Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Umetapeliwa kijinga kwa sababu wewe ni mpuuzi.

Huyo tapeli aliyekupigia simu huenda alikuwa pale pale mlimani city ulipokuwa unahangaika kutoa pesa, akawa anakuchora tu!

Sent using Jamii Forums mobile app


Hujanisoma vyema katikati ya mistari , umekurupuka sasa hapo mpuuzi ni nani?

Hebu rudia kusoma nilichoandika!

Halafu wewe ukute ndiye yule jamaa aisee maana umehamaki sana!

Sasa mimi nitazaa na wewe [emoji123][emoji123]

Nitainunua hii case nakwambia!

Ni ama arudishiwe hela yake la sivyo jamaa itamgharimu sana si vema nikafunguka kwa kila kitu hapa nikaharibu uchunguzi.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujanisoma vyema katikati ya mistari , umekurupuka sasa hapo mpuuzi ni nani?

Hebu rudia kusoma nilichoandika!

Halafu wewe ukute ndiye yule jamaa aisee maana umehamaki sana!

Sasa mimi nitazaa na wewe [emoji123][emoji123]

Nitainunua hii case nakwambia!

Ni ama arudishiwe hela yake la sivyo jamaa itamgharimu sana si vema nikafunguka kwa kila kitu hapa nikaharibu uchunguzi.




Sent using Jamii Forums mobile app

😂 😂 😂 Jamaa amekupa mwanga wa upelelezi wako
 
Kweli nchi yangu TZ kuna wakati inanihuzunisha sana ! Kwani kwenye vitambulisho vya kura si alama za vidole na jina na namba za simu ziliandikwa? Inashindikana nini kukusanya hizo data zote, pamoja na data kwenye leseni, na kwenye kumbukumbu za ajira ziwekwe kwenye kanzidata (DATA BASE) moja? Mbona wataalamu wa kufanya hayo wako kwa maelfu? Kwa mtindo huo watakaotaka kuandikishwa wawe tu ni wale wasio na vitambulisho vya kura?

Pili hata katika kura zingewekwa mashine kama ATM ili ukikweka kadi yako ya kura na kuandika namba au jina la mtu unayetaka kumchagua, chaguo lako liende moja kwa moja kwenye DATABASE ya matokeo? Au mambo yamekwepeshwa "kwa sababu fulani"?
 
Lete uthibitisho
Mabadiliko huja na maumivu,kama serikali imeona sawa basi acha yaje
Tunataka kuondokana na wale nitumie kwenye namba hii na wanaofoji matamko
Kwenye uchaguzi wa 2015 tulipata tabu sana mara tuambiwe lowassa kajitoa,jioni unaona tweet ya sefu kajitangazia urais
Bila ya kusajili line kwa alama za vidole,watanzania huwawezi
Ndugu natamani usajili wa laini kwa alama za vidole utusaidie kwa haya lakini ukweli ni kwamba siamini kama utapunguza hili tatizo maana mwazon tuliambiwa kuwa usajili fulani ukifanyika basi wizi utakoma kwa njia za simu, ila hamna nakumbuka zamani tulikuwa tunanunua laini tunaweka tu kwenye sim ndo wakaleta usajili mara kupiga picha ila hadi leo wizi uko pale pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bana likasi,
Hawa jamaa ni wasumbufu sana walianza kufungia passport wanakupa passport imeandwikwa mwisho wa matumizi 2025 hata mwaka bado utasikia tamko maruku kutumia Passport za zamani utafikiri mpya wanakupa bure twishazoe usumbufu wazime hata leo
Kusajili line awajaanza Leo walla kesho sio mwisho next time watasajili kwa bloodgroup
 
Whatapp watasema ili kutumia jisajiri TCRA
Mimi nimejipanga kutumia whatspp watu wangu wate nimeisha waambia wanifatute kwenye whatspp bahati mzuri mtaani kwetu kuna free wifi za kutosha buku buku za mawasiliano ya simu nazipangia matumizi mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
h
Mkuu huu mchakato hauwezi punguza uhalifu!
1...mpaka sasa kuna watu kibao wenye laini zilizosajiliwa kwa vitambulisho vya nida ambavyo si vyao na wenyenavyo hawajui!
Kwa hilo huoni kama muhalifu atafanya uhalifu kwa kujiamini zaidi?

2...kabla ya zoezi hili la nida tulisajili line kwa kutumia vitambulisha vya mpiga kura na driving license pasport nk.

Ni nn kimetokea? Vitambulisho tulivyotumia kabla haviaminiki? Kama hivi wanavyotoa sasa ambavyo baadae kdg tu watakuja na kusema haviaminiki tena!

Kumbuka kitambulisho cha taifa cha kabla ya hiki cha sasa!

3...simu kabla haijawekwa line huwa tayari ina namba yake, na mtu akienda kinyume na mapenzi yao kwenye mitandao huwa wanakamata mara moja!

Ni mhalifu yupi ambae wameshindwa kumpata mpaka mpaka watusumbue kiasi hiki?

4...Kuna tishio gani kubwa la uhalifu mpaka watoe deadline!?

Ushauri wangu.... Kama wana nia njema wangejikita zaidi kutoa vitambulisho na kuhakikisha kila mtanzania anayestahili anakuwanacho kama walivofanya kwenye vitambulisho vya mpiga kura.

Sio kulazimisha kwa kuwafungia watu line!
Wakati hata uwezo wao wa kutoa vitambulisho bado ni mdogo sana!

Hivi vitambulisho kazi yake ni kusajilia line!?

Nimeshaanza kutoa hela zangu zote zilizopo kwenye line zangu, nitaziweka nyumbani. Nimeshanunua line moja ya kuchakachua na nyingine ya safaricom, nitatumia mpaka hali ikiwa shwari. Ikifika hiyo tr. 20 wafunge tu!



Sent using Redmi Y2
Hawaelew hao mkuu,mwenyew hapa cjasajil ila kuna jamaa nshamset kesho anaenda nisajilia,je n wangap wanatumia njia hii ambayo xo sahihi?
 
Na Elius Ndabila

Ikumbukwe kuwa kesho ni tarehe 20-1-2020 ambayo ndiyo siku ambayo TCRA wanapaswa kustisha huduma ya laini zote za simu ambazo hajisajiliwa kwa kutumia vitambulisho vya Utaifa vinavyotolewa na NIDA. Kustishwa kwa laini hizo kunakuja baada ya Mh Rais Magufuli kuongeza siku 20 ambapo mara ya kwanza ilitakiwa watu hawa wasimamishiwe huduma tangu tarehe 31-12-2019.

Taarifa zilizopo zinaonyesha kuwa Watanzania wengi hawana vitambulisho wala namba za NIDA hivyo namba zao hazijasajiliwa huku tatitizo kubwa likiwa vijijini. Watu wengi wanaelekeza lawama zao kwa watu wa NIDA ambao wamechelewesha zoezi hili. Inasemekana kuna watu ambao tangu mwanzoni mwa mwaka jana walichukuliwa alama na kupigwa picha lakini hadi sasa hawajui hatima ya vitambulisho vyao wala namba. Kuonyesha kuwa NIDA nao hawako serious juzi nilipigiwa simu na rafiki yangu toka Sumbawanga ambaye alitumiwa ujumbe wa NIDA lakini wa jina la mtu mwingine.

Kufungiwa kwa laini za simu hapo kesho kunaibua maswali mengi huku mgogoro mkubwa ukielekezwa wizara ya fedha. Serikali ya awamu ya tano imejipambanua sana katika adhima ya ukusanyaji wa kodi. Wakati awamu ya nne ilikuwa inakusanya bilioni 800+ kwa mwezi awamu hii ya tano hadi kufikia mwezi desemba ilikuwa inakusanya 1.7 + trillion kwa mwezi. Ongezeko hili la makusanyo ya kodi linatajwa pia kuchochewa na matumizi ya simu. Serikali kupitia wizara ya fedha wamekuwa wanakusany kodi nyingi kupitia watu kufanya miamala kwenye simu na huduma ya kununua vocha ambapo serikali inakata kodi.

Kufungiwa kwa laini za simu kutapunguza makusanyo ya kodi. Wakati Mh Mpango akiwa anafanya juhudi za kukusanya 2 trillion kwa mwezi sasa NIDA wanafanya juhudi za kumrudisha nyuma. Kufungiwa kwa laini ni bomu kubwa kwa Uchumi wa Taifa. Kutoa kuwa na crisis kubwa kwenye makusanyo ya kodi ambayo ilikuwa inapatikana kupitia makato mbalimbali kwenye simu zikiwepo VAT.

TCRA wao watatimiza wajibu wa kisheria kuzuia huduma za laini zote ambazo ni illegal lakini KIUCHUMI inamrudisha nyuma Waziri MPANGO katika vita hii ya Uchumi. Rai yangu bado ni kuendelea kuliomba serikali kutazama up ya suala hili linaloenda kuathiri Watanzania wasio na hatia kwani wenye hatia ni NIDA. Makosa ya NIDA yanaenda kuathiri mamilioni ya Watanzania wengi wasio na hatia. Kuna madhara mengi ya kuwastishia watu huduma ya laini zao nje na mambo ya KIUCHUMI.

Serikali ikiwa Kama mlezi wa watu ninadhani hili Mh Rais alitazame upya. Mwanzo nilishauri ikiwezekana NIDA waende wakajifunze NEC au kauzia mitambo ya NEC kwani Data nyingi zinafanana.
 
Elius W Ndabila,
Kwani kuna haja gani ya kyfanya haraka zoezi la usajiri au wanapiga mikwara tu?? Kwani mtu atakayenunua laini tar 21 januari hatasajiri kwa kuwa usajiri umefungwa?? Kama atasajiri sasa hataka ya nini kuzima laini za watu.

Vita ya uchumi ccm vs ccm.

Hopeless leaders
 
Kimsingi nida tunawafanya mbuzi wa kafara, scape goat, sheria ya tcra cap306 ya 2010 ibara ya 93 ibara ndogo ii hailazimishi mtu atumie kitambulisho Cha nida kusajili simu, hili shinikizo la nida linatoka wapi?

Tumemwona JPM akisajiri simu yake Airtel na hakuna afisa wa nida alikuwa pale kushuhudia hivyohivyo jk kasajiri line yake ya tigo hakuna ofisa wa nida aliyekuwepo kuhakiki taarifa zake.

Hapa napata shida na uwezo wa kufikiri wa watanzania
 
Kwani kuna haja gani ya kyfanya haraka zoezi la usajiri au wanapiga mikwara tu?? Kwani mtu atakayenunua laini tar 21 januari hatasajiri kwa kuwa usajiri umefungwa?? Kama atasajiri sasa hataka ya nini kuzima laini za watu.

Vita ya uchumi ccm vs ccm.

Hopeless leaders
Atasajili lakini kwa kutumia alama za vidole.
 
Kuwatupia NIDA lawama kwa zoezi la zimamoto ni kuwaonea,je wanapitia changamoto zipi? Wanna raslimali za kutosha? vitendea kazi je.

Wakifungia line wao ndo watakaoathirika kwa kukosa mapato,kama walivyodhani kuwasomesha watu namba wao wangebaki salama nao wanaisoma hakuna makusanyo yamepungua,check nssf,nhc,nk zilivo hoi baada ya kuziuwa private sector.

JK alikusanya bn 800 clean tax bila kuzipora halmashauri na taasisi zingine mapato yao.
 
Back
Top Bottom