To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Huyu dogo hajatulia kabisa š¤£Wanashindana nazo eti!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu dogo hajatulia kabisa š¤£Wanashindana nazo eti!
šCool!
Ukikosa ile kitu, lazima kichwa kichanganye mafailiSasa Hali ya mvua imefanyaje?
sihitaji kujua sababu inayowasukuma watu kuanzisha mazumgumzo kwenye private message. sababu wanazijua wao wenyewe.Hivi mtu anaweza from nowhere akadrop kwenye pm yako bila kuwa na sababu?
š š š Mpende anae kupenda. Wazinguaji achana naoJf hawawataki singlemoms....nasi tumejiweka kando
Ni pmsihitaji kujua sababu inayowasukuma watu kuanzisha mazumgumzo kwenye private message. sababu wanazijua wao wenyewe.
mimi nimeamua kuchagua utaratubu wa kutoruhusu hali hiyo na ndio maana pm yangu ni inaccessible na simlazimishi yoyote kuniiga.
uzuri wa jf version ya miaka hii inakupa option mbalimbali za kulimit private details kwenye profile page yako. na ndicho nilichofanya.
View attachment 2588840View attachment 2588842
Na uzee wangu huu wa miaka 77 naitwa dogo, sawa š š šHuyu dogo hajatulia kabisa š¤£
sorry. sina sababu ya msingi ya kukupm.Ni pm
Sikia ach izo ww ni pm mimi nataka kuongeza networksorry. sina sababu ya msingi ya kukupm.
Ndio unipe maujanja sasa ili niwakamate vizuri hawa watoto wa kike, yaani wajilete wenyewe kwa PM.Mimi huwezi kwa sababu PM yangu iko open halafu huna wherewithal.
Mnataka kuwakamata watoto wa kike kwa nguvu kwenye PM.
Up your game player, waje wakufuate wenyewe PM yako.
Usawa huu hatutongozi, tunaongoza.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hatufungui ng'oo!!!!
Sawa kabisa šš š š Mpende anae kupenda. Wazinguaji achana nao
Ndio unipe maujanja sasa ili niwakamate vizuri hawa watoto wa kike, yaani wajilete wenyewe kwa PM.
Mimi huwezi kwa sababu PM yangu iko open halafu huna wherewithal.
Mnataka kuwakamata watoto wa kike kwa nguvu kwenye PM.
Up your game player, waje wakufuate wenyewe PM yako.
Usawa huu hatutongozi, tunaongoza.
Hata sijui linawekwaje...ila toa hilo kufuli kuna muda unakosa habari njema.
Nime observe kwako ww ni good friend sana sana so i sugest to be friend more up the day of my wedding uwe msimamoz wangu wa ndoa au hapo imekaajesorry. sina sababu ya msingi ya kukupm.
[emoji2]Na wewe umeanza, habar gan njema nizikose kwa jukwaa hadi chobingo?Hata sijui linawekwaje...ila toa hilo kufuli kuna muda unakosa habari njema.
Kuna siku nilitaka nikutumie kawimbo flan katamu nikakutana na [emoji357]..ikabidi niwe mpole [emoji3][emoji2]Na wewe umeanza, habar gan njema nizikose kwa jukwaa hadi chobingo?
Sent using Jamii Forums mobile app