Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Diamond yuko sawa,Kanye west kila siku analalamika kuhusu hawa forbes kumkadiria ana hela ndogo wakati yeye anadai ana mkwanja mrefu
Wewe unamuona Kanye West yuko sawa upstairs? Forbes wanaangalia net Assets na sio una magari mangapi, chain ngapi etc. End of the day wakitoa liabilities unajikuta umebakiza jina tu..
 
Wewe unamuona Kanye West yuko sawa upstairs? Forbes wanaangalia net Assets na sio una magari mangapi, chain ngapi etc. End of the day wakitoa liabilities unajikuta umebakiza jina tu..
🙏🙏🙏,Mi mwenyewe nimeuliza kuna mtu kawahi ona financial report ya diamond?so wanaosema ana hela wanatumia criteria gan?😂😂😂
 
Zoom icho kibao kilichoandikwa sold
RR 2021
188702222_581732262806686_1362039280376003325_n.jpg
 
Sijaona mantiki ya Diamond kupaniki namna ile... Hakika sijaona.

Yanii he sounded Dumb !! Kabisa... Im his fan ila angemute tu. They say... 'Actions speak louder'

Amejibehave kimbagala mnoo...
Kama Kanye West aivyo behave ki tandale
 
Najua Sina hela ya kumzidi dogo Ila aache kujitutumua, pesa unaongea yenyewe, tatizo hajajua kwamba ukiwa na bilioni moja ya kitanzania hiyo ni kama dola laki nne tu 😃

Forbes hawapigi hesabu zao kwa pesa zake za madafu ajitahidi kupata international contracts alipwe kwa madolali akipata 10 million dollars hiyo ni karibu bilioni 23 hapo atasomeka Ila akiendelea kujijesabia yeye ana hela ingali ana hizi pesa nyekundu zenye tembo ataishia kushindana na tembo harmonize.
 
Kanye west aliwapelekea financial report waka hakiki,
Vip diamond kapeleka lin?😂😂😂
Kabla ujauliza ili swali hivi, ulijiuliza hiyo report ya mwanzo ya kanye west waliyo toa hao Forbes, details walizitoa wapi kabla ajapeleka details zake sahihi ?
 
Kabla ujauliza ili swali hivi, ulijiuliza hiyo report ya mwanzo ya kanye west waliyo toa hao Forbes, details walizitoa wapi kabla ajapeleka details zake sahihi ?
Makadirio.

Kanye alilalamikia kupewa makadirio ya chini,mond yeye hayupo kabisa.

Sasa huwenda kosa ni la forbes kweli,yeye anatakiwa awapeleker,assets zake na thamani zake,sio kulia lia.
 
Makadirio.

Kanye alilalamikia kupewa makadirio ya chini,mond yeye hayupo kabisa.

Sasa huwenda kosa ni la forbes kweli,yeye anatakiwa awapeleker,assets zake na thamani zake,sio kulia lia.
Angalia list mzee baba amekadiriwa kua wa 28 akiwa na USD 5.1m
 
Kwa utajiri huu anashindwa nini kununua gari ya ndoto yake RR 2021 kama milion 800 na ushee iviView attachment 1797453
Huyu ndugu yetu bana feki sana.

Uwekezaji wasafi tv pamoja na redio sina uhaķika kama 1.5bln zinafika,sasa sijui anawekeza wapi kwingine kama ambavyo anapenda kuzungumza.

Kuna mtu kule juu nilimwambia,billioni kumi za madafu,ishia tu kuziita madafu.ila ni pesa nyingi mno kwa kijana wa 30yrs,lazima kuna sehemu ataziexpose tu.kwa gari kali,ama nyumba kali sana.
Kuna nyumba anaitangaza dalali mwanamke mwaka sasa iko sala sala,inauzwa 1.4bln[emoji16][emoji16],ile nyumba ina hadhi ya msanii wetu namba moja kabisa,sijui kama hajaiona.
Kama angekuwa na huo ukwasi asingepanga huko madale awe anapigwa 2ml kila mwezi=24mln yr+plus ndinga kali hata 4 pale parking,sio hayo mavieite 3.
 
Huyu ndugu yetu bana feki sana.

Uwekezaji wasafi tv pamoja na redio sina uhaķika kama 1.5bln zinafika,sasa sijui anawekeza wapi kwingine kama ambavyo anapenda kuzungumza.

Kuna mtu kule juu nilimwambia,billioni kumi za madafu,ishia tu kuziita madafu.ila ni pesa nyingi mno kwa kijana wa 30yrs,lazima kuna sehemu ataziexpose tu.kwa gari kali,ama nyumba kali sana.
Kuna nyumba anaitangaza dalali mwanamke mwaka sasa iko sala sala,inauzwa 1.4bln[emoji16][emoji16],ile nyumba ina hadhi ya msanii wetu namba moja kabisa,sijui kama hajaiona.
Kama angekuwa na huo ukwasi asingepanga huko madale awe anapigwa 2ml kila mwezi=24mln yr+plus ndinga kali hata 4 pale parking,sio hayo mavieite 3.
Kwa hyo unataka ainunue hyo nyumba ya sala sala ndo uamini ana hela ? 😀 Jamaa assert zake zinajulikana , Wasafi label ipo top ten Africa, Wasafi media inakimbiza Tz kuanzia live mpak online , nyimbo zake zinakimbiza kila sehemu , show anapiga kwenye nchi za watu , endorsement ndo usiseme ....... Ina mana hayo yote hayamuingizii pesa ?? Mnakimbilia kujibanza Kwa akina Davido unafkr watawasaidia nn , jivunie cha kwenu hata kama amekupiga gap....!!! Sku zote mtanzania ni mtu wa chuki na husda Kwa waliofanikiwa
 
Kwa hyo unataka ainunue hyo nyumba ya sala sala ndo uamini ana hela ? [emoji3] Jamaa assert zake zinajulikana , Wasafi label ipo top ten Africa, Wasafi media inakimbiza Tz kuanzia live mpak online , nyimbo zake zinakimbiza kila sehemu , show anapiga kwenye nchi za watu , endorsement ndo usiseme ....... Ina mana hayo yote hayamuingizii pesa ?? Mnakimbilia kujibanza Kwa akina Davido unafkr watawasaidia nn , jivunie cha kwenu hata kama amekupiga gap....!!! Sku zote mtanzania ni mtu wa chuki na husda Kwa waliofanikiwa

Wasafi media iko topten africa katika kitu gani??embu jadili kama mtu timamu si shabiki maandazi.

Kulipwa 80mln show za nchi za watu,endorsement za elfu 6 kila baada ya sekunde,malipo youtube wastani wa 50 mln kwa nyimbo zake nyingi,yote ni maneno yake yeye mwenyewe,au chawa wake ndio wanaongea na kuyaandika.
Lakini maswali kwenye hayo hayawezi kujibiwa sababu nanyinyi mnajibanza kwenye kichaka cha hayo kutotuhusu waulizaji.

Kwenye swala la nyumba huo ulikuwa mfano tu,na nililinganisha thamani,ubora,na uzuri wa nyumba na mhusika,ila huwezi ona sababu unawaza kimasikini tu,kwamba kila mtu ni hater.
Huu uduanzi na maigizo uwe katika malengo ya biashara zaidi,shida ni nyinyi chawa wake mnapokomaa wakati hata hapo ofisini wengi wenu mishahara imekuwa kizungumkuti kwa stori kwamba mnapewa majina.
 
Wasafi media iko topten africa katika kitu gani??embu jadili kama mtu timamu si shabiki maandazi.

Kulipwa 80mln show za nchi za watu,endorsement za elfu 6 kila baada ya sekunde,malipo youtube wastani wa 50 mln kwa nyimbo zake nyingi,yote ni maneno yake yeye mwenyewe,au chawa wake ndio wanaongea na kuyaandika.
Lakini maswali kwenye hayo hayawezi kujibiwa sababu nanyinyi mnajibanza kwenye kichaka cha hayo kutotuhusu waulizaji.

Kwenye swala la nyumba huo ulikuwa mfano tu,na nililinganisha thamani,ubora,na uzuri wa nyumba na mhusika,ila huwezi ona sababu unawaza kimasikini tu,kwamba kila mtu ni hater.
Huu uduanzi na maigizo uwe katika malengo ya biashara zaidi,shida ni nyinyi chawa wake mnapokomaa wakati hata hapo ofisini wengi wenu mishahara imekuwa kizungumkuti kwa stori kwamba mnapewa majina.
Wewe ni kilaza wa kiwango cha SGR , sometyme kama hujui unaziba Kopo lako kuliko kuropoka utachekwa na watu mshamba kweli , endelea Tu na kazi yako ya udalali kwenye majumba ya wanaume
IMG_20210526_073603.jpg

Mtu mpak anasceeen short malipo ili muamini lakini poverty mindset zimewajaa na hyo ni YouTube , sio sportfy au apple music achana na uchafu wa boomplay , mzikii, Werner as so on

IMG_20210526_073253.jpg

Tunakosoana lakni pia tujifunze ku-appreciate mtu anapofanya vyema,.....
Matangazo ya Pepsi , Altel , coral , n.k yanamlipa 6000 kweli , show za nje unafkr analipwa laki tano tano ..daah anyway mawazo yako ni sahihi
 
Back
Top Bottom