To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Wanaume halisi mpo ila mshakuwa na familia zenu....nasi singlemoms hatutaki kuwaumiza wanawake wenzetuTunawahitaji, tatizo wanaume halisi tupo wachache
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaume halisi mpo ila mshakuwa na familia zenu....nasi singlemoms hatutaki kuwaumiza wanawake wenzetuTunawahitaji, tatizo wanaume halisi tupo wachache
Tunashea hivyo hivyo ili maisha yasogeeWanaume halisi mpo ila mshakuwa na familia zenu....nasi singlemoms hatutaki kuwauliza wanawake wenzetu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu wengi kama wewe hapa JF hawana uwezo wa kufikiri kidhahania.
Yani kwa kuwa umeona natetea haki za watu kufunga PM, hapo hapo uka assume kizembe kwamba nimefunga PM.
Mimi PM yangu ipo wazi sijawahi kuifunga, ni wewe na papara zako tu za ku assume imefungwa.
Na nikiamua kufunga nafunga tu, maneno yako hayana uzito wa kunifanyia maamuzi mimi.
Nyie mpo so thirsty mnaweza kuwabaka watu.
Kumlazimisha mtu kufungua PM ni aina fulani ya ubakaji wa mitandaoni.
You are just cyber stalkers, low key online rapists.
Tulieni wanawake ni wengi mno hamtowamalizaTunashea hivyo hivyo ili maisha yasogee
Mimi huwezi kwa sababu PM yangu iko open halafu huna wherewithal.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo nimekubaka!!
Duh..
We muache ajichanganye,atajua mwenyewe akinikaushia siku ya kuonana na Mimi nakausha😎😎atajua hajui 😂
Kila mwanaume halisi akiwa na wanawake 20; hesabu si inaweza kukaa sawa?Tulieni wanawake ni wengi mno hamtowamaliza
Babe😳😳😳😳😳Ngoja tu wafunge, wanatusaidia sana, wangefunga wote huenda tungeokoka kwa mengi 😁😁
PM kuwa wazi ni temptation kwa Me walio wengi, ila ukijaribu na kuona PM ina kufuli ni "kuvuja kwa pakacha..."!
Dada vipi,Leo mood imeswing?Aniache,Leo siyo siku ya kuchokozwa....
AjipangeImeisha hiyo kazi anayo
Hii hali ya mvua mvua sio nzuriDada vipi,Leo mood imeswing?
Leo nabaka jitu cuteDada vipi,Leo mood imeswing?
Tulieni mkuuKila mwanaume halisi akiwa na wanawake 20; hesabu si inaweza kukaa sawa?
Hapana kuna watu Wanakuja inbobo na mavitu ya ajabu ajabu that is why tunafungaKufunga 'PM' ni dalili ya uchoyo; ni sawa na kupika chakula kizuri na kitamu, na kujifungia ndani na makufuli makubwa, ili mgeni yeyote atakayependa kuja kukutembelea, asiweze kuingia na kula chakula hicho ulichokiandaa; kwa namna nyingine tunasema huo ni uchoyo.
Pia inazuia mgeni kuja kukuletea habari njema; kwa sababu ataishia nje ya mlango, na hatoweza kuja kukuhabarisha habari njema zenye tija.
Ni sawa pia na kujenga nyumba na kuzungushiwa na ukuta mrefu; ili wapitao bara barani wasiweze kuingia ndani; na mara nyingi waliojifungia ndani, wanakuwa hawana furaha mpaka pale watakapo toka nje ya uzio na kujumuika na wapita njia n.k
Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'PM'
Sasa Hali ya mvua imefanyaje?Hii hali ya mvua mvua sio nzuri
Nani kafunga pm?Kwa ujumla, hiyo ni dalili ya uchoyo; fungueni 'PM'
Wanashindana nazo eti!Tulieni mkuu
Cool!Leo nabaka jitu cute
Kama ni mijitu ya upinde, unawafukuza kwa hoja tuHapana kuna watu Wanakuja inbobo na mavitu ya ajabu ajabu that is why tunafunga