Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Waambie wenzako wapunguze makasiriko, hasa ambao wanasema waliofunga pm ni malaya!!!Kuna mengine ya chumbani, hayaongelewi kwenye kuku wengi
Wamependa hiyo picha na kujaribu kuipeleka katika uhalisia, wakiamini labda ndio ulivyo; ebu wawekeee picha ya ajabu ajabu hawatakusumbuaWaambie wenzako wapunguze makasiriko, hasa ambao wanasema waliofunga pm ni malaya!!!
Yaani hasira za watu kuwafungia pm, wanatukana, utakuaje malaya na umefunga pm? Wako sawa kichwani?
Ukiona mtu kafunga pm, jua ana wake mmoja anayempenda sana. Hatufungui π
Upo humu miaka mingi sana, hujui kama hiyo ipo?? π ππ€£π€£π€£ Jf pesa tena...watu wachoyo utawajua tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upo humu miaka mingi sana, hujui kama hiyo ipo?? [emoji28][emoji28]
Kwani umalaya wako mpaka uufanyie JF?Sasa anaufanyaje umalaya na hapatikan?
Nitaweka ya mwanaume, ila hata nikiacha si nimefunga? Haina shida tena maisha ni raha mstarehe...Wamependa hiyo picha na kujaribu kuipeleka katika uhalisia, wakiamini labda ndio ulivyo; ebu wawekeee picha ya ajabu ajabu hawatakusumbua
Tatizo unatutesa sisi wanaume rijali, kwa kuona mtu halisi/picha huwa tunatamani na baadaye ndio upendo ufuata.Nitaweka ya mwanaume, ila hata nikiacha si nimefunga? Haina shida tena maisha ni raha mstarehe...
Hiyo ndio asili ya binadamuEti uchoyo mbona ukiomba mtu akusaidie kufyeka,kukata ,kung'oa visiki,kulima,kuandaa shamba ,kupalilia hakuna wanaojitokeza sema wakati wa mavuno na vikiwa ghalani ndio wanajifanya kuwa wema na wanatunga maneno ya kutaka kugawana ulichovuna kwa jasho na damu ,machozi pia na maumivu mwenyewe,uliamka asubuhi saa 9:30 asubuhi mwenyewe muda huo hawakuwepo. Ila sioni neno la kuwatungia hao watu ambao hawajitoi Ila Kuna jina la kuwaita watu waliamua kula maumivu yao wenyewe.
Nitaweka picha yangu mwenyewe soon...Tatizo unatutesa sisi wanaume rijali, kwa kuona mtu halisi/picha huwa tunatamani na baadaye ndio upendo ufuata.
Kwa kulinda hisia za wengine, weka picha ata ya mtu mwenye jicho moja, hakuna atakayekusumbua.
Kama italeta taharuki, bora usiweke tuNitaweka picha yangu mwenyewe soon...
Kwan wewe umalaya wako unaufanyia wapi? UnawashwaKwani umalaya wako mpaka uufanyie JF?
Nifungulie basi mimi peke yangu tu.Nimeiona, watu wachokozi tu. pm za watu za nini? Wakati hapa jukwaani unachat utakavyo π π π π π π π
Ongea hapa unachotaka kuniambia π€£π€£π€£π€£π€£π€£Nifungulie basi mimi peke yangu tu.
ππ
Basi usijali haina shida,Ongea hapa unachotaka kuniambia π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Thank you my friend The IcebreakerBasi usijali haina shida,
Good luck n' all the best.
π
Umalaya ni wako endelea kujifanya bikira Maria humu huku ukidhani umejificha saana mmbwa weweKwan wewe umalaya wako unaufanyia wapi? Unawashwa
Mbwa unaogopa nitakumalizia mabwana au sio? Wewe mwenyewe umepatikana kwenye umalaya, maisha yako unayaendesha ukitegemea huo huo umalaya ila ulivyo kichwa maji upo hapa kuninyooshea kidole na hata hujui nafananaje ila unataka kujikuta unanijuaaa. Huu upuuzi wako anzia kwenye familia yako wakanye waache umalaya wanaleta vitu vya hovyo kama wewe. Hapo ulipo una pancha kila mahala nzi kama wote na wala hujishtukii unajileta leta tu. Acha shobo na usiowajua nenda kazibe mipancha hiyo.Umalaya ni wako endelea kujifanya bikira Maria humu huku ukidhani umejificha saana mmbwa wewe
Punguza hasira, pata kahawa kidogo utakaa sawaUkinitukana unapunguza uchungu uliokushika? Ukinitukana unaongeza 000 kwenye acc yako? Ukinitukana kuna faida yoyote unapata we kibagadu? Uwanja ni wako tukana matusi yote ukimaliza angalia kama uchungu uliokushika umepungua kama bado tafuta njia nyingine hapa umebugi. Maccalio mdebwedo wee tena unikomeeee
Sent using Jamii Forums mobile app