Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Uongozi wa Airtel Tawi la Mlimani City wamulikeni wafanyakazi wenu,

Baadhi yao ni wezi wakubwa.

Tena wizi wao wa wazi bila hesabu

Nita deal nao!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akilinjema,
Kwaiyo mkuu umepigwa na watoa huduma wa Aitel M-City ambao awajajisajili kwa alama za vidole ?
 
Ndugu do you think, kama ningekuwa naenda nida na karatasi zangu, nasajiri napata kadi au namba in 24hrs au 48hrs unadhan kungekuwa na shida?

Kupata namba ni 21days tena uende kwenye office zao ukae 12hrs kwenye folen,

Kupata chance ya kupiga Picha tu ni ishu hapo uhamiaji napo ni ishu folen hiko ndio watu wanaona usumbufu

Hawawezi kufungia line Hata kidogo kama wao ndiyo wanawajibika
 
Ndugu do you think, kama ningekuwa naenda nida na karatasi zangu, nasajiri napata kadi au namba in 24hrs au 48hrs unadhan kungekuwa na shida?

Kupata namba ni 21days tena uende kwenye office zao ukae 12hrs kwenye folen,

Kupata chance ya kupiga Picha tu ni ishu hapo uhamiaji napo ni ishu folen hiko ndio watu wanaona usumbufu

Hawawezi kufungia line Hata kidogo kama wao ndiyo wanawajibika
 
Hapa cheating itakuwepo tu kwa wale jamaa wenye kazi zao, no matter how secure hiyo inbuilt control, inbuilt ya kadi za bank ikoje? Na mbona watu wanapigwa atm kila siku
Sasa wewe dhumuni lako hasa hasa ni nini, hivi una akili kweli ya kupambanua mambo au ndio unatoka katika ile jamii ya pinga pinga tu??
Hivi adhabu zinapowekwa zinawekwa kwa ajili gani??? Ji tafakari halfu ujitambue
 
Sasa wewe dhumuni lako hasa hasa ni nini, hivi una akili kweli ya kupambanua mambo au ndio unatoka katika ile jamii ya pinga pinga tu??
Hivi adhabu zinapowekwa zinawekwa kwa ajili gani??? Ji tafakari halfu ujitambue
Hawa jamaa ni sawa ukimbize mwizi ukiwana likitambi kubwaa afu mwizi akuzindi mbio ajichanganye mtaani na raia wema kisha uje na wazo kukamata watu wote mtaa mzima badala ya kufanya mazoezi ya kuondoa likitambi lako
 
Acha upunguani UK, kwanza line unainunua kwa kutumia bank card na bank card huwezi ipata bila kutoa id iwe driving licence, passport etc , hivyo kwa kutumia vitu hivyo tayari wameisha dukua taarifa zako. Tatu wanakuuliza post code yako na he no.hapo wanapata physical address ukifanya uhalifu unanyakuliwa kama drone imekufuata
Mkuu huu mchakato hauwezi punguza uhalifu!
1...mpaka sasa kuna watu kibao wenye laini zilizosajiliwa kwa vitambulisho vya nida ambavyo si vyao na wenyenavyo hawajui!
Kwa hilo huoni kama muhalifu atafanya uhalifu kwa kujiamini zaidi?

2...kabla ya zoezi hili la nida tulisajili line kwa kutumia vitambulisha vya mpiga kura na driving license pasport nk.

Ni nn kimetokea? Vitambulisho tulivyotumia kabla haviaminiki? Kama hivi wanavyotoa sasa ambavyo baadae kdg tu watakuja na kusema haviaminiki tena!

Kumbuka kitambulisho cha taifa cha kabla ya hiki cha sasa!

3...simu kabla haijawekwa line huwa tayari ina namba yake, na mtu akienda kinyume na mapenzi yao kwenye mitandao huwa wanakamata mara moja!

Ni mhalifu yupi ambae wameshindwa kumpata mpaka mpaka watusumbue kiasi hiki?

4...Kuna tishio gani kubwa la uhalifu mpaka watoe deadline!?

Ushauri wangu.... Kama wana nia njema wangejikita zaidi kutoa vitambulisho na kuhakikisha kila mtanzania anayestahili anakuwanacho kama walivofanya kwenye vitambulisho vya mpiga kura.

Sio kulazimisha kwa kuwafungia watu line!
Wakati hata uwezo wao wa kutoa vitambulisho bado ni mdogo sana!

Hivi vitambulisho kazi yake ni kusajilia line!?

Nimeshaanza kutoa hela zangu zote zilizopo kwenye line zangu, nitaziweka nyumbani. Nimeshanunua line moja ya kuchakachua na nyingine ya safaricom, nitatumia mpaka hali ikiwa shwari. Ikifika hiyo tr. 20 wafunge tu!



Sent using Redmi Y2
 
Akilinjema,
Kwaiyo kuu umepigwa na watoa huduma wa Aitel M-City ambao awajajisajili kwa alama za vidole ?


Yani alienda mtu kutoa hela akakosea password, wakamwambia aondoke aende nyumbani baada ya masaa 24 atapata ujumbe wa kumwambia sasa anaweza kuendelea na huduma,

Muda ukapita hakupata meseji yoyote akaamua kurudi tena pale ofisi ya airtel mlimani city,

Kufika pale wakamwambia azunguuke kidogo madukani atapata ujumbe wa kurekebisha,

Wakati anazinguuka dukani akapigiwa simu mtu akajitambulisha kutoka airtel mlimani city,

Akamwambia unatatizo hili, sasa fuata maelekezo yangu,

Akafuata maelekezo sababu alitoka hapo muda si mrefu, kumbe ndo anaibiwa ,

Kutahamaki hela haipo.

Akawafuata wakaanza kumbabaisha hadi leo.

Lakini watailipa ile hela nakwambia,

Kwanza cha kujiuliza yule mwizi amejuaje shida ya Yule mwananchi?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe dhumuni lako hasa hasa ni nini, hivi una akili kweli ya kupambanua mambo au ndio unatoka katika ile jamii ya pinga pinga tu??
Hivi adhabu zinapowekwa zinawekwa kwa ajili gani??? Ji tafakari halfu ujitambue

Hakuna mtu anapinga zoezi, watu wanapinga the ol process, 21days kusubiri, kukaa kwenye mafolen sehemu zote, nida, uhamiaji, mpaka kwenye picha,

Why Itake 21days kupata number?
 
Wewe ndo hujitambui kabisa! Vijana wanaosajili line wanakuuzia line iliosajiliwa na namba ya nida bila shida yeyote!
Mi ninayo moja ya voda.
Una ushaidi wa data zako kutumika kusajili simu ya mtu mwingine au mawazo yako ya kupinga pinga tu, hakuna jema dunia hii ila unalofikiria wewe?

Unajua in built controls zilizoko kwenye hiyo system ya usajili au wewe unaona tu hapo kwa huyo anayekusajili

Sent using Redmi Y2
 
Yani alienda mtu kutoa hela akakosea password, wakamwambia aondoke aende nyumbani baada ya masaa 24 atapata ujumbe wa kumwambia sasa anaweza kuendelea na huduma,

Muda ukapita hakupata meseji yoyote akaamua kurudi tena pale ofisi ya airtel mlimani city,

Kufika pale wakamwambia azunguuke kidogo madukani atapata ujumbe wa kurekebisha,

Wakati anazinguuka dukani akapigiwa simu mtu akajitambulisha kutoka airtel mlimani city,

Akamwambia unatatizo hili, sasa fuata maelekezo yangu,

Akafuata maelekezo sababu alitoka hapo muda si mrefu, kumbe ndo anaibiwa ,

Kutahamaki hela haipo.

Akawafuata wakaanza kumbabaisha hadi leo.

Lakini watailipa ile hela nakwambia,

Kwanza cha kujiuliza yule mwizi amejuaje shida ya Yule mwananchi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeishachoka hii nchi uzushi mwingi kila siku kupasuana vichwa nitafuta line ya Safaricom isiwe tabu
 
Walisha zisajili kabisa. Hapa naona serikali ingetoa tahadhari kwa wananchi. Yani waharifu wanaendelea kuusoma mchezo.
Ndio maana lowasa alisema Elim Elim Elim unashindwa kuelewa sentence ndogo kama hiyo, what I mean ww ukienda kijijin kwenu ukampa mtu elf 50 akusajilie line because huna nida do u think atakataa? Na hata leo hii ukiwaona wale jamaa wanaotembea na sim cad mtaan wambie huna nida na unataka kujisajiri kwa vidole ni elf kumi tu ishu inakamilika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huu mchakato hauwezi punguza uhalifu!
1...mpaka sasa kuna watu kibao wenye laini zilizosajiliwa kwa vitambulisho vya nida ambavyo si vyao na wenyenavyo hawajui!
Kwa hilo huoni kama muhalifu atafanya uhalifu kwa kujiamini zaidi?

2...kabla ya zoezi hili la nida tulisajili line kwa kutumia vitambulisha vya mpiga kura na driving license pasport nk.

Ni nn kimetokea? Vitambulisho tulivyotumia kabla haviaminiki? Kama hivi wanavyotoa sasa ambavyo baadae kdg tu watakuja na kusema haviaminiki tena!

Kumbuka kitambulisho cha taifa cha kabla ya hiki cha sasa!

3...simu kabla haijawekwa line huwa tayari ina namba yake, na mtu akienda kinyume na mapenzi yao kwenye mitandao huwa wanakamata mara moja!

Ni mhalifu yupi ambae wameshindwa kumpata mpaka mpaka watusumbue kiasi hiki?

4...Kuna tishio gani kubwa la uhalifu mpaka watoe deadline!?

Ushauri wangu.... Kama wana nia njema wangejikita zaidi kutoa vitambulisho na kuhakikisha kila mtanzania anayestahili anakuwanacho kama walivofanya kwenye vitambulisho vya mpiga kura.

Sio kulazimisha kwa kuwafungia watu line!
Wakati hata uwezo wao wa kutoa vitambulisho bado ni mdogo sana!

Hivi vitambulisho kazi yake ni kusajilia line!?

Nimeshaanza kutoa hela zangu zote zilizopo kwenye line zangu, nitaziweka nyumbani. Nimeshanunua line moja ya kuchakachua na nyingine ya safaricom, nitatumia mpaka hali ikiwa shwari. Ikifika hiyo tr. 20 wafunge tu!



Sent using Redmi Y2
Tatizo hujui system inavyo fanya kazi na maana ya ku sign au kuweka kidole chako kwenye hiyo system , badala ya kuishia na kitambulisho
 
Yani alienda mtu kutoa hela akakosea password, wakamwambia aondoke aende nyumbani baada ya masaa 24 atapata ujumbe wa kumwambia sasa anaweza kuendelea na huduma,

Muda ukapita hakupata meseji yoyote akaamua kurudi tena pale ofisi ya airtel mlimani city,

Kufika pale wakamwambia azunguuke kidogo madukani atapata ujumbe wa kurekebisha,

Wakati anazinguuka dukani akapigiwa simu mtu akajitambulisha kutoka airtel mlimani city,

Akamwambia unatatizo hili, sasa fuata maelekezo yangu,

Akafuata maelekezo sababu alitoka hapo muda si mrefu, kumbe ndo anaibiwa ,

Kutahamaki hela haipo.

Akawafuata wakaanza kumbabaisha hadi leo.

Lakini watailipa ile hela nakwambia,

Kwanza cha kujiuliza yule mwizi amejuaje shida ya Yule mwananchi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Umetapeliwa kijinga kwa sababu wewe ni mpuuzi.

Huyo tapeli aliyekupigia simu huenda alikuwa pale pale mlimani city ulipokuwa unahangaika kutoa pesa, akawa anakuchora tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani alienda mtu kutoa hela akakosea password, wakamwambia aondoke aende nyumbani baada ya masaa 24 atapata ujumbe wa kumwambia sasa anaweza kuendelea na huduma,

Muda ukapita hakupata meseji yoyote akaamua kurudi tena pale ofisi ya airtel mlimani city,

Kufika pale wakamwambia azunguuke kidogo madukani atapata ujumbe wa kurekebisha,

Wakati anazinguuka dukani akapigiwa simu mtu akajitambulisha kutoka airtel mlimani city,

Akamwambia unatatizo hili, sasa fuata maelekezo yangu,

Akafuata maelekezo sababu alitoka hapo muda si mrefu, kumbe ndo anaibiwa ,

Kutahamaki hela haipo.

Akawafuata wakaanza kumbabaisha hadi leo.

Lakini watailipa ile hela nakwambia,

Kwanza cha kujiuliza yule mwizi amejuaje shida ya Yule mwananchi?


Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ulivyo mpuuzi na lofa, ukawapa na password.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom