Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Kufunga 'PM' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.

Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.

Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k

Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'PM'​
 

Kufunga 'pm' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.

Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.

Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k

Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'​
1.Kila mtu ana haki ya kufunga PM. Ndiyo maana ikaitwa PM. The P in PM means Private.

2. Privacy ni haki ya kikatiba.

3.Kufunga PM si uchoyo. Mtu mwingine anaweza kufunga PM kwa kukuhurumia wewe.

4. Hata uchoyo nao ni haki ya mtu. Mtu ana haki ya kuwa mchoyo kwa kitu chake.

5. Wewe nawe una mailbox yako. Ifanye unachotaka. Acha kutamani ku control mailboxes za wenzako.
 
1.Kila mtu ana haki ya kufunga PM. Ndiyo maana ikaitwa PM. The P in PM means Private.

2. Privacy ni haki ya kikatiba.

3.Kufunga PM si uchoyo. Mtu mwingine anaweza kufunga PM kwa kukuhurumia wewe.

4. Hata uchoyo nao ni haki ya mtu. Mtu ana haki ya kuwa mchoyo kwa kitu chake.

5. Wewe nawe una mailbox yako. Ifanye unachotaka. Acha kutamani ku control mailboxes za wenzako.
Huwa mnasemeshana na jirani yako mkuu; huwa mnatumia masaa mangapi kwa wiki?
 
Back
Top Bottom