Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Mambo si mambo huko Instagram, Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake ....
Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku nguli wa Mziki Africa na mmiliki wa label kubwa zaidi Africa Don Jazzy akisupport ujumbe huo
Kama hyo haitoshi nyota wa mpira Africa Didier Drogba naye hakurudi nyuma kuonyesha kuwa FORBES waache kukadiria .....
========
Diamond Platnumz aandika hivi Intagram, FORBES: next time google me to know what am really worth of, before putting me on your Stupid Richest African Musicians List!
Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku nguli wa Mziki Africa na mmiliki wa label kubwa zaidi Africa Don Jazzy akisupport ujumbe huo
Kama hyo haitoshi nyota wa mpira Africa Didier Drogba naye hakurudi nyuma kuonyesha kuwa FORBES waache kukadiria .....
========
Diamond Platnumz aandika hivi Intagram, FORBES: next time google me to know what am really worth of, before putting me on your Stupid Richest African Musicians List!