Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mazee ya kukurupuka yameingia choo cha kike. Maakini hayaogopi hata covid-19 ndio maana yanakufa kwa roho zao.mbaya. hata kuogopa tu kipindi hiki cha janga kuu hakuna. Duhhh kuna mijitu ina shingo ngumu.Ni vema tukamfahamu mtu huyu ili achambuliwe kwa lengo la kujiridhisha kama kwa Elimu yake na afya yake ya akili inafaa kwa sisi kuendelea kumchambua .
vinginevyo tumwache na ikibidi tuendeleee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjaalie wepesi wa kutambua kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana .
Shetani hana rafiki .
Jadili kwanza elimu ya kiongozi wako wa chamaNi vema tukamfahamu mtu huyu ili achambuliwe kwa lengo la kujiridhisha kama kwa Elimu yake na afya yake ya akili inafaa kwa sisi kuendelea kumchambua .
vinginevyo tumwache na ikibidi tuendeleee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjaalie wepesi wa kutambua kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana .
Shetani hana rafiki .
ni ujasiri wa ajabu sana !Mazee ya kukurupuka yameingia choo cha kike. Maakini hayaogopi hata covid-19 ndio maana yanakufa kwa roho zao.mbaya. hata kuogopa tu kipindi hiki cha janga kuu hakuna. Duhhh kuna mijitu ina shingo ngumu.
kwani na yeye anapokea barua kutoka popote ?
Yule mama sijui kama hatatumbuliwa aliagizwa ahakikishe Jacob anachomolewa lakini mbinu aliyotumia amemuaibisha mteuzi wake.kwani na yeye anapokea barua kutoka popote ?
kuna kila daliliYule mama sijui kama hatatumbuliwa aliagizwa ahakikishe Jacob anachomolewa lakini mbinu aliyotumia amemuaibisha mteuzi wake.
Ni vema tukamfahamu mtu huyu ili achambuliwe kwa lengo la kujiridhisha kama kwa Elimu yake na afya yake ya akili inafaa kwa sisi kuendelea kumchambua .
vinginevyo tumwache na ikibidi tuendeleee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjaalie wepesi wa kutambua kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana .
Shetani hana rafiki .
Kabisa mkuuMkuu mimic bonus hang as a zaidi ni kuww siku yenyewe ilikuwa Saturday ambayo kwa kawaida ni half a day.
Aliona shida gani kusubiri kusubiri kuhoji upande wa pili at least on Monday?
Baadhi ya viongozi wanaendeshwa na emotions sana.
Ajitafakari kama bado anao uhalali wa kuwepo kwenye hiyo kazi/office
Nani kakudanganya ?Kumbe ery ndiye jacob
Huyo mama kaja kuimpress kiti
Ila anaogopa vinavyomuogopesha na vilivyomkimbiza mtwara
Mkuu mimi mshangao wangu mkubwa zaidi ni kuwa siku yenyewe ilikuwa Saturday ambayo kwa kawaida ni half day.
Aliona shida gani kusubiri kusubiri kuhoji upande wa pili mpaka at least on Monday?
Baadhi ya viongozi wanaendeshwa na emotions sana.
Ajitafakari kama bado anao uhalali wa kuwepo kwenye hiyo kazi/office ajiuzulu kulinda heshima ya serikali tu
Aibu kubwa ni kwa mamlaka ya uteuziHuyu mkurugenzi amekosa sifa ya kuwa mkurugenzi, kitendo cha kufanyia kazi barua bila kujiridhisha Ni aibu kubwa.
Nadhani Chadema wambane huyo mama watu waliompatia hyo barua, maana hyo ni jinai pia...Aibu kubwa ni kwa mamlaka ya uteuzi
Kiongozi wako wa chama ni professor mpaka Leo hii hajui English lugha ambayo kapatia huo uprofessor
Kiongozi wako wa chama ni professor mpaka Leo hii hajui English lugha ambayo kapatia huo uprofessor
Sent using Jamii Forums mobile app