Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Hivi mtu anaweza from nowhere akadrop kwenye pm yako bila kuwa na sababu?
sihitaji kujua sababu inayowasukuma watu kuanzisha mazumgumzo kwenye private message. sababu wanazijua wao wenyewe.

mimi nimeamua kuchagua utaratubu wa kutoruhusu hali hiyo na ndio maana pm yangu ni inaccessible na simlazimishi yoyote kuniiga.

uzuri wa jf version ya miaka hii inakupa option mbalimbali za kulimit private details kwenye profile page yako. na ndicho nilichofanya.
IMG_20230415_180718.jpg
IMG_20230415_180807.jpg
 
sihitaji kujua sababu inayowasukuma watu kuanzisha mazumgumzo kwenye private message. sababu wanazijua wao wenyewe.

mimi nimeamua kuchagua utaratubu wa kutoruhusu hali hiyo na ndio maana pm yangu ni inaccessible na simlazimishi yoyote kuniiga.

uzuri wa jf version ya miaka hii inakupa option mbalimbali za kulimit private details kwenye profile page yako. na ndicho nilichofanya.
View attachment 2588840View attachment 2588842
Ni pm
 
Back
Top Bottom