Uchunguzi wa nini Hearsay ?..., Hio itakuwa ni kufanya reporting na sio kuchunguza.., huenda baada ya initial observation wakaona dalili za uongo / kupotosha (sasa badala ya kurudi na jibu la shutuma wanawaachia wengine kuripoti kilichojiri / kilichohadithiwa) ndio wewe umekiona hata kukileta hapa....
Na hizi story hazijaanza leo (kuanzia story za Gamboshi, Misukule n.k.) kwahio hakuna uhaba wa reporting...
Thus my point is..., hizi habari zinapata derserved attention hakuna haja ya kuzi-excalate zaidi ya hapo; tuwekeze nguvu kwenye uchunguzi wa mafisadi, tabia nchi, na kwanini si tu masikini with all these resources....