Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kuna jamaa Tanzania wana ukwasi kuliko hata hao wanaojulikana na hawataki kujulikana. Kuna investor wa kibongo kawekeza kwenye madini ana pesa chafu na wafanyakazi wake wanaishi maisha ya kifahari huko kanda ya ziwa.

Kuna mwaka Forbes waliwahi muweka kwenye list ya matajiri wajao bosi wa Kisarawe. Hiyo tusubiri na tumuombee litokee.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Bosi wa kisarawe[emoji3][emoji3]
 
Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!

Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
Mwana nimekuelewa cheers[emoji482]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mimi huwa nawaona ni wendawazimu tu.

Kanye West na Jay Z walikuwa marafiki sana ila baadaye urafiki wao ni kama ukafa.

Baadaye Forbes wenyewe wakafanya uchunguzi wao wakasema Jigga ni billionnaire. Kanye akaona yeye kimya, akawa anawafuata anawambia na yeye ni billionnaire mpaka mzigo wa receipt akachukua akawapelekea ndio wakamtangaza ila kwa kiwango kidogo kuliko ambacho mwenyewe alitamba anacho.

Sasa huu huwa ni uchizi plain.
Sometimes in year Kanye huwaga mwezi mchanga

Mpuuzeni,watamuoneaje yeye tu,hamkumbuki kuna kipindi Kanye alikuwa chawa wa Trump hapa na aliwahi kumuomba Trump 50mil USD afanyie biashara halafu huyo huyo anawalalamikia Forbes ati yeye bilionea labda kwa sasa Yeezy inafanya vizuri sana dunia nzima anaweza fikia huo ubilionea...

Hawa wengine hapa bongo tushawazoea kwa kiki japo naamini Diamond ni zaidi ya vile list ya Forbes navyoonesha hivyo vingine Forbes wataendelea ku-dig kwasababu wasanii wa Afrika ni ngumu sana kujua kila kitu wanafanya kwenye shughuli zao za uchumi tunafanya vitu local sana...
 
Izo akaunti ni zao kweli???

Jamaa anasema tuulize google mie nimeuliza wameniletea forbes[emoji3][emoji3][emoji3]
Hata mimi nimeingia Google sijaona kitu cha maana kuhusu jamaa ambacho kinaweza ku prove wrong list ya Forbes...ni kiki tu hizi
 
Sometimes in year Kanye huwaga mwezi mchanga

Mpuuzeni,watamuoneaje yeye tu,hamkumbuki kuna kipindi Kanye alikuwa chawa wa Trump hapa na aliwahi kumuomba Trump 50mil USD afanyie biashara halafu huyo huyo anawalalamikia Forbes ati yeye bilionea labda kwa sasa Yeezy inafanya vizuri sana dunia nzima anaweza fikia huo ubilionea...

Hawa wengine hapa bongo tushawazoea kwa kiki japo naamini Diamond ni zaidi ya vile list ya Forbes navyoonesha hivyo vingine Forbes wataendelea ku-dig kwasababu wasanii wa Afrika ni ngumu sana kujua kila kitu wanafanya kwenye shughuli zao za uchumi tunafanya vitu local sana...
Forbes hawafuatilii sana utajiri private. Labda ukawambie wewe mwenyewe au uingie mchongo na content creators. Forbes wao wanaangalia utajiri wa wahusika kupitia hisa kwenye masoko ya hisa.

Kulikuwa na Editor wa Forbes Africa kutoka Africa Kusini akikuwa anaitwa Mfonobong Nsehe alikuwa anachonga sana hizo taarifa ili watu wafanyie shobo. Alishawaandika Jokate, Idris Suktan, na Mke wa Mengi. Lakini mpaka sasa hakuna anatefanya cha maana.
 
kusema watu tukaulize Google sasa huko Google kuna ukwel gan zaid ya ww mwenyew kuweka wazi financial statement zako,,,,

Alafu kuna utajiri wa mtu binafs na utajiri wa mtu kupitia hisa anazomiliki kwny masoko ya hisa
 
ecocnn.com inasema kwa east africa tunae 1 bobi wine 2 diamond 3 dr jose as of 2021
 
Kuna jamaa Tanzania wana ukwasi kuliko hata hao wanaojulikana na hawataki kujulikana. Kuna investor wa kibongo kawekeza kwenye madini ana pesa chafu na wafanyakazi wake wanaishi maisha ya kifahari huko kanda ya ziwa.

Kuna mwaka Forbes waliwahi muweka kwenye list ya matajiri wajao bosi wa Kisarawe. Hiyo tusubiri na tumuombee litokee.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Elewa kitu kimoja chief , ukitafta matajiri 1000 bongo usishangae diamond kutoliona jina lake , Ila ndo mtu maarufu zaidi bongo right now ukiondoa Maghufuli aliyefariki.

Maonyesho ya Mali na kutambiana ni moja ya successful strategies ya msanii yyte duniani .... Yaan wao mafanikio Yao ni kuongelewa na watu ndo kunafanya mkono uingie kinywani .... Na hata hlo Povu kalitupa kimkakati hajakrupuka boss

Music is about fame mkuu bila hvo hutoboi...!!
 
Back
Top Bottom