"Kufukuzwa" kwa Meya Boniface Jacob: Utumishi wa umma umeingiliwa

"Kufukuzwa" kwa Meya Boniface Jacob: Utumishi wa umma umeingiliwa

Ni vema tukamfahamu mtu huyu ili achambuliwe kwa lengo la kujiridhisha kama kwa Elimu yake na afya yake ya akili inafaa kwa sisi kuendelea kumchambua .

vinginevyo tumwache na ikibidi tuendeleee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjaalie wepesi wa kutambua kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana .

Shetani hana rafiki .
Barua muwasilishe nyie wenyewe lawama apatiwe Mkurugenzi. Hivi kweli akili zenu zinafanya kazi sawasawa. Semeni ukweli kwamba Jacob mmemvua uanachama na baada ya kuombwa rushwa mmetengua mlichokiandika.

Masjala ya Mkurugenzi inapokea barua zote za kutoka nje/ Incoming later na za kutoka nje na za ndani ya ofisi na zikipokelewa masijala faili hupelekwa kwa Mtaalam wa kulishughulikia. Mkurugenzi akiishughulikia baadae mnaanza kutokwa na Mapovu.

Hivi mnadhani hatukawaelewa. Jacob alifukuzwa kwa maelekezo ya Mbowe na baadae kwasababu hawakupublicise wamegundua wamekosea na hiyo ni mbinu nyingine.

Nyie Machadema acheni Maisha ya Kiki
 
Siasa NI mbaya sana tuna janga la korona afu tunaanza visa vingine

Huu ni ujinga, ubinafsi na tamaa za Madaraka

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Kumbe mmeandika barua ili muandae namna ya kujipatia fedha za kuwasaidia kwenye Kampeni, shenzini kabisa nyie.
 
Mwache, very soon utasikia RIP kisa kushindwa kupumua.
Ni vema tukamfahamu mtu huyu ili achambuliwe kwa lengo la kujiridhisha kama kwa Elimu yake na afya yake ya akili inafaa kwa sisi kuendelea kumchambua .

vinginevyo tumwache na ikibidi tuendeleee kumuombea ili Mwenyezi Mungu amjaalie wepesi wa kutambua kwamba Cheo ni dhamana ya muda mfupi sana .

Shetani hana rafiki .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Malisa anajielewa kweli??

Yaani mtu ushitakiwe kwa kupokea barua?? Au ulazimishwe kumleta aliyekuandikia?? Hii ni aina gani ya kufikiri??
 
Kumekuwa na ujinga na upumbavu mwingi, viongozi wamejisahau sana, hata hawakumbuki kuwa hii ni karne ya 21.

Naamini atakuja kijibu wakati ukifika na atawajibika labda hii corona imchukue mapema.

Bado kitambo kidogo naamini.

Hawatakua na KINGA ya Kikatiba na JINAI haifutiki.
 
Kumbe mmeandika barua ili muandae namna ya kujipatia fedha za kuwasaidia kwenye Kampeni, shenzini kabisa nyie.
Kukichukia chama au mtu ni sawa na haki yako kabisa,lakini jaribu kutoonesha ujinga na ulimbukeni wakati wa kuonesha chuki zako!Chuki basi iendane na hoja na sio kujidhalilisha kwa kiwango hiki,shame!
 
Back
Top Bottom