Umeishia darasa la ngapi la 3b au la 5c?Simba Ile ya 2020-2022 SI ndio Simba ya Mohammed Dewji!??
Uwezo gani ulikua unauzungumzia wewe!?
Kama wa kifedha Simba ilikua ina uwezo mkubwa wa kifedha wa kumsajili mchezaji anayetaka na kumuajiri kocha anayetaka.
Hilo swali ulipaswa ujiulize wewe kwasababu mbili.Umeishia darasa la ngapi la 3b au la 5c?
Another wasted sperm..!!Hilo swali ulipaswa ujiulize wewe kwasababu mbili.
1)Kwanza umeuliza swali ambalo ni nje ya nilichoandika,nilieleza kuhusu Yanga ya Nabi ukauliza kuhusu Simba.
Unaonekana sio mtu wa kuzingatia content,umefaulu vipi darasani!?
2)Pili nimekuuliza uwezo upi unapozungumzia je wa kifedha au upi!?
Badala ujibu Kwa mtiririko unaotakiwa unaleta viroja.
Hili ndio zao la shule za saint kayumba.
Get your fucking stingy ass out of here.Another wasted sperm..!!
Robertinho alifukuzwa akiwa kafungwa gemu moja na Yanga.Ingekuwa simba ndio imemtimua kocha kwa kipindi kifupi ivyo tena akiwa na rekodi nzuri,
Aisee wachaMbuzi wangeshindana kudemka makalio yao kuishambulia Simba mwanzo mwisho
Leta CV ya Ramovi ulinganishe na Nabi acha kupiga kelele jibu hoja kwa hoja sio unabwabwaja tu msijifu kwamba utopolo inawapaisha makocha wenye uwezo mdogo shida ni kwamba huleti ulinganishi wa CV ya Nabi na Huyo RamovicHivi mkuu wewe ni mtu wa mpira ama mpiga porojo tu?
Nasrudin Nabi si ndiye kocha aliyeweka rekodi ya UNBEATABLE msimu mzima wa 2022!?
Nabi si ndiye aliyeipa Yanga ubingwa mara mbili mfululizo 2022 na 2023!?
Nabi si ndiye aliyeipandisha rank Yanga CAF kwa kuipeleka fainali shirikisho Afrika!?
Na historia ya Nabi ilikua kama ya huyo Ramovic,Yanga ilimchukua akiwa ametoka kufukuzwa kazi timu ya Al merreikh ya Sudan.
Ila akaja Yanga akafanya makubwa kila mtu akashangaa.
Nahisi hapa najadiliana na mpiga kelele sio mtu wa mpira.
Aliyepiga kelele na kubwabwaja ni mimi au wewe!?Leta CV ya Ramovi ulinganishe na Nabi acha kupiga kelele jibu hoja kwa hoja sio unabwabwaja tu msijifu kwamba utopolo inawapaisha makocha wenye uwezo mdogo shida ni kwamba huleti ulinganishi wa CV ya Nabi na Huyo Ramovic
Ndo akina Shanily hawa..!! Wapo wengi sana. Ila mwenyekiti wao alishasema, ni mbumbumbu
NutsAliyepiga kelele na kubwabwaja ni mimi au wewe!?
Nasrudin Nabi ana CV gani zaidi kubwa zaidi ya kuchukua Confederation Cup akiwa kama ASSISTANT COACH!?
Team gani alienda akiwa head coach na akapata mafanikio kama aliyopata Yanga!?
Yanga ilimchukua Nabi akiwa kafukuzwa sio kajihuzuru bali kafukuzwa kazi El merreikh,ndio Yanga ikamchukua katikati ya msimu kuelekea mwishoni wa 2020/2021.
Unakuja unaharisha tu hapa kwa mdomo pumbavu zako.
Kama Yanga angetizama CV muda ule je angemchukua Nabi!?
Nabi hakuwa na CV yeyote kubwa wakati ule.
Peleka upuuzi wako kiufupi mnaokota makocha wenye CV sisimizi budget ndogo mnaendeshwa kwa pressureAliyepiga kelele na kubwabwaja ni mimi au wewe!?
Nasrudin Nabi ana CV gani zaidi kubwa zaidi ya kuchukua Confederation Cup akiwa kama ASSISTANT COACH!?
Team gani alienda akiwa head coach na akapata mafanikio kama aliyopata Yanga!?
Yanga ilimchukua Nabi akiwa kafukuzwa sio kajihuzuru bali kafukuzwa kazi El merreikh,ndio Yanga ikamchukua katikati ya msimu kuelekea mwishoni wa 2020/2021.
Unakuja unaharisha tu hapa kwa mdomo pumbavu zako.
Kama Yanga angetizama CV muda ule je angemchukua Nabi!?
Nabi hakuwa na CV yeyote kubwa wakati ule.
Such an impudent.Nuts
Bado unabwabwaja kama fala!?Peleka upuuzi wako kiufupi mnaokota makocha wenye CV sisimizi budget ndogo mnaendeshwa kwa pressure
Huwezi kuhama timu,timu siyo dini