Kufuatia maelekezo ya Rais Magufuli,bilioni 11 zaokolewa chakula cha wafungwa

Kufuatia maelekezo ya Rais Magufuli,bilioni 11 zaokolewa chakula cha wafungwa

Mtu anayeongea hivi kuwa isingekuwa maagizo ya rais bado wangekuwa wanapoteza pesa, kwa mtazamo wangu ni wa kutumbuliwa. Hawawezi kujiongeza na kufanya maamuzi?!
 
Wafungwa hawakuanza kulimishwa leo au jana. Ni kitambo tu. Sema mavuno askar magereza walikuwa wakigawana. Hii sasa wanalia awamu hii.
 
Poster_of_the_movie_The_Farm-_Angola,_USA.jpg

Safi sana, kuna gereza linaitwa Angola US.
Hao wafungwa wana kisiwa chao huko wakipelekwa wamepelekwa jaribu kutoroka ndio utaita maji Mma, gereza halina hata fence ila kutoka sasa.
Wafungwa wanalima, wanapanda,wanavuna na wanashirikiana kama ndugu.
Wakorofi wapo tu, ila ukileta fujo kwa wenzio isolation yake utakoma kuringa.
Msosi wanajipikia,wanajiservia, kufanya usafi,team za basketball ,mpaka TV Chanel yao wanayo na watangazaji ni wafungwa.
Mle unakuta mfungwa kapigwa miaka 200+ jail sentence.
Kikubwa uki beharve vizuri chance ya parole ipo.
Unakabidhiwa supervisor unaingia mjini tena
baada ya miaka michache tu 15-20.
Na unapewa kibarua kutokana na experience uliyotoka nayo
Jela.ukileta ufala unafia humo jela
JPM alikua sawa kabisa 👏👏👏.
 
Katika hii nchi watu walipiga hela. Kuna kipindi ilikua ni gharama zaidi kumlisha mfungwa mmoja kuliko mwanafunzi wa boding school. Ilikua aibu. Wanafunzi wanasoma huku wafungwa wanaoana waume kwa waume kwa hela ya serikali
 
Katika hii nchi watu walipiga hela. Kuna kipindi ilikua ni gharama zaidi kumlisha mfungwa mmoja kuliko mwanafunzi wa boding school. Ilikua aibu. Wanafunzi wanasoma huku wafungwa wanaoana waume kwa waume kwa hela ya serikali
Siyo kila mfungwa anatakiwa kuzurula nje. Hamjui tabia za wafungwa nyie
 
Usiombee ukapelekwa ngome kipindi hiki palizi haliishi.Ni mwendo wa kupalilia daily.
 
Siyo kila mfungwa anatakiwa kuzurula nje. Hamjui tabia za wafungwa nyie
Mkaruka usiruke ruke kwa jazba. Toa maelezo yakutosha Ni wafungwa wepi, sababu, idadi yao na wako wapi.
Hata wale wasio ruhusiwa kutoka nje ya gereza wanaweza kuzalisha Mali humo humo gerezani.
Sio lzm kila mfungwa akalime au kupasua kokoto
 
Hiyo nayo ni habari?

Ardhi wanayo, nguvu kazi wanayo kwanini wasilime?

Unalijua gereza la Songwe au Isupilo n.k ?

Waache kiki na kutaka kuuza sura kwa malaika wa Chato!
Yalikuwa hayafanyiki sasa yanafanyika lazima umkubali mwamba wa Chato
 
Halafu watoroke!!
Na askari magereza wana kazi gani ama wanakula kodi zetu bure. Inatakiwa wawende depo kama vipi wawe fiti.Yaani serikali inatakiwa iuze hiyo nguvu kazi. Wafanye kazi kwa manufaa ya nchi. Iwatafutie kazi za vibarua hata viwandani huko nchi za ng'ambo bana.
 
Tena inatakiwa walime mpaka waweke kwenye ghala LA serikali na chakula wauze nje ya nchi.
Wafungwa wakipiga sana kazi wanakuwa wanawekewa buku 5 padei wakitoka wawe na pa kuanzia na sio wakitoka humo tena wanatamani bora warudi gereZani.
Haya SGR serikali wangetumia vibarua wafungwa mana kibarua analipwa 12500 TZS . INA mana 7500 inaenda serikalini ila alfu 5 ni ya kwao.
Yaani mwanzoni nilijua jpm angefanya hii kitu ningemkubali sana. Hata Stalin alitumia wafungwa kuijenga underground train ya Russia.
Keep it up jpm
Aisee bora wajilishe na kilichozidi wauze hele itakayopatikana iboreshe magereza na nyingine wapewe ila ukisema wapige vibarua wakati na sisi huku raia wema tunategemea vibarua hivyohivyo utatuua njaa
 
Sijawahi kuelewa hii kauli ya kuokoa Pesa....

Bajeti upange mwenyewe ya matumizi... Alafu useme badae kuwa umeiokoa tena bajeti yako....

How????
 
Na askari magereza wana kazi gani ama wanakula kodi zetu bure. Inatakiwa wawende depo kama vipi wawe fiti.Yaani serikali inatakiwa iuze hiyo nguvu kazi. Wafanye kazi kwa manufaa ya nchi. Iwatafutie kazi za vibarua hata viwandani huko nchi za ng'ambo bana.
Mtu aliyefungwa ukimfanyisha hizo kazi unajua UN watakutazamaje?

Unafikiri kwanini China ilikanusha kuleta wafungwa Tanganyika kwaajili ya ujenzi wa reli?

Ni ishu inafanywa/ imewahi kufanywa lakini siyo ya kujisifia as UN hawatosita kudeal na nchi husika. Achana na muvi zinazokodi wafungwa kwenda kupigana na maadui, ule ni uongo.
 
Watumie hiyo hela sasa kuboresha mazingira ya magereza...

Maana magereza zetu aisee ni kama reception ya jehanamu
 
Napinga hoja.
Mfungwa asiteswe, huo ni unyama.
Aliyemfunga ndiye anapaswa amlishe mfungwa wake.
 
Ahsante kwa taarifa...

Ila wafungwa wenye ujuzi mbali mbali wakitumika vizuri wanafanya makubwa sana...




Cc: mahondaw
 
Bado na vijana Wa jkt nao Hela ziokolewe huko kuna wapiga dili kupitia kwa wazabuni
Mi naona hata Jeshi letu la Wananchi linatakiwa nalo lijiendeshe Kama Magereza,watatengeneza pesa mingi sana,na wataanza hata kuikopesha Serekali!!
 
Sure, Isupilo wanalima mashamba miaka mingi sana. Nimeishi pale miaka kama kumi hivi. Lile ni gereza la kilimo na nadhani walikuwa wanakula wanachozalisha
Kumbe walikua wanatupiga Mara Mbili!!
 
Na hao vibarua waliajiriwa sasa hivi ungewaajiri wewe au co..
Acha uwoga wa Maisha,Mungu atawapa riziki sehemu ingine! Hata computer zilivyokua zinaanza kuna watu waliziigopa kisa tu zitauwa baadhi ya ajira za Watu! Lakini hadi Leo ndiyo zimekua kipenzi Cha watu,maana tumeletewa simu za computer (smart phone)
 
Back
Top Bottom