Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Showbiz ndiyo biashara yake, kutrend ndo lengo lake.Sina pesa ila ndomo mshamba sana bora angekaa kimya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Showbiz ndiyo biashara yake, kutrend ndo lengo lake.Sina pesa ila ndomo mshamba sana bora angekaa kimya tu
Sipingi Diamond ku react vile na ninamuelewa sana.Elewa kitu kimoja chief , ukitafta matajiri 1000 bongo usishangae diamond kutoliona jina lake , Ila ndo mtu maarufu zaidi bongo right now ukiondoa Maghufuli aliyefariki....
Maonyesho ya Mali na kutambiana ni moja ya successful strategies ya msanii yyte duniani .... Yaan wao mafanikio Yao ni kuongelewa na watu ndo kunafanya mkono uingie kinywani .... Na hata hlo Povu kalitupa kimkakati hajakrupuka boss .....
Music is about fame mkuu bila hvo hutoboi...!!
Hata siku akinya kariakoo mchana wa saba. Utasikia yule ni msanii lazima afanye vile yaani huo ndio u-genius wenyewe.Elewa kitu kimoja chief , ukitafta matajiri 1000 bongo usishangae diamond kutoliona jina lake , Ila ndo mtu maarufu zaidi bongo right now ukiondoa Maghufuli aliyefariki....
Maonyesho ya Mali na kutambiana ni moja ya successful strategies ya msanii yyte duniani .... Yaan wao mafanikio Yao ni kuongelewa na watu ndo kunafanya mkono uingie kinywani .... Na hata hlo Povu kalitupa kimkakati hajakrupuka boss .....
Music is about fame mkuu bila hvo hutoboi...!!
Hoja yake watu wanatoa taarifaaa ambazo hawajafanya tafiti, huu ni uhuniTajiri hatumii nguvu kujitangaza.
Pesa na mali zake zinatosha kumtangaza.
Domo analilia utajiri ambao hana,kesho tra wakimpelekea bil ya mil 500 utasikia yowe nchi nzima😂mie najivunia kumzidi elimu😂😂😂Diamond bado anahitaji shule, ni kweli amenizidi kipato ila elimu nimemzidi
Story za watu wasio na kazi na ambao maskani zao ni kwa playstations. Kwa kifupi kwa wale wajinga wajinga wa mitaa ya TANDALE, SINZA.GSM ni Home shopping center. Kina Kikwete wana mkono hapo. Hata huko Yanga Kikwete ndiye kampeleka.
Huna akili.Story za watu wasio na kazi na ambao maskani zao ni kwa playstations. Kwa kifupi kwa wale wajinga wajinga wa mitaa ya TANDALE, SINZA.
Kivip mkuu wakati anachosema kiko wazi na jamaa ni watu wanaweza kufanya makosaDiamond bado anahitaji shule, ni kweli amenizidi kipato ila elimu nimemzidi
Nyie mna gazeti lenu linaitwa TANZANITE linakadiria watu masikin Zaid dunia kwa umiliki wa 40k utakuwa masikini wa 235790789021 duniani pambana upate walau 50kJamani sie tunaomiliki 40k tukakoment wapi?
Diamond ni fala tu hata asikutisheni, kelele kibao mara ooh mnajua mi nalipa kodi shng ngapi kwa mwezi, mara ntanunua ndege mara ntalipia watu kodi za nyumba, mara ataanzisha sports bet nk.Duh hapo TRA wakileta takwimu zao tunasema tumeonewa Forbes wakitupa pungufu tunasema wamekosea , Ningekuwa TAX officer hapo nafuatilia kwa karibu sana na kuandaa makabrasha yangu...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we kaa maskani hapo sinza kumekucha.Huna akili.
Uchizi vip wakati walimtangaza? hoja hapa West alikuwa sahihi jamaa walishindwa kufanya tafiti wakakurupuka ,baada ya kuwaonyesha kampuni ya Yeezy na share anazomiliki, wakaufyata wakamtangaza, Forbes ni watu mda mwengine wanakurupuka tuuuMimi huwa nawaona ni wendawazimu tu.
Kanye West na Jay Z walikuwa marafiki sana ila baadaye urafiki wao ni kama ukafa.
Baadaye Forbes wenyewe wakafanya uchunguzi wao wakasema Jigga ni billionnaire. Kanye akaona yeye kimya, akawa anawafuata anawambia na yeye ni billionnaire mpaka mzigo wa receipt akachukua akawapelekea ndio wakamtangaza ila kwa kiwango kidogo kuliko ambacho mwenyewe alitamba anacho.
Sasa huu huwa ni uchizi plain.
Ata Kanye West walimuona fala, baadae Forbes wenyewe wakaufyata wakamtangaza bilionea, hawa Forbes kuna mda hawana Data, lazima muhusika asemeDiamond ni fala tu hata asikutisheni, kelele kibao mara ooh mnajua mi nalipa kodi shng ngapi kwa mwezi, mara ntanunua ndege mara ntalipia watu kodi za nyumba, mara ataanzisha sports bet nk.
NCHI HII HAKUNA PESA ATAINGIZA NA ASIJULIKANE. TUNA MIFUMO IMARA MNO. ACCOUNTS ZAKE BENKI ZINAJULIKANA, MAGARI ANAYOMILIKI YANAJULIKANA, KODI ANAZOLIPA YEYE (INDIVIDUAL) ZINAJULIKANA, UMILIKI WA NYUMBA UNAJULIKANA, UMILIKI WA KAMPUNI UNAJULIKANA. ASICHOKIJUA NI KWAMBA WATU WANAMCHEKA TU. NA KWAMBA ETHICS ZA KAZI ZA WATU NDIO ZINAMLINDA ILA ANGESHAPATA AIBU.
Ndio maana huwa naomba mamake apate home kubwa moja tu ili muone kama hajatokeza mbele za watu kuomba msaada wa matibabu.
Na walimtangaza kuwa ni bilionea, Kanye West hataki ujinga, Data lazima ziwekwe sawa , haiwezekani mtu awalishe watu uongo kuhusu wewe halafu ukae kimya huo ni upunguaniAfanye kama kanye west ama maana alipeleka mpaka risiti forbes
Hoja hapa sio kelele, kinachozungumzwa hapa ni Forbes kutoa data za uongo, wakati wahusika wapo wanaweza kuwahoji na kujiridhisha, badala ya kujadili hili mnachanganya habariThe guys are real riches.
Na hawana makelele mengi.
Mwendo wa kimya kimya.
Iraq wakati wa saddam hussein mtoto wake aliitwa Uday alikuwa anachukua washkaji zake anawafungulia ACC ulaya kwa majina yao ila pesa ni ya UdayHuyo gsm anakula na mtu wa serikalini huko akiiba anapewa yeye asimamie.....
Hii ishu ipo sana afrika
Yes anayo haki kulalamika ntakupa mifano michache kuhusu Forbes na GrammyMambo si mambo huko Instagram , Mega star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake ....
Kufuatia post hyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku nguli wa Mziki Africa na mmiliki wa label kubwa zaidi Africa Don Jazzy akisupport ujumbe huo
Kama hyo haitoshi nyota wa mpira Africa Didier Drogba naye hakurudi nyuma kuonyesha kuwa FORBES waache kukadria .....
View attachment 1789850
Hii dogo Inno akisoma atapasuka maini kwa hasira.Wadau wanasemajeView attachment 1789876