Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Kufunga 'PM' ni ishara ya kuwa mchoyo na mbinafsi

Kuna mengine ya chumbani, hayaongelewi kwenye kuku wengi
Waambie wenzako wapunguze makasiriko, hasa ambao wanasema waliofunga pm ni malaya!!!
Yaani hasira za watu kuwafungia pm, wanatukana, utakuaje malaya na umefunga pm? Wako sawa kichwani?
Ukiona mtu kafunga pm, jua ana wake mmoja anayempenda sana. Hatufungui 🔒
 
Waambie wenzako wapunguze makasiriko, hasa ambao wanasema waliofunga pm ni malaya!!!
Yaani hasira za watu kuwafungia pm, wanatukana, utakuaje malaya na umefunga pm? Wako sawa kichwani?
Ukiona mtu kafunga pm, jua ana wake mmoja anayempenda sana. Hatufungui 🔒
Wamependa hiyo picha na kujaribu kuipeleka katika uhalisia, wakiamini labda ndio ulivyo; ebu wawekeee picha ya ajabu ajabu hawatakusumbua
 
Eti uchoyo mbona ukiomba mtu akusaidie kufyeka,kukata ,kung'oa visiki,kulima,kuandaa shamba ,kupalilia hakuna wanaojitokeza sema wakati wa mavuno na vikiwa ghalani ndio wanajifanya kuwa wema na wanatunga maneno ya kutaka kugawana ulichovuna kwa jasho na damu ,machozi pia na maumivu mwenyewe,uliamka asubuhi saa 9:30 asubuhi mwenyewe muda huo hawakuwepo. Ila sioni neno la kuwatungia hao watu ambao hawajitoi Ila Kuna jina la kuwaita watu waliamua kula maumivu yao wenyewe.
 
Nitaweka ya mwanaume, ila hata nikiacha si nimefunga? Haina shida tena maisha ni raha mstarehe...
Tatizo unatutesa sisi wanaume rijali, kwa kuona mtu halisi/picha huwa tunatamani na baadaye ndio upendo ufuata.
Kwa kulinda hisia za wengine, weka picha ata ya mtu mwenye jicho moja, hakuna atakayekusumbua.
 
Eti uchoyo mbona ukiomba mtu akusaidie kufyeka,kukata ,kung'oa visiki,kulima,kuandaa shamba ,kupalilia hakuna wanaojitokeza sema wakati wa mavuno na vikiwa ghalani ndio wanajifanya kuwa wema na wanatunga maneno ya kutaka kugawana ulichovuna kwa jasho na damu ,machozi pia na maumivu mwenyewe,uliamka asubuhi saa 9:30 asubuhi mwenyewe muda huo hawakuwepo. Ila sioni neno la kuwatungia hao watu ambao hawajitoi Ila Kuna jina la kuwaita watu waliamua kula maumivu yao wenyewe.
Hiyo ndio asili ya binadamu
 
Umalaya ni wako endelea kujifanya bikira Maria humu huku ukidhani umejificha saana mmbwa wewe
Mbwa unaogopa nitakumalizia mabwana au sio? Wewe mwenyewe umepatikana kwenye umalaya, maisha yako unayaendesha ukitegemea huo huo umalaya ila ulivyo kichwa maji upo hapa kuninyooshea kidole na hata hujui nafananaje ila unataka kujikuta unanijuaaa. Huu upuuzi wako anzia kwenye familia yako wakanye waache umalaya wanaleta vitu vya hovyo kama wewe. Hapo ulipo una pancha kila mahala nzi kama wote na wala hujishtukii unajileta leta tu. Acha shobo na usiowajua nenda kazibe mipancha hiyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukinitukana unapunguza uchungu uliokushika? Ukinitukana unaongeza 000 kwenye acc yako? Ukinitukana kuna faida yoyote unapata we kibagadu? Uwanja ni wako tukana matusi yote ukimaliza angalia kama uchungu uliokushika umepungua kama bado tafuta njia nyingine hapa umebugi. Maccalio mdebwedo wee tena unikomeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Punguza hasira, pata kahawa kidogo utakaa sawa
 
Back
Top Bottom