Aisee
Acheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Kwa hiyo kwa sababu wateja wako walihama hivyo unahisi kila anayefuga wateja wake watahama. Mbona unapenda kukatisha tamaa watu?Bata hana soko la haraka...nimewafuga sanaa., Wateja wa bata ni wachache, wakihama kikazi kupata mteja mpya shughuli
Nielekeze soko chiefAcheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Nilianza kufuga Bata nikikatishwa tamaa kuhusu soko lakini sasa napambana na wateja wanawapata japo siyo kwa kiasi kikubwa.Nielekeze soko chief
Bata wa kawaida ndo wanasoko kubwaNilianza kufuga Bata nikikatishwa tamaa kuhusu soko lakini sasa napambana na wateja wanawapata japo siyo kwa kiasi kikubwa.
Ukianza biashara yoyote ni lazima upambane kusaka soko la bidhaa zako mwenyewe.
Pichani chini ni sehemu ya Bata wangu wakila Azolla.
Nakazia hata mbolea yake ni nomahata nguruwe kuliko mbuzi na ng'ombe
Uzuri ni kwamba wana bei nzuri kuliko kuku na wateja wake ni wa uhakikaBata hana soko la haraka...nimewafuga sanaa., Wateja wa bata ni wachache, wakihama kikazi kupata mteja mpya shughuli
Ukitaka kufuga bata kwa starehe fanya hayaUkifuga bata umefuga kwajili yako na familia yako ukitegemea ufuge kibiashara imekula kwako..watakunya hadi kwenye makochi.
Bata hata ale mawe lazima aachie uharo..kitu kilichonifanya nisifuge kabisa hao viumbe...licha ya uharamu wao.
#MaendeleoHayanaChama
Siwezi kula bata hata kwa fimbo
Na bei zake si za kitoto.. Mlalahoi hamudu hata siku mojaBata Ufuge Kwa Biashara Hasa Hawa
Bukini , Indian Runner, Pekin Malard
Hawa Watu Wanawafuga Sana!
Changamoto Ukifuga Holela Watu Wanawaiba Haraka, Ila Hawa Bata Wa Kawaida
Nao Wanazaliana Mno
Mmh...[emoji23]hata nguruwe kuliko mbuzi na ng'ombe
Na prof. M. Mrisho pia kaimbaWewe inaelekea haujawahi kuisikia nyimbo ya Mzee Isser Matona inayoitwa "Nyama ya Bata ni tamu" acha kabisa wewe bwanaeeeeee.
"bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani"Ukitaka kufuga bata kwa starehe fanya haya
1. Jenga banda linaloruhusu kinyesi kutiritlrika kwenye mtaro
2. Bwawa la tope
Bwawa la maji safi
4. Open space yenye nyasi/majani mafupi
Hivi vyote viwe kwenye uzio mmoja na bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani
Boss nipe connection mm nafuga bata aina mbaliAcheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Sio kweli. Bata anaelishwa unga/pumba ya mpunga haharishi.Ukifuga bata umefuga kwajili yako na familia yako ukitegemea ufuge kibiashara imekula kwako..watakunya hadi kwenye makochi.
Bata hata ale mawe lazima aachie uharo..kitu kilichonifanya nisifuge kabisa hao viumbe...licha ya uharamu wao.
#MaendeleoHayanaChama
Banda liwe na milango miwili wakuingilia na wa kutokea... Wanapotoka asubuhi ni moja kwa moja kwenye bwala la mtope wacheze huko wachafuke tani yao, wakirudi jioni wanapitia bwawa la maji safi waoge kisha bandani"bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani"
Hapa sijapapata vizuri. Kabla ya kuingia bandani, na kutokea bandani [emoji848]
Sawa mtaalamu, hapa nimekupata vuzuri sana.Banda liwe na milango miwili wakuingilia na wa kutokea... Wanapotoka asubuhi ni moja kwa moja kwenye bwala la mtope wacheze huko wachafuke tani yao, wakirudi jioni wanapitia bwawa la maji safi waoge kisha bandani
Piga kelele kwa Bata bukini wakeWakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.
Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.
Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.
Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.