Kufuga bata ni bora kuliko kuku na kanga

Kufuga bata ni bora kuliko kuku na kanga

Acheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura

Soko la Sungura likoje mkuu?
 
Acheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Nielekeze soko chief
 
Nielekeze soko chief
Nilianza kufuga Bata nikikatishwa tamaa kuhusu soko lakini sasa napambana na wateja wanawapata japo siyo kwa kiasi kikubwa.
Ukianza biashara yoyote ni lazima upambane kusaka soko la bidhaa zako mwenyewe.
Pichani chini ni sehemu ya Bata wangu wakila Azolla.
 

Attachments

  • VID_20221228_211544_210.mp4
    3.3 MB
Nilianza kufuga Bata nikikatishwa tamaa kuhusu soko lakini sasa napambana na wateja wanawapata japo siyo kwa kiasi kikubwa.
Ukianza biashara yoyote ni lazima upambane kusaka soko la bidhaa zako mwenyewe.
Pichani chini ni sehemu ya Bata wangu wakila Azolla.
Bata wa kawaida ndo wanasoko kubwa
 
Ukifuga bata umefuga kwajili yako na familia yako ukitegemea ufuge kibiashara imekula kwako..watakunya hadi kwenye makochi.

Bata hata ale mawe lazima aachie uharo..kitu kilichonifanya nisifuge kabisa hao viumbe...licha ya uharamu wao.

#MaendeleoHayanaChama
Ukitaka kufuga bata kwa starehe fanya haya
1. Jenga banda linaloruhusu kinyesi kutiritlrika kwenye mtaro
2. Bwawa la tope
Bwawa la maji safi
4. Open space yenye nyasi/majani mafupi
Hivi vyote viwe kwenye uzio mmoja na bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani
 
Bata Ufuge Kwa Biashara Hasa Hawa
Bukini , Indian Runner, Pekin Malard
Hawa Watu Wanawafuga Sana!


Changamoto Ukifuga Holela Watu Wanawaiba Haraka, Ila Hawa Bata Wa Kawaida
Nao Wanazaliana Mno
Na bei zake si za kitoto.. Mlalahoi hamudu hata siku moja
 
Ukitaka kufuga bata kwa starehe fanya haya
1. Jenga banda linaloruhusu kinyesi kutiritlrika kwenye mtaro
2. Bwawa la tope
Bwawa la maji safi
4. Open space yenye nyasi/majani mafupi
Hivi vyote viwe kwenye uzio mmoja na bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani
"bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani"

Hapa sijapapata vizuri. Kabla ya kuingia bandani, na kutokea bandani [emoji848]
 
Acheni kuwavunja watu moyo,bata wana soko tena kubwa na la uhakika, wewe kama haujui soko lilipo Omba uelekezwe, mimi nafuga nauza mayai kila siku yai moja 700 na bata huwa nauza kuanzia 10 na bata dume nauza 35/40 elfu jike 25/30 napata ofa nyingi kila siku, now nimeanza kufuga na sungura
Boss nipe connection mm nafuga bata aina mbali
Ikiwemo wa Kienyeji , Bukini, mallard, khaki Campbell na Indian runner
Call 0759444402
Nipo CHANIKA KWA SINGA
 

Attachments

  • E7C6D439-45CA-4D97-9F90-CE06FFC2B5EB.jpeg
    E7C6D439-45CA-4D97-9F90-CE06FFC2B5EB.jpeg
    1.3 MB · Views: 69
  • 5942EC1A-0651-4318-BB38-06D470D75121.jpeg
    5942EC1A-0651-4318-BB38-06D470D75121.jpeg
    881.3 KB · Views: 77
  • 2955DFC5-4F87-45C4-9250-546F0A83A1FC.jpeg
    2955DFC5-4F87-45C4-9250-546F0A83A1FC.jpeg
    724 KB · Views: 67
  • A17FDD09-991E-4A22-A877-6C596B266791.jpeg
    A17FDD09-991E-4A22-A877-6C596B266791.jpeg
    1.2 MB · Views: 69
Ukifuga bata umefuga kwajili yako na familia yako ukitegemea ufuge kibiashara imekula kwako..watakunya hadi kwenye makochi.

Bata hata ale mawe lazima aachie uharo..kitu kilichonifanya nisifuge kabisa hao viumbe...licha ya uharamu wao.

#MaendeleoHayanaChama
Sio kweli. Bata anaelishwa unga/pumba ya mpunga haharishi.

Pia bata anaelishwa makapi ya ngano haharishi.

Simply like that, husk and bran diet, from wheat or rice. Nimefanya sana hii na ni very cheap. Unachanganya na mashudu ya alizeti/chikichi.

In short, Vyakula vinavyosababisha constipation kwa binadamu vinazuia bata kuharisha.
 
"bwawa la maji safi liwe la mwisho kabla ya kuingia bandani na bwawa la matope liwe la kwanza kutokea bandani"

Hapa sijapapata vizuri. Kabla ya kuingia bandani, na kutokea bandani [emoji848]
Banda liwe na milango miwili wakuingilia na wa kutokea... Wanapotoka asubuhi ni moja kwa moja kwenye bwala la mtope wacheze huko wachafuke tani yao, wakirudi jioni wanapitia bwawa la maji safi waoge kisha bandani
 
Banda liwe na milango miwili wakuingilia na wa kutokea... Wanapotoka asubuhi ni moja kwa moja kwenye bwala la mtope wacheze huko wachafuke tani yao, wakirudi jioni wanapitia bwawa la maji safi waoge kisha bandani
Sawa mtaalamu, hapa nimekupata vuzuri sana.
 
Wakuu, mm ninafuga ndege hao aina tatu.

Nilichogundua, bata anahimili magonjwa sana, pia vyakula hachagui sana. Bata wana nyama nyingi sana na wanauzwa hadi 35,000 kwa jogoo mkubwa. Bata hawana uhitaji mkubwa wa madawa au vyakula vya dukani.

Kuku ni wadhaifu kwenye magonjwa. Wanakufa sana. Pia speed yao ya kukua siyo kubwa.

Bata ana nyama tamu sana kuliko kuku na kanga.
Piga kelele kwa Bata bukini wake
 
Back
Top Bottom