Kufufuka kwa wafu - Ni maajabu yanayoendelea kwa kasi nchini huku wanahabari/jamii wakizipa nafasi ndogo kama habari zinazohitaji uchunguzi wa kina

WE NI MCHAWI UNAJARIBU KUPINDISHA MADA
 
Kama una shaka na kifo cha ndugu yako usikimbilie haraka kuzika na kama mkizika usifanye 40.
 
Awautambui lakini viongozi wao ni washirikina.
Kuutambua uchief ni kuamini ushirikina.
 
WE NI MCHAWI UNAJARIBU KUPINDISHA MADA
Kama Uchawi ni kuweza kufanya vitu ambavyo haviwezekaniki kwa hali ya kawaida basi I wish ningekuwa Mchawi...

Ila kama uchawi ni kudhuru wengine its not on my nature..., hata kama ningekuwa nao huo uwezo nisingeutumia...., (Its just tools and depend how you use them) mfano wewe hapo kama umepewa usimamizi wa pesa za UMMA na badala ya kufanya kile kinachotakiwa ukazili basi in my books wewe ni Mchawi
 
Watakuwa wanafufuliwa na Yule anayejiita askofu pale Kawe, lakini hebu ngoja mmmmmh hivi Amina chifupa ndo alikuwa mbishi kufufuka enh?
 
Shida ni kwamba ukisema upekenyue hizi habari kwa undani malamka zitakuandama kwamba unapromote ulozi..
Na hili litakuwa tatizo lingine baada ya kuzuia freedom of expression, hakuna hata freedom of exploration. Halafu unategemea kupromote innovations? No wonder research nyingi ziko stooni, hakuna hata wa kuzifanyia kazi. Tunasuribiri wachina na watu wengine waseme "chanjo hazina madhara", na sisi tukariri "Hazina madhara", hata kama tunakufa, hatutakiwi kulia kwa kuwa jirani anacheka!. Kuna mengi ya kufadhaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…