Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Mtu kufunga pm ana kuwa na sababu zake anazozijua yeye.Umalaya ni hulka haina mahusiano yoyote na kufunga PM.Si unakuwa umejifungia na watu kumi ndani
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kufunga pm ana kuwa na sababu zake anazozijua yeye.Umalaya ni hulka haina mahusiano yoyote na kufunga PM.Si unakuwa umejifungia na watu kumi ndani
Nikija huko nitaomba nambari ili iwe rahis zaidItakuwa vizuri
Ngoja nikuibukie kabla hujafunga [emoji16][emoji16][emoji16]Mwenye namna ya kufunga pm anisaidie nataka nifunge ila sijui
Sio ombi ni lazimaAfu LAZIMA!
Mara ya mwisho kuongea na jirani yako ilikuwa lini?Mwenye namna ya kufunga pm anisaidie nataka nifunge ila sijui
Watake wasitake😠Sio ombi ni lazima
Fanya uje please mama 🥲
Waambie hao waache choyo ata ya chatingWatake wasitake😠
[emoji1787] funguo niliimeza asa itakuaje?Fanya uje please mama 🥲
Sitasema
Mimi unaeza nipm bila kufungua kwako.
Mnapishana na fursa, wa mtaani ndio walioko hukuWachuchu mtaani wapo wa kumwaga tunafanya kuchagua na kama kuolewa kupo nitaolewa tu rafiki yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤸Waambie hao waache choyo ata ya chating
Mwenye namna ya kufunga pm anisaidie nataka nifunge ila sijui
Nakaziaaaaa
Sio tabia zangu hizo
Nan[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja akifungulie
Pm inafungwa je nielekeze
Unajambo gan muhimu linalokufanya ukeshe kwenye mlango wa pm yangu we katoto