Kwanini hamtaki kukubali hao matapeli wapo hata katika ukristo? Ikitokea kwenu mnawatenga na usilam ila ikitokea katika ukristo mnachukulia ukristo ndivyo ulivyo! Punguzeni chuki. Ukristo umetamka wazi: watakuja manabii wa uongo nao watadanganya wengi.Ukiona hivyo huyo siyo Muislam, ni shetani mkubwa anayejificha kwenye joho la Uislam.
Matapeli hao wamekudanganya kuwa ni waganga wa kienyeji, wanatumia advantage ya ujinga wenu.
Wajinga ndiyo waliwao.
Mbona hiyo ipo hata katika Uislam? Vita ya misikiti kila siku, wanajenga shule na vyuo lkn bei zake si rafiki kwa waumini masikini. Kifupi binadamu ni walewaleMakanisa yote yana ujanjaujanja sana ndani yake,juzi nimesikia KKKT wamegawanyika na sasa kuna kanisa jipya la KKKT Afrika Mashariki ambalo limeanzishwa na maaskofu waliokuwa KKKT,iyo tisa Kuna shule ambazo wanajenga kwa sadaka za waumini ila muumini masikini hawezi kusomesha mwanae kwasababu ada ni mlima na wala hawasomeshi Bure watoto wa waumini masikini!!
Hakunaga injili ya kuuza mafuta, keki na maji ya upako. Ni utapeli kama mwingineHapana mwamposa hajafanya jambo lolote baya. Injili yake ni nzuri inaele
Mwoposa anapewa nguvu na Serikali nothing else hakuna cha kusema mafuta ya Upako sijui keki ya Upako sijui Udongo wa Upako maji ya Upako vyote fiksi tupu Serikali ndio inayompa airtime akizingua Serikali ndio Mwisho wake wa kupewa airtime km anabisha aizingue Serikali alafu mtaniambia km ana Mafuta Upako au ana Mafuta ya UkokoUmenena kweli kabisa, watanzania tunazidi ujinga na upumbavu. Anachokifanya Mwamposa ni utapeli na unyang'anyi usiokuwa wa kutumia nguvu. Serikali imeamua kuungana naye kuwatapeli wananchi. Matatizo mengi yanayopelekwa pale yangepata utatuzi kama serikali ingeliwekeza vya kutosha kwenye huduma za kijamii.
Wewe tulia alafu njoo huku nikuongezee vitasa sio unakimbia kimbia kila mtu unamparamia tulia sehemu mojaMbona hiyo ipo hata katika Uislam? Vita ya misikiti kila siku, wanajenga shule na vyuo lkn bei zake si rafiki kwa waumini masikini. Kifupi binadamu ni walewale
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Kumbe wachawi mpo wengi, na mwaka huu wachawi wote mtakufa na uchawi wenu wote utakufa, daima Nuru itashinda Giza. Na huo ndo ukweli, Mungu ana nguvu kuliko shetani huo ndo ukweli, hutaki kajinyonge.Mwamposa afungiwe haraka sana
Yes serious and sure and correct haandred pasentiAisee, are u serious?
Wewe tu kupumua ni muujiza.Kazi nzuri sana uliona wapi mtu anakupa form ujaze matatizo na datails zako zote kisha amrushie so called Nabii kwa WhatsApp kisha aseme anakutabilia .
Hakuna muujiza hata mmoja uliwahi kupata majibu ya ukweli ni uongo tu
Hakuna tabili za kweli ni uongo mtupu mambo ya kutengeneza tu
USSR
Hata kujamba na kutoa Hewa chafu ni muujiza tosha hakuna anaejamba alafu akatoa Hewa ya manukato hata huyo Mwoposa akijamba pale mazobauni Hewa inayotoka ni ya ukaa asije akawaambia ushuzi wake ni wa Upako mkaanza kujambiwaWewe tu kupumua ni muujiza.
Hata Mungu ana akili na maarifa, anajua ni Kwa namna ipi na miinya ipi ya kuwalinda watumishi wake, anajua Kila kitu na mbinu zp atumie ili watumishi wake wadum ktk kueneza injili.Mwoposa anapewa nguvu na Serikali nothing else hakuna cha kusema mafuta ya Upako sijui keki ya Upako sijui Udongo wa Upako maji ya Upako vyote fiksi tupu Serikali ndio inayompa airtime akizingua Serikali ndio Mwisho wake wa kupewa airtime km anabisha aizingue Serikali alafu mtaniambia km ana Mafuta Upako au ana Mafuta ya Ukoko
Haya mwambieni aikorofishe Serikali sasa uone nguvu iliyopo kwenye Mafuta km inafanya kazi apokonywe tu kibari cha kufanya mikutano kwisha HabariHata Mungu ana akili na maarifa, anajua ni Kwa namna ipi na miinya ipi ya kuwalinda watumishi wake, anajua Kila kitu na mbinu zp atumie ili watumishi wake wadum ktk kueneza injili.
Hawawezi kumpokonya maana wanajua umuhim wake na huduma zake. Hata Israel na marekani hawawezi kukorofishana hata siku moja maana wanajua umuhim wao Kwa waoHaya mwambieni aikorofishe Serikali sasa uone nguvu iliyopo kwenye Mafuta km inafanya kazi apokonywe tu kibari cha kufanya mikutano kwisha Habari
Hawa wajinga huwezi kuwaelewesha wakaelewa. Kwasababu ujinga wao umekomaa na kuwa upumbavuHuyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
Hakuna injili yoyote anayohubiri Mwamposa, ni ujinga wetu tu ndio unamnufaisha. Yaani zaidi ya 40% ya muda ni ushuhuda, 55% ni kutoa sadaka na matoleo, 5% ni kukupitisha kwenye biblia. Yaani kwa akili yako huwezi kukaa ukaisoma hiyo biblia ukapiga magoti na kumuomba na kumshukuru muumba wako. Unaamua tu kumkabidhi akili yako yote mtu usiyeijua hata background yake.Hata Mungu ana akili na maarifa, anajua ni Kwa namna ipi na miinya ipi ya kuwalinda watumishi wake, anajua Kila kitu na mbinu zp atumie ili watumishi wake wadum ktk kueneza injili.
Hautokuta msikiti ukifanya hivyo, hayo utayakuta kanisani tu.Kwanini hamtaki kukubali hao matapeli wapo hata katika ukristo? Ikitokea kwenu mnawatenga na usilam ila ikitokea katika ukristo mnachukulia ukristo ndivyo ulivyo! Punguzeni chuki. Ukristo umetamka wazi: watakuja manabii wa uongo nao watadanganya wengi.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hongera sana, Wewe na mumeo mpaka sasa mumekua na Watoto wangapi kwenye Ndoa?AlhamduliLlah, miaka 42 nyuma.
Na ukichukulia udongo ni madinikiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
Huu ujinga umejaa sana kwetu wakristo, na unakua kwa kasi sana.Hautokuta msikiti ukifanya hivyo, hayo utayakuta kanisani tu.
Tuoneshe msikiti mmoja uanafanya hivyo, kabla haujafungiwa na serikali, sisi wenyewe Waislam tutaufungia.Kwa nini hao masheikh hawafungiwi na serikali??
We Mzee mboni unajichanganya changanya namna hio umepatwa na nini maana huku UPO na huko upo fyuzi zipo Sawa kweli kichwani humo?Kwanini hamtaki kukubali hao matapeli wapo hata katika ukristo? Ikitokea kwenu mnawatenga na usilam ila ikitokea katika ukristo mnachukulia ukristo ndivyo ulivyo! Punguzeni chuki. Ukristo umetamka wazi: watakuja manabii wa uongo nao watadanganya wengi.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app