Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sema wewe dada shemeji pm yako ukiifunga sawa tuMulemule yaani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema wewe dada shemeji pm yako ukiifunga sawa tuMulemule yaani!
Dogo una nyota ya fisi 😂B
ad nasubilia pm yako
Kwa Nini aifunge Sasa jamani?Sema wewe dada shemeji pm yako ukiifunga sawa tu
Pm yako uko inasoma ngapi?Dogo una nyota ya fisi 😂
🤣🤣🤣🤣🤣Fisi anasubiria mkono uanguke auleDogo una nyota ya fisi 😂
Kama 300 hivi.Pm yako uko inasoma ngapi?
Nikijibu ya kwanza & pili. Tatu nakuacha hapoNgoja nikathibitishe ili hata pakifungwa niwepo 😅
CC Bantu Lady
Kufunga 'pm' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.
Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.
Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k
Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'
Message me _ ROMderfulNijaribu nin kwako da'vinci😅😅
Pengine ni Bora hao kuliko sisi wenye sura personal na hela imetupiga teke.Ukimsalimia mtoto mzuri ghafla anashikilia pochi na simu yake vizuri akihisi huyu atakuwa kibakaUhandsome na hela Ni mafuta na maji🤣
B
ad nasubilia pm yako
Ahahaha ase ujajibu ata mojKama 300 hivi.
Kwanini? Ujue wenzako wanaitamani hiyo nafasi wanaikosaNikijibu ya kwanza & pili. Tatu nakuacha hapo
UifungeKwa Nini aifunge Sasa jamani?
Acha izo bhnasubira yavuta heri wahenga🤣🤣😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha Aisee!Ila kweli halafu uwe umetoka kupiga zako kibarua juani umejichokea macho mekundu maskini ya Mungu tunajua Ni mvuta bangi na mkora mzoefuPengine ni Bora hao kuliko sisi wenye sura personal na hela imetupiga teke.Ukimsalimia mtoto mzuri ghafla anashikilia pochi na simu yake vizuri akihisi huyu atakuwa kibaka
Siri ya kambi mkuu namngoja KelseaPm yako uko inasoma ngapi?
Na hauanguki 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣Fisi anasubiria mkono uanguke aule