Huyu wa dar nilikuwa bado cjamvua chupi mkuu kwaiyo kwake ilikuwa kama surpriseMbona mraya za kutosha hapo Moro si ungetafuta wa siku hio au huyo huyo wa dar alikuwa na kitu special
Sent using Jamii Forums mobile app
ulivomuuliza akasemajeNilivyosikia Tanga ndo mapenzi yalikozaliwa, nikajitutumua kutoka Dar, ai basi huyo dem niliyekutana nae si yule nilikuwa natumiwa picha, kidogo nichanganyikiwe, kibishi nikala mzigo nikasepa zangu siku ya pili
Sent using Jamii Forums mobile app
hehehehe hadu kamaliza chuo hujamlaMapenzi uchizi kweli,,shamfukuzia demu tena kila wkend chuoni..kila nikifika dem anadai yupo bize.
Uzuri kuna mdogo wangu alikua anasoma maeneo hayo basi akawa kila nikienda na zawadi nambebea na yeye af natangulia kupita chuon kwa dem ikawa kila akisema yupo bize nabeba zawadi zote nampelekea dogo..
young kilimanjaro
vp alikupa mzigo
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha haaaaah, alisema account ni yake na yeye ndo alikuwa anachat na mimi ila picha kuna rafiki yake ndo huwa anaweka, mbona stimu zilikataulivomuuliza akasemaje
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji125] [emoji125]...........haki sijawahi kucheka kama leo![emoji23]Dar to Lagos........ ni wale matapeli wa mitandaoni
sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
heheehehehe hii ya kuwa na chumba chenu kabisa wengi humu tumeipitia sanaenzi hizo nasoma nlikua na kababy kangu mzumbe...so misele ya Dar to moro nimepiga sana.kuna lodge flan pale moro inaitwa twins lodge,tulikua na chumba chetu special kabisa.
Duh polemwenyewe nilitoka Mbeya to dar kumfuata wangu ndo tuonane kwa Mara ya kwanza...tena kwa gharama yangu....lakini nilishia kulala lodge pekeyangu....yeye hakutokea ikanibidi nigeuze hiyo kesho yake.....nilivyorudi home ikabidi nimuulize why....mbona vile.Akanijibu niliogopa utaniambia twende kwangu wakati mi naishi kwa shangaz yangu.Kipindi chote tunachat alikuwa ananitumia picha za jenge lake kumbe nae analelewa
HahahaEti vp kwa upande wako ulishawahi kufukuzia mtu ambaye unamtaka kimapenzi na anaishi mbali na wewe hadi ukaamua kumfungia safari hukohuko?
hebu niambie ulienda umbali gani kufukuzia mpenzi
Mimi niliwahi kusafiri Mombasa hadi kibosho halafu nikakuta mtoto mwenyewe yupo kwenye siku zake hivyo nikarudi bure
DuuhDuuh jambo la kawaida sana, umenikumbusha safari yangu toka Dar hadi kampala, na ilikuwa safari yangu ya kwanza kwenda UG, na hakuna zaidi ya nilicho kifata ni mbunye, na ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza kuonana na mtoto ana kwa ana,
Sema demu hakuwa mzushi