Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
WAHUNIII WALEEEEKwanza niseme kwamba lile halikuwa kanisa bali pango la walaghai na wanyang'anyi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WAHUNIII WALEEEEKwanza niseme kwamba lile halikuwa kanisa bali pango la walaghai na wanyang'anyi.
Alivyosikiaaaa wanakaribia kumkamatqa akaanza kualika madc na das na ocd kanisani kwakeee akijua watamsaidiaa mbwahuyuProbably. Mtu akiunga mkono CCM hata akiwalisha watu ma.vi bado CCM itamkumbatia.
Msetianoo fc niulizee mm mpwaShuhuda nyingi ni za UONGO
Na ndooo chanzo cha kufungiwa mkuu huyu jamaa n best wangu sana anajua siri nyingi za kibokoAnavaa hivi kuficha sugu za mkologo
Kuna siku alimwambia mchungaji mmoja hapo kanisani kwake wakati anamtimua muda wa ibada kiwa yeye kiboko ya wachawi anamzidi kila kitu hadi dhambi
USSR
PI INAMHUSU NAWAZA IMMIGRATION SIJUI WANAFANYA NN MPAKA SASAKulifungia hilo genge lake tu haitoshi huyu ataifishiwe mali zote alizzopata kitapeli kisha arudishwe kwao DRC. Na kuna mwingine pale Mwenge Mpakani anaitwa James Nyakia huyu naye ni tapeli mkubwa anayedai kufanya vipimo vya X-Ray,Utra Sound,MRI na CT Scan kwa kutumia viganja vya mikono yake,anawapiga hela ndefu watu na analaza watu hapo kilingeni kwake
uko sawa ile barabara Magufuli hakuijenga kwa sasa ni ya mzee wa Upako siku moja alikwenda kusali pale akatoa hiyo ahadi.Barabara huwezi iita ya mzee Upako wakati wanatumia wananchi😂😂😂
Wapiii wakati serikali ili freeze accounts zake ndio wakazichukua wakajengea hiyo barabara? Mbona Mzee wa upako aliumwa kisukari kabisa
Kavunja Sheria gani? na Jamhuri Haina dini, kama kafanya Makosa ashitakiwe Kwa sheria zinazohusika na mahakama ndio iamue sio waziri au RaisiMwamposa afungiwe haraka sana
Load badala ya LORD! Kweli huyu ni tapeli!Nani alimdanganya. Kua weupe. Ndo uzuri??? Hawa wakongo Wana shida sana kwa mtazamo wangu mwanzo alikua mzuri sana amejichubua Amelia betina ni kibako ya mashoga
Sawa sawaNjia sahihi kwa mujibu wa maandiko ni watu kuitafuta kweli wenyewe. Kimsingi huduma nyingi sana ziko kinyume na maandiko, sema nyingine zimekiwa extreme. Serikali haina mamlaka ya kiroho kuamua nani ana hubiri kweli na nani anasema uongo, hiyo ni standard ya neno pekee. Labda kama serikali yetu ina dini.