Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kufuatia Povu la Diamond Platnumz kwa FORBES, Drogba, Don Jazzy watia neno

Kuwaambia wafanye utafiti ili wafahamu how worth he is ndo ku-force?! Hivi nyie watu hii ni mara ya kwanza kuwasikia watu wakiwatolea povu Forbes kuhusu lists zao, au?!

Poleni sana aisee, manake wengi wenu ni wale wale ambao always mmekuwa mkiumizwa na mambo yake!!!
Hatuumizwi ila tunaona Ni Mambo ya kijinga tu apige kazi kwa sababu hata wakimuweka hawezi kukaa top ten ..Aache kulialia Hana ndege ,Hana rolly roys ,hajalipa zile Kodi za nyumba za watu Kama alivyoahidi alafu jamaa ni muongo muongo aliwafanya Nini nyie wenzetu mnaweza kumuamini kiasi hichi
 
Kwa hyo Forbes Wana CHUKI na diamond?
Watu kwa kukosa uelewa wa biashara, pia wanashindwa kumwelewa Diamond kwa kumuona ana-force aonekane nae ni tajiri!!!

Hizi Forbes list zina-determine thamani ya mikataba ijayo anayoweza kuingia!!!

Kama Forbes wanasema utajiri wako, mathalani ni US$ 5 Million, maana yake kampuni ikitaka kuja kufanya kazi na wewe inajua kabisa kwamba thamani yako ni US$ 5 Million, kwahiyo hata mkataba wa US$ 200,000 utakuwa unaendana na thamani yako (ya USD 200K)!!

Kinyume chake, iwe kweli au si kweli lakini kwenye Forbes list unatokea ukiwa na "utajiri" wa US$ 50 Million... hapa hata zile kampuni zinazotaka kufanya biashara na wewe HAZIWEZI tena kufikiria kukupa mkataba wa US$ 200, 000 kwa sababu wanaamini, as per Forbes, una thamani ya millions of dollars!!!

Ni kutokana na hilo, ndo maana Wajanja kama DonJazz unakuta wanamuunga mkono Diamond kwa sababu wanafahamu hizi Forbes list zina-determine future yako!!!

Akina sie tusiejua mambo kama haya tunadhani jamaa ana-force kuonekana tajiri kumbe it's all about business!!!
 
ni kama unakasirika bila sababu za msingi.
Mwanzoni umesema natukana watu... hivi sasa tena unadai eti nakasirika bila sababu!!! Nimekasirika wapi?! Nimekuuliza nimetukana wapi, hujajibu! Anyway, hapa tena unaweza kunieleza kipi kimekufanya uone nimekasirika?
kwanini unahisi namfatilia diamond kwa negativity!!!!kumkosoa ndio negativity hizo au nawewe diamond ni baba yako kama babalevo!,kwamba hakosei!!
Hapa naona unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe coz deep inside your heart unajua namaanisha nini!!

Btw, umemkosoa Diamond au umenikosoa mimi?! Au baada ya kunikosoa ulitaka nisi-respond na baada ya kuona nime-respond kwako umeona nimekasirika?

Hayo mambo yenu ya u-team nishaachana nayo kitambo, na ndo maana kwenye mada kama hizi huwa natoa mchango wa jumla!! Fuatilia posts zote kama utaona nilipom-quote mtu kubishana nae kuhusu alichosema Diamond!! Kama kuna niliyem-quote basi alianza yeye kuni-quote nami nawajibika kumjibu!!
sisi tunàjua katika wasanii tz diamond ndiye mwenye pesa zaidi,na hata yeye aliishawahi kukiri kuna wasanii nje pia anawazidi rizki.
Kwahiyo tatizo lako ni mimi kusema yeyote mwenye commercial mindset atamwelewa Diamond?
kama move ni kujiongezea thamani,alitakiwa ajikite hapo,
Ajikite hapo, wapi?! Kwani wewe umepungukiwa na nini yeye kuwalalamikia Forbes?!
nawewe mnazi wake
Ukiwambiwa umejaa negativities, unakataa!! Hilo suala la "mnazi wake" umelitoa wapi?!
ulipaswa ujue namna ya kulielezea hilo,sasa mtu awe na investment na assets za $500ml
Kwa bahati mbaya wala sikuja kwenye huu uzi kubishana na watu aina yenu na ndo maana, baada ya kutoa mchango wangui, nikasepa na kurudi pale tu nilipoona kuna mtu ameni-quote au kuni-tag! Sasa kwanini uone NAPASWA kuelezea hayo unayoamini napaswa kuyaelezea?
halafu forbes hawazijui,kosa ni lake,la forbes au sisi tunaoshangaa!!!!yeye apeleke nyaraka huko wampe stahiki yake.
vinginevyo zitabaki kuwa kelele tu zisizo na ukweli.
Unajua Methodology ya Forbes?! Au hao Forbes walikuambia kwamba walijaribu kuwasiliana na Diamond kuhusu utajiri wake na Diamond akakataa kutoa ushirikiano ili tumhukumu analalamika nini wakati mwenyewe aligoma kutoa ushirikiano!!
 
Mambo si mambo huko Instagram , Mega Star wa Bongo fleva , Diamond Platnumz amemwaga Povu zito Kwa FORBES , jarida linalohusika na kutoa takwimu za ukwasi wa watu maarufu duniani , Kwa kutofanya utafti wa kutosha kuhusu Mali zake ....

Kufuatia post hiyo mastaa mbali mbali wametia Nebo huku nguli wa Mziki Africa na mmiliki wa label kubwa zaidi Africa Don Jazzy akisupport ujumbe huo

Kama hyo haitoshi nyota wa mpira Africa Didier Drogba naye hakurudi nyuma kuonyesha kuwa FORBES waache kukadria .....
Tajiri anatoa maelekezo kwa kuwaambia waangalie utajiri wake Google[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa rahisi tu, namiliki kiasi hiki ambacho ni shares kadhaa kwenye kampuni X, Assets kadhaa zenye thamani ya kiasi kadhaa na sio kusema waende google wakaangalie utajiri wake.

Bongo kweli nyoso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Hatuumizwi ila tunaona Ni Mambo ya kijinga tu apige kazi kwa sababu hata wakimuweka hawezi kukaa top ten ..Aache kulialia Hana ndege ,Hana rolly roys ,hajalipa zile Kodi za nyumba za watu Kama alivyoahidi alafu jamaa ni muongo muongo aliwafanya Nini nyie wenzetu mnaweza kumuamini kiasi hichi
Sasa how come unahangaika kujadili jambo la kijinga?!

Na ingawaje unadai huumizwi na mambo yake lakini ukisikia kuumizwa ndo huko! Mara nyumba, mara ndege, mara kodi.... aaaaaargh!! Baada ya kuuliza ametufanya nini hadi tumuamini wakati hakuna popote niliposema Diamond ni tajiri kuliko alivyoripotiwa na Forbes, wewe ndo unatakiwa kujiuliza how come unaumizwa kiasi hicho?!
 
kanye west anaweza asiwe na sifa kama za diamond.

cha msingi hapo ni yeye kuwasilisha anavyomiliki wampe tittle anayoilalamikia.

mbona sisi alitwambia mpaka kwa sekunde anaingiza kiasi gani!!!!
Kwahiyo Diamond akilalamika, ni kutaka sifa lakini akilalamika Kanye, sio kutaka sifa!!! Halafu nikikuambia umejawa na negativities, unakana!!
 
Kwahiyo Diamond akilalamika, ni kutaka sifa lakini akilalamika Kanye, sio kutaka sifa!!! Halafu nikikuambia umejawa na negativities, unakana!!
sijamaanisha sifa kwa maana ya atention,namaanisha sifa za kuwekwa hapo kwenye list.

hivyo naweza akawekwa baada ya malalamiko au asiwekwe pia.
 
Tajiri anatoa maelekezo kwa kuwaambia waangalie utajiri wake Google[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa rahisi tu, namiliki kiasi hiki ambacho ni shares kadhaa kwenye kampuni X, Assets kadhaa zenye thamani ya kiasi kadhaa na sio kusema waende google wakaangalie utajiri wake.

Bongo kweli nyoso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Na ukienda Google unakutana na taarifa za FORBES 😂 sjui nan amtafte mwenzake , Google au Forbes ,
 
Mwanzoni umesema natukana watu... hivi sasa tena unadai eti nakasirika bila sababu!!! Nimekasirika wapi?! Nimekuuliza nimetukana wapi, hujajibu! Anyway, hapa tena unaweza kunieleza kipi
achana na hili,maana huwezi badilika sababu unaongozwa na hisia,kwamba wanaomkosoa diamond tu,wana chuki naye.
Hapa naona unajitekenya mwenyewe na unacheka mwenyewe coz deep inside your heart unajua namaanisha nini!!
kujitekenyaje tena!!!
Btw, umemkosoa Diamond au umenikosoa mimi?! Au baada ya kunikosoa ulitaka nisi-respond na baada ya kuona nime-respond kwako umeona nimekasirika?
yess nimekukosoa wewe maelezo yako kwa diamond.
Hayo mambo yenu ya u-team nishaachana nayo kitambo, na ndo maana kwenye mada kama hizi huwa natoa mchango wa jumla!! Fuatilia posts zote kama utaona nilipom-quote mtu kubishana nae kuhusu alichosema Diamond!! Kama kuna niliyem-quote basi alianza yeye kuni-quote nami nawajibika kumjibu!!
hakuna team hapa,wachana na hii kitizamo.
Kwahiyo tatizo lako ni mimi kusema yeyote mwenye commercial mindset atamwelewa Diamond?
umejuaje,kama wanaomkosoa hawana commercial mindset??
Ajikite hapo, wapi?! Kwani wewe umepungukiwa na nini yeye kuwalalamikia Forbes?!
sijapungukiwa kama ambavyo wewe hujaongezewa chochote.
Ukiwambiwa umejaa negativities, unakataa!! Hilo suala la "mnazi wake" umelitoa wapi?!
kuita wengine wanamtizama kwa negativity,hiyo tayari umejiweka upande huo,labda kama unajaribu tu kujinasua.
Kwa bahati mbaya wala sikuja kwenye huu uzi kubishana na watu aina yenu na ndo maana, baada ya kutoa mchango wangui, nikasepa na kurudi pale tu nilipoona kuna mtu ameni-quote au kuni-tag! Sasa kwanini uone NAPASWA kuelezea hayo unayoamini napaswa kuyaelezea?

Unajua Methodology ya Forbes?! Au hao Forbes walikuambia kwamba walijaribu kuwasiliana na Diamond kuhusu utajiri wake na Diamond akakataa kutoa ushirikiano ili tumhukumu analalamika nini wakati mwenyewe aligoma kutoa ushirikiano!!
sizijui,labda diamond nayeye hazijui,kwanini analalamika !!!
 
Umewahi kuona financial report yoyote ya domo kama una copy tuwekee na sie tuone?😂😂😂
Hizo kazi za watu, mimi financial report yake naitumia wapi? Point hapa Forbes ni watu tu ambao nao wanaweza kufanya makosa, kwahiyo lazima waambiwe
 
Hatuumizwi ila tunaona Ni Mambo ya kijinga tu apige kazi kwa sababu hata wakimuweka hawezi kukaa top ten ..Aache kulialia Hana ndege ,Hana rolly roys ,hajalipa zile Kodi za nyumba za watu Kama alivyoahidi alafu jamaa ni muongo muongo aliwafanya Nini nyie wenzetu mnaweza kumuamini kiasi hichi
Iyo sentensi ya mwisho nimeichukulia kiuzito sana
 
Tajiri anatoa maelekezo kwa kuwaambia waangalie utajiri wake Google[emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikuwa rahisi tu, namiliki kiasi hiki ambacho ni shares kadhaa kwenye kampuni X, Assets kadhaa zenye thamani ya kiasi kadhaa na sio kusema waende google wakaangalie utajiri wake.

Bongo kweli nyoso[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Google nimeangalia cha ajabu wamenirudisha forbes


Manina zenu google
 
Na ukienda Google unakutana na taarifa za FORBES [emoji23] sjui nan amtafte mwenzake , Google au Forbes ,
Jamaa anatuona malofa sana[emoji3][emoji3]hajui hiki ni kizazi cha digitali kinazoom mpaka chooni kwako unavyokunya
 
Wanampenda sana Diamond hao jamaa ndo maana wametia neno
 
Back
Top Bottom