Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
KumekuchaaToka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Yaani tangu 2000 upo nyumba ya kupanga kazi kuendekeza starehe tuHii nyuma nimepanga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Nadhani kakosea kuandika, kupanga hakuhusiani na kufuata vigezo vyote vya ufundi.Toka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Acha kutetea utopolo. Huyu amepanga kwa miaka 23 now. Ni kijana wa ovyooNadhani kakosea kuandika, kupanga hakuhusiani na kufuata vigezo vyote vya ufundi.
Mkuu Dr Matola PhD turn off auto correction kwenye keyboard yako, nmeona haya makosa kwenye uzi wako mwingine wa ndoa.
Mwenye nyumba anasemaje kwanza maana kama umepanga, inatakiwa mjadili na mzee mwenye nyumbaHii nyuma nimepanga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Kupanga sio dhambi si analipa kodiNadhani kakosea kuandika, kupanga hakuhusiani na kufuata vigezo vyote vya ufundi.
Mkuu Dr Matola PhD turn off auto correction kwenye keyboard yako, nmeona haya makosa kwenye uzi wako mwingine wa ndoa.
Kuwa kichaa siyo lazima uokote Makopo.Toka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
Hata sikutegemea kama ni mpumbavu kiasi hiki, mwisho wa Uzi unajieleza wazi sijajenga mabondeni.Mwenye nyumba anasemaje kwanza maana kama umepanga, inatakiwa mjadili na mzee mwenye nyumba
Hakika sio dhambiKupanga sio dhambi si analipa kodi
Nadhani solution ni kubadili simu, muda mrefu settings zake zinanisumbuwa.Nadhani kakosea kuandika, kupanga hakuhusiani na kufuata vigezo vyote vya ufundi.
Mkuu Dr Matola PhD turn off auto correction kwenye keyboard yako, nmeona haya makosa kwenye uzi wako mwingine wa ndoa.
Ni kuelekezanaAcha kutetea utopolo. Huyu amepanga kwa miaka 23 now. Ni kijana wa ovyoo
Kuna wapumbavu stress zao za kukopwa nyapu wanakuja kuzimalizia JF.Kumekuchaa
Umenieleza kitaalam, ila swali je hiyo crack imetokea mwaka huu? Maana miaka yote 24 sijawahi kuona hali hii.Pole hapo inahitajika overhaul.. maana miaka 24 ni mingi sana
1- ubora wa tiles za miaka hiyo na sasa ni vitu viwil tofauti..
2- kuna crack ktk tiles ambapo wakat fundi anawek cement kuna uwaz ambao unapitisha maji ambayo yanakuj kupopup ktk uwaz / upenyo..