Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Tumeumizwa sana na 7800, sio kwamba hatujiamini
Hivi na wewe wangu umefunga PM eeh. sijawai wazaga hili, umenizoesha vibaya, ila sawa funga na loku zote, usimwamini mtu wengine ni matapeli, wahuni na wanyang'anyi.
How are you my lady?
 
Nimefreeez last seen
Nmehide blue ticks
Nmehide second tick
Nmehide jina langu kuappear kwenye viewers list
Nmehide typing and recording VN
๐Ÿ˜
Mwisho utaji hide mwenyewe, utajitafuta hutojiona ukitaamaki 40s game over. Watu wanang'oa magori, mabaharia wameamisha kiwanja....utawaita kwa filimbi.
 
Hivi na wewe wangu umefunga PM eeh. sijawai wazaga hili, umenizoesha vibaya, ila sawa funga na loku zote, usimwamini mtu wengine ni matapeli, wahuni na wanyang'anyi.
How are you my lady?
Niliwafungia wazee wa 7800 mhenga wangu..
Nakuamini wewe tuu na pakunipata unapajua!

Mimi sijambo kabisaa my dear, hofu kwako tuu uliye mbali na upeo wa macho yangu..
 
Niliwafungia wazee wa 7800 mhenga wangu..
Nakuamini wewe tuu na pakunipata unapajua!

Mimi sijambo kabisaa my dear, hofu kwako tuu uliye mbali na upeo wa macho yangu..
Napafahamu kabisa si unaona siku hizi sikulaumu tena, wala sikuongopei tena kishamba, ni love-to-love.
Mi niko poa kabisa ila niko uku milimani kuna kaubaridi hivi, wishing ungekuwepo kwa karibu hapa...
 
Habarini wana JF.

Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi.

Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu wabadili faragha zao lah! Nataka kuwasilisha kulingana na maono yangu.

Baadhi yetu tumepiga kufuli kwenye akaunti zetu humu ndani kila mmoja akiwa na sababu zake za msingi na anazojua yeye mwenyewe kwanini afanye hivyo. Ila nikiwa nimetulia nimewaza na kuona huu ni uoga na kutokujiamini kwa mtu. PM unaweza kupokea taarifa kutoka kwa mtu na siyo lazima ujibu ila anaweza kusoma alichoandikiwa.

Sasa baada ya kutafakari kwa kina nimeona sina haja ya kufanya hivyo kwani nina option mbili (kujibu au kutokujibu).

Neno langu siyo sheria.
Mlala ebereshe.jpg
 
Back
Top Bottom