Aisee yaani sisi Wabongo tunadanganywa mno kwa mambo mengi sana na kwa sababu tu ya uvivu wetu.Subiri wenye mihemeko waje uone utakavyokosolewa kwa kukosa uzalendo, simply umetoa elimu!
Wenzako wanataka kuuaminisha ulimwengu wa waTz wasiopenda kusoma kwamba hiyo haijawahi tokea tokea UN ianzishwe.
Everyday is Saturday............................... 😎
Mbona unaleta thread na kejeli juu kwani ungesema tu kua bendera ya UN kupepea nusu mlingoti kwa sababu Hii na ni sheria na ukaweka udhibitisho unadhani nani atahoji Mkuu?Wabongo wengi kwanza ni wavivu wa Kusoma, hilo halina ubishi, hivyo kwa sababu inajulikana hii huwa kuna watu wanaitumia kwa manufaa yao wenyewe.
Anapo kufa Kiongozi wa Nchi Mwanachama wa UN bendera ya UN hupepea nusu mlingoti kwenye jengo lake la makao mkuu pale New York.
Hii ni sheria sio utashi wa Katibu mkuu wala nini.
Hivyo kwa sababu Mheshimiwa Hayati Magufuri alikuwa Raisi wa nchi Mwanachama Sheria inataka Bendera ipepee nusu mlingoti pale UN.
Mihemko na elimu havichangamani.Aisee yaani sisi Wabongo tunadanganywa mno kwa mambo mengi sana na kwa sababu tu ya uvivu wetu
Wabongo wengi kwanza ni wavivu wa Kusoma, hilo halina ubishi, hivyo kwa sababu inajulikana hii huwa kuna watu wanaitumia kwa manufaa yao wenyewe.
Anapo kufa Kiongozi wa Nchi Mwanachama wa UN bendera ya UN hupepea nusu mlingoti kwenye jengo lake la makao mkuu pale New York.
Hii ni sheria sio utashi wa Katibu mkuu wala nini.
Hivyo kwa sababu Mheshimiwa Hayati Magufuri alikuwa Raisi wa nchi Mwanachama Sheria inataka Bendera ipepee nusu mlingoti pale UN.
Kwenye madini aliwabana kweliHawa mabeberu watakuwa wanafurahi kifo cha kiboko yao.
Sasa wanahema,maana walibananika kila kona.
Watuache tumalizane wenyewe,huo unafika ubaki kwao.
Au sio MATAGA wenzangu.
😀😀😀😀😀Subiri wenye mihemeko waje uone utakavyokosolewa kwa kukosa uzalendo, simply umetoa elimu!
Wenzako wanataka kuuaminisha ulimwengu wa waTz wasiopenda kusoma kwamba hiyo haijawahi tokea tokea UN ianzishwe.
Everyday is Saturday............................... 😎
... ni wa kawaida anapofariki rais aliye madarakani kwa nchi mwanachama wa UN! Ni utaratibu wa kawaida mno wajinga wasijichukulie credits!Huu utaratibu ni wa kawaida au umeanza kwa Hayati Magufuli?
Maana zitaanza drama za ajabu muda sio mrefu
Si Bavicha?Mataga watapinga
Hili ni pigo kubwa kwa Tundu Lisu na Godbless LemaUmoja wa Mataifa umetangaza kupeperusha bendera yake nusu mlingoti siku ambayo atazikwa Rais Magufuli
Rais Magufuli anatarajia kuzikwa Tarehe 26/03/2021
View attachment 1732078
Hajawakosea heshima. Amesema kweli tupu. Ushahidi ni huyo aliyeomba awekewe sheria inayosema hivyo wakati ana smart phone.Una jambo zuri la kutueleza. Lkn umeeleza katika njia ya kutukosea heshima na dharau. Unaweza kututolea taarifa ya utafiti inayoonesha kuwa waTanzania hawasomi?
Wewe ni mbumbumbu kabisa!Hata kama ni utaratibu wa kawaida nafikiri ingepasa bendera hiyo isipepee kabisa nusu mlingoti maana Nchi mwanachama Rais wake miaka 6 hakuhudhuria hata Mkutano mmoja wa UN eti kwa ya kutojua Kingereza, Kisukuma nacho je? Rais mpya anajua faida ya kuwa na Makamu anayejua lugha za Kimataifa maana yeye akiwa Makamu alimuwakilisha Rais mara kadhaa kwa hiyo asikubali CCM wamletee Rais ajaye mbumbumbu aaibishe Nchi yetu. Miaka 6 imeaibishwa vya kutosha!
UnatesekaHata kama ni utaratibu wa kawaida nafikiri ingepasa bendera hiyo isipepee kabisa nusu mlingoti maana Nchi mwanachama Rais wake miaka 6 hakuhudhuria hata Mkutano mmoja wa UN eti kwa ya kutojua Kingereza, Kisukuma nacho je? Rais mpya anajua faida ya kuwa na Makamu anayejua lugha za Kimataifa maana yeye akiwa Makamu alimuwakilisha Rais mara kadhaa kwa hiyo asikubali CCM wamletee Rais ajaye mbumbumbu aaibishe Nchi yetu. Miaka 6 imeaibishwa vya kutosha!
Hii ni kawaida kwa kila mwanachama wa UN, au mmesahau Tanzania ni mwanachama?Sijapata kusikia hapo kabla!
Mabeberu nao wamechanganyikiwa sana.
Attacking midfielderMbona unaleta thread na kejeli juu kwani ungesema tu kua bendera ya UN kupepea nusu mlingoti kwa sababu Hii na ni sheria na ukaweka udhibitisho unadhani nani atahoji Mkuu???