I'm waiting for you _ Nick Cave & The Bad SeedsThis i promise you-NSYNC
Kabisa kabisa....tall dark tough body bigcockaisee😂 maHB skuizi hawana soko kumbe.....
[emoji23][emoji23] ebu jaribu kuingia kwangu tuoneHahaha..
Wengine tuna master key, hata kama umeweka kufuli kuubwa PM tunaingia tuu[emoji16]
Bora ibaki ikiwa imefungwa... kuna vituko humu [emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji1316] funguo iliingia kutu haifunguki tena.
Duka la mtandaoni linatembelewa na watu wengi sana, kuliko duka la pale manzese.Sasa tofauti ipo wapi? nikiamua kudeal na wa mtaani tu mambo si yale yale sema njia tunazokutana ni tofauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
misukule boys 😂Kabisa kabisa....tall dark tough body bigcock
Mbele kwa mbele PM itaendelea kubaki na kufuli.Ni sawa na kuwa na msongo wa mawazo na kuamua kutoshirikisha watu, unaweza ukajinyonga.
Sawa Kelsea 😅Jaman lkn sio lazima. Mtu kama hataki si unamuacha mbona rahisi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sanaMimi nipewa vyote Mungu kwangu hakuwa mchoyo
Hivi mtu anaweza from nowhere akadrop kwenye pm yako bila kuwa na sababu?nimeingia jf mda huu nakutana na mkeka mrefu wa kutufokea sisi tuliofunga PM.
nasemaje, acha nionekane mbinafsi na mchoyo. liwake jua inyeshe mvua, PM sifungui. binafsi sihitaji ku establish network or friendship na mtu yoyote wa JF.
nimeridhika na network ya marafiki ambao nimefahamiananao linkedin, instagram na twitter.
jf tuishie kupiga story tu na kujadiliana masuala mbalimbali ya kijimii. kuchati PM is a BIG NO for me, ili iweje kwa mfano?, mwisho tuanze kuombana namba za simu....then what!.
.
Hapo nimeelewa 😅No asidhani nasubiri wa jf
Hongera sana
Okay, nipe kama dk 5 hivi😁
[emoji23][emoji23][emoji23] haya bwanaDuka la mtandaoni linatembelewa na watu wengi sana, kuliko duka la pale manzese.
Jf hawawataki singlemoms....nasi tumejiweka kandoHapo nimeelewa 😅
Huo ndio ukweli
Tunawahitaji, tatizo wanaume halisi tupo wachacheJf hawawataki singlemoms....nasi tumejiweka kando
🤣🤣🤣 umeanza sasaKwahiyo unataka kusema wadada ndo wanakutongoza?
Nimekuuliza tu😂🤣🤣🤣 umeanza sasa