Kufungia simu Serikali itapoteza zaidi ya 30% ya kodi toka makampuni ya simu

Na je line yako ikifungwa ? Unaweza kuifungua kwa kuisajili baada ya kupata kitambulisho ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sheria ya tcra utambua aina 4 za vitambulisho driving license,national id,passport na kitambulisho cha kura ambavyo navo kuvipata ni lzm uweke fingerprint,kote huko zipo fingerprint zetu Ina maana hawana database hadi watusumbue kutupangisha foleni.
 
Taarifa kamili ipo serikalini kuhusiana na zoezi hili ,kwa maana faida na hasara,yenyewe ndio yenye maamuzi ya nini kifanyike

Zingine ni mbwembwe tu hapa jukwaani
Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna vitu unachanganya....NIDA hawasajili Sim card..wao wanatoa vitambulisho vya Taifa ambavyo hutumika katika zoezi la usajili ..hivyo kama kitambulisho unacho kama hao uliowatolea mfano, utaenda moja kwa moja kwa wakala/ofisi ya mtandao unaotumia na kusajili sim card yako
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mie najiuliza Nani aliyewaambia watu waende nida? Mtu ana leseni ana passport ana tin bado anapanga foleni nida? Hivi Yale madarasa ya ngumbalu ya nyerere yaliishia wapi? Ujinga unarudi kwa kasi
 
Usajili unataka kitambulisho cha nida na fingerprint. Huo ndo utaratibu
Ndio mie najiuliza Nani aliyewaambia watu waende nida? Mtu ana leseni ana passport ana tin bado anapanga foleni nida? Hivi Yale madarasa ya ngumbalu ya nyerere yaliishia wapi? Ujinga unarudi kwa kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usajili unataka kitambulisho cha nida na fingerprint. Huo ndo utaratibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sheria ipi? Tusiwafanye watanzania wote wapumbavu na hao wapumbavu wanaenda wanajitambua taratibu, social transformation huanza taratibu, ipo siku ujinga utawatoka Kama sio nyinyi watoto wenu au wajikuu wenu, hakuna nchi iliyokuwa na amani Kama Libya miaka ya sabini leo wako wapi?
 
Wanasema kipaumbele chao ni Usalama wanataka data zako zote zijulikane hili usijekuhatalisha usalama hata ikibidi hata hayo unayoongea wayadukuru wayajuwe usijifiche.Therefore usalama ni zaidi ya uchumi.eti?
 
Afisa wa NIDA anahusika vipi usajili wa laini za simu? Wao wana namba za kitambulisho cha NIDA, ndio kinatakiwa tu!
 
Unanunua bila kuulizwa post code mkuu. Na vile vile unaweza kwenda kununua used phone maduka ya mitaani na hata Sunday Market.
Hizo lyca mobile unatumia kupiga internal call or outside the country ??
Na hiyo handset unayotumia yenye imei number nayo uliinunua cash bila kuulizwa jina na post code??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanunua bila kuulizwa post code mkuu. Na vile vile unaweza kwenda kununua used phone maduka ya mitaani na hata Sunday Market.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unanunulia wapi kwa wale wanayo uza used??
Na wanayo uza used ni kwamba ukitoka msala atakaye shikwa ni yeye aliywnunua kwanza, labda utoke ushahidi mwingine kuonyesha yeye sio muhusika bali mtu mwingine kwa kutumia cctv ambazo wenzetu wanazo sisi hatuna, sasa sijui ungependa kusema tunawaharibia watu kazi zao
 
Wacha Mkuu Tabutupu huyo Jiwe ajidanganye

Afunge hizo line za simu, aanze kuona hiyo "impact" yake
Hakuna kitu wala usimtishe, wasiojitambua ndio wamefungiwa line zao, kwanza unachotakiwa kujua waliofungiwa karibu wote ni tegemezi na simu zao ni za umbea tu, hakuna mwenye simu alikuwa anaitumia kwa mambo ya maana akafungiwa line yake
 
Kwani laini zimeshafungwa?!..hii yangu mbona inatamba tu mwanzo mwisho..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…