Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Wewe ni kilaza wa kiwango cha SGR , sometyme kama hujui unaziba Kopo lako kuliko kuropoka utachekwa na watu mshamba kweli , endelea Tu na kazi yako ya udalali kwenye majumba ya wanaume
View attachment 1797781
Mtu mpak anasceeen short malipo ili muamini lakini poverty mindset zimewajaa na hyo ni YouTube , sio sportfy au apple music achana na uchafu wa boomplay , mzikii, Werner as so on

View attachment 1797783
Tunakosoana lakni pia tujifunze ku-appreciate mtu anapofanya vyema,.....
Matangazo ya Pepsi , Altel , coral , n.k yanamlipa 6000 kweli , show za nje unafkr analipwa laki tano tano ..daah anyway mawazo yako ni sahihi
Uko emotional sana mdogo wangu,kama hujui mjini hapa madalali ndio wanajua nani ni nani,sasa usibeze tu, inawezekana dalali anamjua boss wako kuliko wewe unavyomjua.

Ukiangalia kwenye swala la views niliweka neno(wastani)makusudi kabisa,ila uko mbio hata huna muda kutafakari,ukaenda kuiparamia waah.

Sisi hatukatai mond ana hela,maswali yetu kwake ni wakati kama huu anapokutana na kishindo cha forbes,ndipo maswali ya ukwasi wake yanaanza tena,kisha tunaanza kuchambua kila anachokitumia kutuonyesha.
 
Wataalamu tunaomba mkadirie thamani ya v8 zake pamoja na wasafi media
V8 moja kwa bei ya mkononi na kuipimp namna ile haizidi 200mln×2=400ml
Prado na kupimp=150ml,zingatia model yake tafadhali.

Bmw x7=70mln

Bado kuna mengine madogo madogo,tunakadiria yanawezafikisha 100m.
 
Diamond aachane na wanasiasa kubadilisha nyimbo zake kuimbia ccm ni kuto kua serious ni kweli ana ukwasi wa kutosha
 
Back
Top Bottom