nimeingia jf mda huu nakutana na mkeka mrefu wa kutufokea sisi tuliofunga PM.
nasemaje, acha nionekane mbinafsi na mchoyo. liwake jua inyeshe mvua, PM sifungui. binafsi sihitaji ku establish network or friendship na mtu yoyote wa JF.
nimeridhika na network ya marafiki ambao nimefahamiananao linkedin, instagram na twitter.
jf tuishie kupiga story tu na kujadiliana masuala mbalimbali ya kijimii. kuchati PM is a BIG NO for me, ili iweje kwa mfano?, mwisho tuanze kuombana namba za simu....then what!.
.