Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata hata mkataba wa US$ 200,000 unafanana na hadhi yako!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!! Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
Myself nimekuelewa
 
Aiseee umenena vema sana mkuu
Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!

Wachukua mikopo nje ya nchi kama Mo Dewji wanazipa umuhimu sana Forbe Lists kwa sababu wanajua zinawajengea uhalali wa utajiri huko ng'ambo!

Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
 
Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!

Wachukua mikopo nje ya nchi kama Mo Dewji wanazipa umuhimu sana Forbe Lists kwa sababu wanajua zinawajengea uhalali wa utajiri huko ng'ambo!

Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
Mzee baba umemaliza kila kitu uzi ulitakiwa uishie hapa hata me niliwaza kama wewe watu wasiojua biashara hawawezi kuliona Hili unakumbuka kuna kipindi Cha nyuma Diamond aliwahi kusema chini ya million 10 hawezi kufanya show kuna watu wakamdhiaki angalia now days thamani yake ilivyopanda.
 
Siyo huyu katika kulalamika hata Kanye West aliwai pia kuongea kisa Forbes kumtaja bilionea mwenye pesa kiduchu akati anazo kama 4 au tano
Mimi huwa nawaona ni wendawazimu tu.

Kanye West na Jay Z walikuwa marafiki sana ila baadaye urafiki wao ni kama ukafa.

Baadaye Forbes wenyewe wakafanya uchunguzi wao wakasema Jigga ni billionnaire. Kanye akaona yeye kimya, akawa anawafuata anawambia na yeye ni billionnaire mpaka mzigo wa receipt akachukua akawapelekea ndio wakamtangaza ila kwa kiwango kidogo kuliko ambacho mwenyewe alitamba anacho.

Sasa huu huwa ni uchizi plain.
 
Ndugu zangu wa JF napenda kuwakumbusha kuwa watu wenye akili kubwa hujadili kuhusu watu ila wenye akili ndogo hupenda kujadili vitu vya msingi. If you know you know.
 
Sina pesa ila ndomo mshamba sana bora angekaa kimya tu
Mwenzake anaangalia kibiashara zaidi hizo thamani walizopewa na forbes ndio zinadetermine mikataba watakaoingia na makampuni na ndio maana diamond hii issue ameikomalia na ukuangalia wasanii wengi wa nje wamemsapoti ila sisi tunalichulia kama vile analazimisha aonekane tajiri Sana.
 
Kitu pekee diamond anataka ni kuwa juu ya akina davido hizo mambo zingine ni kumtetea tu anachotakiwa apambane

Kama una milioni 100 watu wakasema una milioni 50 haimaanishi kwamba zile hamsini zingine hazipo,Mimi naamini Akon ana zaidi ya kile walichoandika Forbes juzi lkn watu wapo kimya hata davido na wenzie watakuwa zaidi ya walichoandika Forbes...jamaa anataka aongelewe tu(KIKI)ndo maana kazua haya yote

Drogba na Don jazz kusaport tweet ya diamond wala si kwamba wao wanajua how rich diamond is hata mkali wenu huko nae anaandamana...kama diamond anataka Forbes wa value thamani yake zaidi ya pale ili brand yake ipande thamani basi hata huko Google alisema watu waende wakacheki utajiri wake hakuna cha maana kikubwa itabidi afanye editing upya taarifa zake...
 
Mambo si mambo huko Instagram , Mega star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake ....

Kufuatia post hyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku nguli wa Mziki Africa na mmiliki wa label kubwa zaidi Africa Don Jazzy akisupport ujumbe huo

Kama hyo haitoshi nyota wa mpira Africa Didier Drogba naye hakurudi nyuma kuonyesha kuwa FORBES waache kukadria .....
View attachment 1789850
Izo akaunti ni zao kweli???

Jamaa anasema tuulize google mie nimeuliza wameniletea forbes[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom