Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

Kufunga PM ni uoga na kutokujiamini.

emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
. tuombeanee
Toroka hapo twende tukale
 
Ndo hako hako kapumbavu. Eti nina miaka 23 nimekua nakutamani sana mavi mavi sijui nimetumia ID mpya.
Wanaona watu wako cheap kiasi hichi sijui.
Me alinitumia eti let's make a deal, kalivyo kajinga eti kanadanganya kako na miaka 23
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ye ndio alisababisha me nikajifungia zangu PM
 
Habarini wana JF.

Poleni na majukumu makubwa ya kujenga taifa, nina suala nataka niwasilishe kwenu japo ni suala la mtu binafsi.

Neno langu siyo sheria hivyo sina maana kwamba nataka watu wabadili faragha zao lah! Nataka kuwasilisha kulingana na maono yangu.

Baadhi yetu tumepiga kufuli kwenye akaunti zetu humu ndani kila mmoja akiwa na sababu zake za msingi na anazojua yeye mwenyewe kwanini afanye hivyo. Ila nikiwa nimetulia nimewaza na kuona huu ni uoga na kutokujiamini kwa mtu. PM unaweza kupokea taarifa kutoka kwa mtu na siyo lazima ujibu ila anaweza kusoma alichoandikiwa.

Sasa baada ya kutafakari kwa kina nimeona sina haja ya kufanya hivyo kwani nina option mbili (kujibu au kutokujibu).

Neno langu siyo sheria.
Ni haki yao ya kikatiba.
 
Una dhambi sana wewe. Hadi gari ikawa nzito ikabidi aigawe tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Fanya mpango tukale hali yangu mbaya
Nilikua nampa dozi sio kwa kuwaone wahidi wa watu kulee
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
... meifataa iko hapa roundabout. Natoka next 3hrs vumilia... tuna kimbia? ,..
 
Me alinitumia eti let's make a deal, kalivyo kajinga eti kanadanganya kako na miaka 23
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ye ndio alisababisha me nikajifungia zangu PM
Unakajua? Hata kwangu kalikuja, kalinifanya ninyong'onyee yaani nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu kumbe kanaingia kwa kila mtu?
 
Unakajua? Hata kwangu kalikuja, kalinifanya ninyong'onyee yaani nilijiuliza maswali mengi yasiyo na majibu kumbe kanaingia kwa kila mtu?
Nakajua dada, basi kataaila kama ndio zake kutembelea kila PM ya mdada na mtongozo wa rangi moja, kanashusha bonge ya text 😂 na li I'd lake jipya.
Hakana convincing power kabisa, hakajui kudanganya, kapo kapo tu kama kopo la chooni 😂😂🚶
 
Nakajua dada, basi kataaila kama ndio zake kutembelea kila PM ya mdada na mtongozo wa rangi moja, kanashusha bonge ya text [emoji23] na li I'd lake jipya.
Hakana convincing power kabisa, hakajui kudanganya, kapo kapo tu kama kopo la chooni [emoji23][emoji23][emoji124]
Weee hebu niambie hata kwa code
 
Back
Top Bottom