Youngstunna
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 266
- 300
Na je line yako ikifungwa ? Unaweza kuifungua kwa kuisajili baada ya kupata kitambulisho ?Kuwatupia NIDA lawama kwa zoezi la zimamoto ni kuwaonea,je wanapitia changamoto zipi? Wanna raslimali za kutosha? vitendea kazi je.
Wakifungia line wao ndo watakaoathirika kwa kukosa mapato,kama walivyodhani kuwasomesha watu namba wao wangebaki salama nao wanaisoma hakuna makusanyo yamepungua,check nssf,nhc,nk zilivo hoi baada ya kuziuwa private sector.
JK alikusanya bn 800 clean tax bila kuzipora halmashauri na taasisi zingine mapato yao.
Sent using Jamii Forums mobile app