Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nimecheka sanaMataga mshaanza
Kuna wale walikuwa wanasifia halafu wanamaliza kwa kuweka namba zao za simu
Hii tabia bila shaka itakoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka sanaMataga mshaanza
Kuna wale walikuwa wanasifia halafu wanamaliza kwa kuweka namba zao za simu
Hii tabia bila shaka itakoma
Hahahahahahaahaa....anajikuta mjuaji beyond🤣Mbona unaleta thread na kejeli juu kwani ungesema tu kua bendera ya UN kupepea nusu mlingoti kwa sababu Hii na ni sheria na ukaweka udhibitisho unadhani nani atahoji Mkuu?
Kwani wamesemaje??Wabongo wengi kwanza ni wavivu wa Kusoma, hilo halina ubishi, hivyo kwa sababu inajulikana hii huwa kuna watu wanaitumia kwa manufaa yao wenyewe...
Kitendo cha UN kufanya tukio ilo fungua jicho la 3 kufikiri utaelewa maana yao ni nini.Nyumbu wanashangilia na kukubali maana pingapinga Fc imeishiwa pumzi.
Mhuuuu,!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hakika mtu huyu alikuwa ni mtenda haki na kipenzi cha watu.
Anatarajia kuzikwa tarehe 26.....yeye akiwa wapi hasa?Umoja wa Mataifa umetangaza kupeperusha bendera yake nusu mlingoti siku ambayo atazikwa Rais Magufuli
Rais Magufuli anatarajia kuzikwa Tarehe 26/03/2021
Naona kipindi hiki tangu tarehe 17 una furaha sana.Nimecheka sana
Isiwe sehemu ya mkakati wa kuanza kutengeneza mazingira ya wale jamaa aliwakataa mambo yao ya kampuni za kibeberu kuja kujifanya wapo pamoja kumbe wana lengo lao..siasa za ulimwengu ni hatari!..any way ni sawa kwa nchi mwanachama wa UN..
Alikuja nani? Mbona haitajwi tajwi ama hakukuwa na mataga.
Yaan kama unahis ni wapinzani wote wamefurahi basi umekosea..mm kila siku nalia...naumia...sikuhis kama atakufa kweli...naumia vby mno...kila usk.naanza angalia.youtube za nyuma machozi yanatoka ..nimeumia sana...yaan nimeumia yeye kama yeye kufa...sijahusisha uchama!umenifikiria vby sanaNaona kipindi hiki tangu tarehe 17 una furaha sana.
Pole sana.Yaan kama unahis ni wapinzani wote wamefurahi basi umekosea..mm kila siku nalia...naumia...sikuhis kama atakufa kweli...naumia vby mno...kila usk.naanza angalia.youtube za nyuma machozi yanatoka ..nimeumia sana...yaan nimeumia yeye kama yeye kufa...sijahusisha uchama!umenifikiria vby sana