MURUSI
JF-Expert Member
- Jun 25, 2013
- 4,537
- 8,824
Aisee yaani sisi Wabongo tunadanganywa mno kwa mambo mengi sana na kwa sababu tu ya uvivu wetu.Subiri wenye mihemeko waje uone utakavyokosolewa kwa kukosa uzalendo, simply umetoa elimu!
Wenzako wanataka kuuaminisha ulimwengu wa waTz wasiopenda kusoma kwamba hiyo haijawahi tokea tokea UN ianzishwe.
Everyday is Saturday............................... 😎