Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
π hukuona usumbufu wangu naomba nikusumbuePM bhana πππ mie nishaga choka story za wakaka huko PM, nimeona nifunge
Sio kwa ubaya ni kuepuka usumbufu tu ππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π hukuona usumbufu wangu naomba nikusumbuePM bhana πππ mie nishaga choka story za wakaka huko PM, nimeona nifunge
Sio kwa ubaya ni kuepuka usumbufu tu ππ
Hamna hata mkuu, huko sijibugi labda kwa some important stuff πUmewasaidia wengi sana hakyanani π
kwa fujo hiz na ukorofi huu sidhan kama kuna wakukufungulia pm
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna kipindi hapa jukwaani, palikuwa na jamaa mmoja yeye alikuwa anatembeza dislike kwenye kila comment ya member yeyote. Sijui nae mlimzingua huko PM π πWatajua wenyewe huko simu yangu bando langu bado nijisumbue kufunga pm π¬π¬π€¨
πYes,safari yenye faidaπ π π π Sio mbaya, ngoja nikafungashe mzigo wa maparachichi na cocoa Kisha nirudi nazo mjini
Usinifanyie hvyo huko atuendi kustorishanaSina story mkuu ππ
Afu wa 2006[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji847]
Hivi kutokea 2006 mpaka sasa ni miaka mingapi? πNitabadilika nitakuwa vile utakavyo
π³Jesuuu! π€Ata ww nakutamani ujue
Yule alikuwa ana msongo wa mawazo π¬πππKuna kipindi hapa jukwaani, palikuwa na jamaa mmoja yeye alikuwa anatembeza dislike kwenye kila comment ya member yeyote. Sijui nae mlimzingua huko PM π π
Hivi kutokea 2006 mpaka sasa ni miaka mingapi? [emoji28]
Hii ni kweli mkuu kuna mda una jambo la kumfata mtu private ila unakuta bonge la lockπ€£π€£π€£ mambo mengine sio ya kuongelea jukwaani jamani
[emoji15]Jesuuu! [emoji847]
vipi mimi niko hapahapa mbeya ππYes,safari yenye faida
jikaze broπNitabadilika nitakuwa vile utakavyo
Maana kuna siku nimelog in, kwenye notifications nakutana na dislike 25 zimefatana π π πYule alikuwa ana msongo wa mawazo π¬πππ
I cantjikaze broπ
Jibu ninalopata, haliendani na uhalisia mkuu π πWewe si umesoma hesabu
Uwepo tu, mbona mbeya wanaume wengi mno hata ivoπ€vipi mimi niko hapahapa mbeya π
Jibu ninalopata, haliendani na uhalisia mkuu [emoji28][emoji28]