Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Unakuta mtu kaongea kitu jukwaani chenye mashiko na chenye maana unataka ujue zaidi unaenda kwa PM yake unakuta kufuliHii ni kweli mkuu kuna mda una jambo la kumfata mtu private ila unakuta bonge la lock
Uwepo tu, mbona mbeya wanaume wengi mno hata ivo[emoji2960]
Unakuta mtu kaongea kitu jukwaani chenye mashiko na chenye maana unataka ujue zaidi unaenda kwa PM yake unakuta kufuli
Da'Vinci kaoa dada yetu unataka vita na shemeji? [emoji51]
kukosa tendo muda mrefu, kunamfaya mtu kuwa na hasira hasira sana; nimeipata kwenye kitabu kimoja, ukurasa wa 73Pole sana aisee. Hivi kuna bus za jioni Dar to Mbeya?
Inakera mno na kuanza kumuimbisha mtu aje pm ni uwakiUnakuta mtu kaongea kitu jukwaani chenye mashiko na chenye maana unataka ujue zaidi unaenda kwa PM yake unakuta kufuli
😁😁😁Maana kuna siku nimelog in, kwenye notifications nakutana na dislike 25 zimefatana 😅😅😅
kwasababu profile ni fake, username ni fake, na hata personal information utakazopewa huko PM ni fake as well. ndio maana nafunga PM. period.Ivi na wewe una amin kabisa profile za jf khaa
Kwamba jamaa atafute mmoja wapo au? 😅Uwepo tu, mbona mbeya wanaume wengi mno hata ivo🤭
🤣🤣🤣 Mimi PM sichombezagi wadada wa humu JF sijawahi kuwaPM kumtongoza hata mmoja mambo yote huishia kwa jukwaa.Wew shida ukienda uki unaaz chombezo zako ndio maana unafungiwa
tusifike huko 😂Kwamba jamaa atafute mmoja wapo au? 😅
Inakera mno na kuanza kumuimbisha mtu aje pm ni uwaki
Uwaki kinyama unaona bora upotezeeInakera mno na kuanza kumuimbisha mtu aje pm ni uwaki
kwasababu profile ni fake, username ni fake, na hata personal information utakazopewa huko PM ni fake as well. ndio maana nafunga PM. period.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi PM sichombezagi wadada wa humu JF sijawahi kuwaPM kumtongoza hata mmoja mambo yote huishia kwa jukwaa.
Nimefanyaje jamani? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂Kuku kabisa wew
Sema we katoto pm haikufai
Kabisa mkuuUwaki kinyama unaona bora upotezee
Tumefanana tabia mkuu ila kutokana na tabia ya wengi kutongoza tunawekwa kundi moja🤣🤣🤣 Mimi PM sichombezagi wadada wa humu JF sijawahi kuwaPM kumtongoza hata mmoja mambo yote huishia kwa jukwaa.
Nimefanyaje jamani? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]