Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Mkuu hapo chimba kisima tu iko siku utajukuta unaogelea ukiwa ndaniHii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Wewe malaya wenzako wanadanga saa hii nakushangaa wewe unatafuta mabwana kinguvu JF.Akipiga picha nijulishe. Hana hicho chumba najua
Ona hii takakata, ni PhD na siyo PHD, ficha upumbavu wako kwenye hadhara kama hii, unaonesha kiwango cha umbumbumbu wako.ALAFU ANA JIITA .. .. PHD. HIVI ANAJUA MAANA YA PHD AU AFUNGWE KABISA KWA KUDHARAU HICHO CHEO PHD.
KIAZI + KILAZA = ... ... ...
Hivi hata kama mtu ana shida ya mke ndio aowe hii U.T.I sugu? Kweli?Jane mambo? Samahani umeolewa?
Ikiwa tiles zinaingiza maji wakati wa mvua, tatizo linaweza kuwa kwenye ufungaji wa sakafu au katika muundo wa jengo.Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?
Niunganishe nae bro mi nimemzimiaHivi hata kama mtu ana shida ya mke ndio aowe hii U.T.I sugu? Kweli?
Huyu malaya anasumbuliwa na stress siyo issue ya leo tu, tangu anajiunga JF na kujipachika ukoo ambao hata haumjui.
Naheshimu maoni positive yóte na ushauri uliotolewa, ila hapa kuna kitu kipya nimekipata, ili la kuvuja kwa maji kwenye paa ni kweli lipo.Ikiwa tiles zinaingiza maji wakati wa mvua, tatizo linaweza kuwa kwenye ufungaji wa sakafu au katika muundo wa jengo.
Ikiwa ufungaji wa tiles haukufanywa vizuri, kuna nafasi ya maji kuingia kati ya tiles na sakafu chini yake. Hii inaweza kusababisha ukungu na hatimaye maji kuingia ndani ya nyumba.
Katika hali mbaya zaidi, tatizo linaweza kuwa kwenye muundo wa jengo lenyewe. Kuvuja kwa maji kutoka kwenye paa au kuta kunaweza kusababisha maji kupenya kupitia sakafu.
View attachment 2974735
+255754933110
EMAIL:mininggeologyit@gmail.com
MINING GEOLOGY IT TUNA WAKARIBISHA WATEJA WOTE WENYE ENEO LAKO UNALOTAKA KIJIOLOJIA KUANZIA MAKAZI,KILIMO,UTAFITI WA MADINI NA UCHIMBAJI ,MASOKO NA LESENI KWENYE TASNIA YA ICT.
Achana na hiyo takataka unatafuta matatizo tu, hakuna kitu cha thamani kama uhai na kuwa na afya njema.Niunganishe nae bro mi nimemzimia
Kipindi cha nyuma eneo letu lilikuwa na shida kubwa ya maji, tulikuwa tunanunuwa maji kwenye matoroli, nilichimba kisima cha kienyeji.Mkuu hapo chimba kisima tu iko siku utajukuta unaogelea ukiwa ndani
Mkuu msamehe bure matusi hayajengi !Wewe malaya wenzako wanadanga saa hii nakushangaa wewe unatafuta mabwana kinguvu JF.
U.T.I sugu uliyonayo tafuta pa kuipeleka.
Haina noma mzeeAchana na hiyo takataka unatafuta matatizo tu, hakuna kitu cha thamani kama uhai na kuwa na afya njema.
I know her, najuwa hasira zake kwangu zinatokana na nini.
Amejileta mwenyewe kwenye mfumo, na ananijuwa mimi ni Antibiotic.Mkuu msamehe bure matusi hayajengi !
Kuna sehemu aliposema amepanga? Au ameedit?Toka 2000 unaishi nyumba ya kupanga! We kweli kiazi.
UJUMBE UMFIKA. Iwe PHD,PhD,phd iyo wewe utjaza mwenyewe kikubwa umesoma na ume elewa kilicho andikwa.Ona hii takakata, ni PhD na siyo PHD, ficha upumbavu wako kwenye hadhara kama hii, unaonesha kiwango cha umbumbumbu wako.
Keyboard prediction ilikuwa on, lakini kwa mtu mwenye akili timamu Para za mwisho zimejieleza vizuri tu.Kuna sehemu aliposema amepanga? Au ameedit?
Hii na mimi imenikuta mwaka huu.kona zote za sebulen zimeingiza maji mimi naona ni water table imekua juu sabab mvua imekua nyingi mwaka huu.ila mimi sabab nimeihisi ni sebulen nilichimba ipo chini kama 2 steps kwenda chini kuliko sehem zingine so mm hili ndo tatizo.So hii shida kwako si tiles kama wengine wanavyosema.Hii nyuma nimejenga mwaka 2000 Kwa kufuata vigenzo vyote vya ufundi.
Nimeshangaa hizi mvua za mwaka kuna chumba nikiingia nakuta wet kuna majimaji, naagiza papigwe deki pakaushwe nikija tena nakuta wet majimaji hapo ndio sasa naamini maji yanatokea chini yanapenya taratibu kwenye tiles na Mimi sijajenga mabondeni, tatizo ni nini hapo na nifanyaje?