Kufukuzia hadi kusafiria penzi

Mapenzi uchizi kweli,,shamfukuzia demu tena kila wkend chuoni..kila nikifika dem anadai yupo bize.
Uzuri kuna mdogo wangu alikua anasoma maeneo hayo basi akawa kila nikienda na zawadi nambebea na yeye af natangulia kupita chuon kwa dem ikawa kila akisema yupo bize nabeba zawadi zote nampelekea dogo..

young kilimanjaro
 
hehehehe hadu kamaliza chuo hujamla
 
Mimi nimefunga safari mbili,,,,,,,,,,Moro - Dom, Moro - Tanga. enzi za ujana hizo.
 
Dar to Lagos........ ni wale matapeli wa mitandaoni

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Dar to Lagos........ ni wale matapeli wa mitandaoni

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji125] [emoji125]...........haki sijawahi kucheka kama leo![emoji23]
 
enzi hizo nasoma nlikua na kababy kangu mzumbe...so misele ya Dar to moro nimepiga sana.kuna lodge flan pale moro inaitwa twins lodge,tulikua na chumba chetu special kabisa.
 
enzi hizo nasoma nlikua na kababy kangu mzumbe...so misele ya Dar to moro nimepiga sana.kuna lodge flan pale moro inaitwa twins lodge,tulikua na chumba chetu special kabisa.
heheehehehe hii ya kuwa na chumba chenu kabisa wengi humu tumeipitia sana
 
Duuuhhhh

[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Duh pole
 
Hahaha
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…