Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahah mambo ya kikubwa zaidmanin hayo unayotaka tuyajenge???
Nimeshaelekezwa nimefunga🤣Njoo nikufundishe
😀 😀 😀 uko sawa wakubwa vs wakubwa; vitoto vs vitoto, ila tuambie tafsiri ya vitoto kwa mtazamo wako mkuu?Nimekosea mkuu??🤣🤣🤣
Ahaahah mbona ukua nikuelekezeNimeshaelekezwa nimefunga🤣
huyo hana muda na malast bornAu figo76 bint mrembo
Watabadilika tuInauma sana
Tabia mbaya hiyoNimeshaelekezwa nimefunga🤣
Shimba ya Buyenze aliwahi Kuni assist🤣Ahaahah mbona ukua nikuelekeze
Nitaongea nae akufukirie kijana wangu ata kuhonga range tutaongahuyo hana muda na malast born
ngoja uje ukute ni lishoga 😂......ni kweli wasiwe wachoyo kwa wapiga hodi hasa ke, kuna bidada humu wiki nzima nakesha kwenye pm yake, siku akiachia kidogo tu hata hewa ipite nimo ndani kama mshale!!!......
Umeandika Kwa uchungu saaaaana sanaKwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'
Sawa mkuu ila ukimshawishi Kelsea nna zawadi yako nawewe utaning'iniza funguoNitaongea nae akufukirie kijana wangu ata kuhonga range tutaonga
Mambo ya kikubwa zaidi ni yapiAhahah mambo ya kikubwa zaid
Usikubali kumfungulia... Jaribu kwangu tuone kama inafanya kazi📳Mambo ya kikubwa zaidi ni yapi
Hii kali 😃Ukiona mtu anafunga PM ni Malaya
Uhandsome na hela Ni mafuta na maji🤣sahihi.....watatukosa sisi ma handsome wenye hela 😂shauri yao
Ni vizuri kuwa na marafiki wapyaUmeandika Kwa uchungu saaaaana sana