mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
we jamaa unateseka sana😂Acha izo bhna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we jamaa unateseka sana😂Acha izo bhna
Umeona Mungu hakupi vyote ila ànaweza akakunyima vyote🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umenichekesha Aisee!Ila kweli halafu uwe umetoka kupiga zako kibarua juani umejichokea macho mekundu maskini ya Mungu tunajua Ni mvuta bangi na mkora mzoefu
Haina shida hata kidogo,mi siishi kiuoga.....I got mind and choice too..Uifunge
Akikudm nikup 3000Siri ya kambi mkuu namngoja Kelsea
Pm huko kuna mengi 😅Ngoja tu wafunge, wanatusaidia sana, wangefunga wote huenda tungeokoka kwa mengi 😁😁
PM kuwa wazi ni temptation kwa Me walio wengi, ila ukijaribu na kuona PM ina kufuli ni "kuvuja kwa pakacha..."!
Daaah hapo kwenye kunyimwa vyote Ni mtihaniUmeona Mungu hakupi vyote ila ànaweza akakunyima vyote
Tena sana 😂we jamaa unateseka sana😂
Shemeji huyoo 😅Haina shida hata kidogo,mi siishi kiuoga.....I got mind and choice too..
Watu wanapigwa na vitu vizito au?Pm huko kuna mengi 😅
Bora wafunge tu maana ni vilio
Hata kuweka milango kwenye nyumba zetu ni ubinafsi. Tujenge nyumba tusiweke milango
Kufunga 'pm' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.
Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.
Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k
Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'pm'
🤣🤣🤣🤣Acha fujoShemeji huyoo 😅
Kaka fulani kapata jiko haswa
😂😂🤣 sio kawaida huko pm tunapapenda lakini kuna gharamaWatu wanapigwa na vitu vizito au?
Kaka mwenye bandiko lake😂😂🤣🤣🤣🤣Acha fujo
wamasai kule ngorongoro hawaeki milango.... ukienda kwa mshkaji kama hayupo, unaingia unakula wife wake 😂unachomeka mkuki nje mtu asikusumbue😂Hata kuweka milango kwenye nyumba zetu ni ubinafsi. Tujenge nyumba tusiweke milango
Na hivi wengine wanatumia ID za kike ndio balaa zaidijau sana mwanangu Equation x mimi pm yangu imejaa madume tu daah 😂
Kwa Kelsea ???na wewe unapata tabu sana😂