Kufumbia tabia na kasumba ya askari wa JWTZ kupiga raia na kuwaletea madhara imesababisha mauaji dhidi ya raia kuongezeka

Kufumbia tabia na kasumba ya askari wa JWTZ kupiga raia na kuwaletea madhara imesababisha mauaji dhidi ya raia kuongezeka

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Matukio mengi sana yanayofanywa na askari wa JWTZ wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na vyombo vya dola sababu wao ni wanajeshi.

Hii imesababisha matukio ya askari wa JWTZ kujichukulia sheria mkononi kuwa sugu, sasa wanaua raia mara kwa mara na mpaka inatia doa jeshi letu

Hii inatia doa taifa letu na jeshi letu.
 
Matukio mengi sana yanayofanywa na askali wa Jwtz wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na vyombo vya dola sababu wao ni wanajeshi.

Hii imesababisha matukio ya askari wa Jwtz kujichukulia sheria mkononi kuwa sugu, sasa wanaua raia mara kwa mara na mpaka inatia doa jeahi letu

Hii inatia doa taifa letu na jeshi letu.
Leo hujamtukana MBOWE, hebu mtukane kidogo
 
Pale lugalo njia panda ya kawe wameweka benchi la chuma alafu wameandika "AMRI USIKAE HAPA"[emoji16][emoji16][emoji16].
Ili mradi wakutafutie sababu wakutese Kama haujui kusoma itakula kwako
 
Hapo ndo wamepunguza kidogo lkn tatizo bado lipo aisee yaani mpaka Leo mwanajeshi anaweza akasababisha Ajali na kosa likawa lake kitakacho tokea huwezi amini wanajiona wako juu ya Sheria. Sasa usiombe kosa liwe lako watakufanya wanavyojua wao.

R.I.P Swahiba wangu waliempiga mpaka akapoteza Maisha kule ufukweni nafikiria mnakupunga Hili tukio kipindi cha JK
 
Badala watusaidie hata tusisikie tunafisadiwa wao wanapiga raia!..
Mi huwa nashangaa ati Kuna habari nchi inafisadiwa na wenyewe wapo wanalinda mipaka!!.. hivi unawezaje kulinda mipaka na wakati unavyovilinda vinafisadiwa..😀

Na tutapokea kichapo mpk akili itukae sawa..😂
 
Badala watusaidie hata tusisikie tunafisadiwa wao wanapiga raia!..
Mi huwa nashangaa ati Kuna habari nchi inafisadiwa na wenyewe wapo wanalinda mipaka!!.. hivi unawezaje kulinda mipaka na wakati unavyovilinda vinafisadiwa..😀

Na tutapokea kichapo mpk akili itukae sawa..😂
Tunaelekea pabaya sana.
 
Matukio mengi sana yanayofanywa na askali wa Jwtz wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na vyombo vya dola sababu wao ni wanajeshi.

Hii imesababisha matukio ya askari wa Jwtz kujichukulia sheria mkononi kuwa sugu, sasa wanaua raia mara kwa mara na mpaka inatia doa jeahi letu

Hii inatia doa taifa letu na jeshi letu.
Leo hujamtukana MBOWE, hebu mtukane kidogo
Swain mkubwa
😳😳😳😳😳
 
Matukio mengi sana yanayofanywa na askari wa JWTZ wanaojichukulia sheria mkononi kwa kupiga raia na kuwasabibishai vifo na ulemavu kwa sababu za labda kuibiwa mali au kukosana na raia yanaporipotiwa polisi mara nyingi huwa hawachukuliwi sheria au hatua stahiki. Hii ni kwa sababu ya kulindwa na vyombo vya dola sababu wao ni wanajeshi.

Hii imesababisha matukio ya askari wa JWTZ kujichukulia sheria mkononi kuwa sugu, sasa wanaua raia mara kwa mara na mpaka inatia doa jeshi letu

Hii inatia doa taifa letu na jeshi letu.
Hizi habari yule mwanajeshi sijui mimi mwanajeshi zipo uko kwenu Tanzania sisi kule kwetu Somalia hamna hizo mambo.
 
Askari wanaopiga raia wengi wao huwa ni wakuja na hawa rank less ambao bado hawana malengo ya maisha
 
Hapa umrzungumzia upiga wakati gani wa uchaguzi au
 
Back
Top Bottom