamzigo!.
P
Kile kifo cha kina Diana hakikua ajali ya kawaida. Kumbuka karibu watu wote waliokishuhudia sasa hivi ni marehemu, MI6 ilikua kazini. Kutokana na Mohamed Al Fayed kua karibu sana na viongozi wengi wa serikali ya uingereza kuna kipindi alitaka kumwaga mboga kuhusu kifo cha mtoto wake ila alionywa akijaribu kufanya hivyo ndio umasikini utakua umemtembelea. Marehemu Adnan Khashoggi na Mohamed Al Fayed walikua ni mtu na shemeji yake maana mke wa kwanza wa Mohamed Al Fayed ambae alikua mama mzazi wa Doddy Al Fayed akiitwa Samira alikua ni mdogo wake Khashoggi. Ukaribu wao na circle nzima ya serikali ya Uingereza ulikua mkubwa sana kwa hio siri nyingi walikua wanazijua. Al Fayed aliahidi angeiuza story yote ya ile ajali lakini baada kubanwa kuhusu biashara zake alikaa kimya mpaka hii leo hasikiki kabisa. Adnan Khashoggi alifariki kwenye mjengo wake hapo London kwa kifo cha utatanishi sana na mke wake wa kwanza aliolewa na aliekua waziri wa ulinzi wa serikali ya Waziri mkuu- John Major akiitwa Jonathan Aitken ambae nae alisingiziwa kesi akafungwa jela sijui kama alitoka au vipi, kama alitoka atakua yupo low profile. Kuna jamaa mwingine mpakistan aliwahi kua mpenzi wa Diana aliitwa Dr. Hasnat Khan aliweza kumpeleka Diana hadi Pakistan kuonana na familia yake lakini waliachana ndio akaibuka Doddy Al Fayed waliokuja kufa nae kwenye ajali ile ya Alma tunnel pale Paris... connection.Kwanza Dod alikuwa mwarabu wa asili ya Misri. Pili kile kifo ni ajali .Though kusema ukweli malkia Eliza alimuumiza sana Di. Yaani huko kuzimu Lady Di atakuwa anamsubiri Eliza kwa hasira kama zote. Ila jokes a side Charles 111 hatakaa sana kwenye huu ufalme. Naona kama ataugua Alzheimer soon,alimtesa sana Diana kwenye ndoa yao.
Loyal famili ndo ipi?dah ...iyo loyal family tabia zao sio ....scandal nying za ajabu
Kukaa kimya nalo pia ni jibu.......unapenda sifa sana mkuu wewe ni muhaya?Mkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.
P
Upate fedha utie miguu huko tutapenda updates za mara kwa mara za mwana jf mwenzetu. Be the first to knowMkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.
P
Nikajua nyege zinatupeleka vibaya siku hz,kumbe toka kitambo huko watu wanafanya ya hovyo pamoja na kuwa na nyazifa zao kubwa.Miaka ile ilisemwa hivyo.
Ikasemwa pia kati ya wale vijana wawili wa Diana mmoja ni wa nje, utofauti wa nywele wenyewe walisema.
Yule kijana alikuwa ametengwa, na mpaka akaamua kuoa mmarekani mweusi, na akatafuta maisha yake nje ya kasri
Ni majuzi tu walisema vizuri na Malkia.
Haya na huyu mme wa Diana naye alikuwa na jimama Camilla, likasogea na ndo kilizidi kumchanganya Diana.
Duuuu, nimeandika hata swali lako silikumbuki, I'll be back
Ni Pascal Mayalla pekee yake ndiyo anaujuwa,ukweli wa kifo cha Diana na doddy mzeeKukaa kimya nalo pia ni jibu.......unapenda sifa sana mkuu wewe ni muhaya?
Ninasali sana Mungu anifundishe kunyamaza!.Kukaa kimya nalo pia ni jibu.......unapenda sifa sana mkuu wewe ni muhaya?
Jibu la mitego mitego.Nikajua nyege zinatupeleka vibaya siku hz,kumbe toka kitambo huko watu wanafanya ya hovyo pamoja na kuwa na nyazifa zao kubwa.
Kuna wakati huwa naamini kunyanduana sio dhambi ni baraka haijarishi unanyanduana na nani ukiachana na wazazi wako au ndugu zako wa damu
Ilikuwa ni ajali. Kwa speed ile ya benz ilikuwa ni ngumu kupona. Na mind you that Diana hakufa palepale. Diana alifia hospitalini.Kile kifo cha kina Diana hakikua ajali ya kawaida. Kumbuka karibu watu wote waliokishuhudia sasa hivi ni marehemu, MI6 ilikua kazini. Kutokana na Mohamed Al Fayed kua karibu sana na viongozi wengi wa serikali ya uingereza kuna kipindi alitaka kumwaga mboga kuhusu kifo cha mtoto wake ila alionywa akijaribu kufanya hivyo ndio umasikini utakua umemtembelea. Marehemu Adnan Khashoggi na Mohamed Al Fayed walikua ni mtu na shemeji yake maana mke wa kwanza wa Mohamed Al Fayed ambae alikua mama mzazi wa Doddy Al Fayed akiitwa Samira alikua ni mdogo wake Khashoggi. Ukaribu wao na circle nzima ya serikali ya Uingereza ulikua mkubwa sana kwa hio siri nyingi walikua wanazijua. Al Fayed aliahidi angeiuza story yote ya ile ajali lakini baada kubanwa kuhusu biashara zake alikaa kimya mpaka hii leo hasikiki kabisa. Adnan Khashoggi alifariki kwenye mjengo wake hapo London kwa kifo cha utatanishi sana na mke wake wa kwanza aliolewa na aliekua waziri wa ulinzi wa serikali ya Waziri mkuu- John Major akiitwa Jonathan Aitken ambae nae alisingiziwa kesi akafungwa jela sijui kama alitoka au vipi, kama alitoka atakua yupo low profile. Kuna jamaa mwingine mpakistan aliwahi kua mpenzi wa Diana aliitwa Dr. Hasnat Khan aliweza kumpeleka Diana hadi Pakistan kuonana na familia yake lakini waliachana ndio akaibuka Doddy Al Fayed waliokuja kufa nae kwenye ajali ile ya Alma tunnel pale Paris... connection.
ok ok ilikua ajali..ungekua unajua ujasusi ungeelewa. kuna visa vingi vinatokea ila kwa watu wa kawaida kama wewe utaona ni ajali. ..Yes ilikua ajali Ok.Ilikuwa ni ajali. Kwa speed ile ya benz ilikuwa ni ngumu kupona. Na mind you that Diana hakufa palepale. Diana alifia hospitalini.
Kumbuka Diana kipindi kile alikuwa ndo star anaeuza vichwa vya magazeti kuliko binadamu yeyote yule. Picha yake iliuzwa kwa bei ghali sana kwenye vyombo vya habari. Diana alifuatwa na mapaparazi kila alipokuwa. Ile ilikuwa ni ajali though ni kweli familia ya kifalme haikufurahia mahusiano yake na Dod. Na pia walikuwa wanaona wivu Diana kuwa popular hata kuliko Malkia Elizabeth.
Nasikia ile kofia ina diamond ya thaman ya £usd tril 400 usd.ambayo hutumika ku coronateionMkuu Matola , wakati yote hayo yanatokea, mimi nilikuwa naishi UK, jiji la London, nikiishi Richmond, wife akisoma Journalism St. Mary's College Twickenham.
Naujua ukweli huo na hadi kisababishi cha ajali ile, na status ya Lady D, sasa mimi ni mtu mzima, going to 60!, sitakiwa kuwa nasema sema mambo ya watu ambayo yataingilia the right to privacy!. Ngoja tuu tuangalie mifuko imekaaje, tenzetu tukamzike huyu Bibi!. Tukio ambalo huwa lifuatiliwa na watu wengi dunia nzima ni the coronation ya England!. Hivyo nikitia timu kwenye mazishi, nitakaa mpaka coronation!.
P