Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Kufungiwa kwa kanisa la “Kiboko ya Wachawi” pongezi kwa Serikali

Katika dini duniani hakuna dini ambayo imechezewa kama dini ya Ukristo.
Dini pekee ambayo ni ya haki na haina unafiki ni uislam labda na zingine sizijui
*** kwenye uslam huwezi sikia mtu anasema msikiti wangu.Unaweza jenga msikiti na bado ikafika mahali ukatolewa na kamati kama hufuati taratibu
*** kwenye uislam huwezi shinikizwa kwenye ndoa ambayo ina mgogoro mkubwa kisa tu kikifungwa mbinguni na duniani kimefungwa ndoa ni hadi kifo
*** kwenye uslam ndoa zao hawafungi kwa manjonjo kikubwa maelewano
*** kwenye uislam huwezi sikia mtu anajiita nabii akitokea mtu wa hivyo kichwa na shingo yake ni halali.
***kwenye uislam nabii wanaotambulikia wakubwa ni Issa bin Mariam(YESU) na Mtume Mohamedi na tena YESU ni zaidi ya nabii Muhamad yeye ni Masiha.
*** kwenye uislam sadaka hailazimishwi
***kwenye uislam nyumba ya ibada inaheshimiwa sana watu wote ni sawa mistaari ya mbele au kiti flani sio kwa ajili ya muheshimiwa flani tu hata ukiwa waziri mkuu ukichelewa unakaa nyuma
***kwenye uislam huwezi sikia mafuta yaliyobarikiwa tena na binadamu mwenzako
***kwenye uislam kiumbe mwanamke ni kiumbe anayehishimika mno na kusetiriwa kutokana na maumbile yao kinyume watu wanavyofikiri na hata mavazi ya mwanamke anafunika viungo vyake sio dini zingine mtu anakwenda kanisani na kimini
***kwenye uislam huwezi sikia eti marehemu alikuwa haendi kusali hivyo watoa huduma hawaendi mtu anasetiriwa Allah ndio mwenye hukumu huko mbele.
*** kwenye uslam huwezi ona maiti inadhalilishwa inaachwa ikae muda mrefu kila mtu anaiangalia badala ya kusetiriwa haraka.

Namkubali sana raisi Paul Kagame nchi kwake ili uwe mhubiri uonyeshe cheti cha teolojia
 
Mzee wa Upako alijengewa hadi barabara na Magufuli
😂😂😂
Wapiii wakati serikali ili freeze accounts zake ndio wakazichukua wakajengea hiyo barabara? Mbona Mzee wa upako aliumwa kisukari kabisa
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
Acha usenge
 
Kama ni hivyo basi huo ni ushenzi na Mungu hayupo katika ushenzi huo. Hiyo ni abrakadabra tu. Mambo ya imani yanakuwa na EFD mashine na kodi inachukuliwa? Hata kama kaisari anapewa chake lakini si kwa namna hiyo
Uko sawa upstair mkuu
 
Niliwahi kuandika humu.

Lakini ushauri ukapuuzwa.

Kuwe na bodi maalum ya kuregulate haya mambo.
 
Huyo zile Sadaka zote anazilipia VAT na wale Waumini wanapewa risiti kabisa kila wakituma muamala EFD mashine IPO standby kila mtu ananunua mafuta na maji anakatiwa risiti kutoka TRA kiufupi Jamaa anaiingizia Serikali mapato Ile Siku aliyouza Udongo pale Taifa Serikali iliingiza Pesa nyingi sana TRA kwa kupitia EFD mashine kwani kila kijiko watu walilipia na risiti za EFD walipewa kwa hio Serikali kumfungia mtu km huyu mfanyabiashara mwenye mbwinu ya kucheza na akili za wasioelewa haiwezi kamwe sababu TRA inaingiza mapato mengi kupitia yeye akipiga show tu akajaza watu laki 5 TRA wanachekelea maana Pesa inaingia nyingi
Kwa hiyo na Kiboko ya Wachawi akilipa kodi kanisa lake litafunguliwa?
 
Kwa hiyo na Kiboko ya Wachawi akilipa kodi kanisa lake litafunguliwa?
Aende akasome kwanza mwenyewe kashasema hakuna kanisa lenye nguvu km kanisa katoriki wengine wachungaji njaa njaa tu yeye mwenyewe akiwemo kwa hio aahamie ukatoriki akabatizwe awe muumuni aachane na usanii wa Congo DR hii ni Bongo
 
Ni na fikiri Kila mtu anauhuru wake wa kuabudu kulingana ya katiba
 

Serikali kweli IPO kazini Kwa kuchukua hatua ya haraka pale inapobainika mahali watu wanaenda isivyo. Kiboko ya wachawi amekuwa akimfanyia kazi ya Mungu kama kufanya uganga na ushirikina ufanyikavyo.


Pia soma: DOKEZO - Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

Ukristo umekuwa ukidharirishwa sana na watu wanaojiita watumishi wa Mungu lakini wakifanya mambo ya ajabu.

Tumeeona athari za imani potofu pale watu wengi wamekuwa wakipoteza maisha. Nampongeza sana rafiki yangu na aliyekuwa CR wangu pale chuoni Mr. Emmanuel Robert, msajili wa jumuiya za kijamii Kwa kazi nzuri inayoendelea kufanya. Unamuwakilisha vema Dr. Samia
EMMANUEL ROBERT

MUNGU AKUBARIKI SANAAAAAA

NISPOKUKUTA MBINGUNI NA RUDI

UMEOOKOAAAA WENGI SAANAAAA

HUYU MBWA SINAAAA HATA WIKI NIMETUTAKAKANANA NAE NA NAMBA YAKEE 0744 184 460

Huyuu jamaa nilijua mshenzi sana line zake za mawasiliano kasajili Hassan wamba mkifika kwenye pesa anakupa line za jna la Dominic mamaaa....zake


0744

Serikali kweli IPO kazini Kwa kuchukua hatua ya haraka pale inapobainika mahali watu wanaenda isivyo. Kiboko ya wachawi amekuwa akimfanyia kazi ya Mungu kama kufanya uganga na ushirikina ufanyikavyo.


Pia soma: DOKEZO - Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

Ukristo umekuwa ukidharirishwa sana na watu wanaojiita watumishi wa Mungu lakini wakifanya mambo ya ajabu.

Tumeeona athari za imani potofu pale watu wengi wamekuwa wakipoteza maisha. Nampongeza sana rafiki yangu na aliyekuwa CR wangu pale chuoni Mr. Emmanuel Robert, msajili wa jumuiya za kijamii Kwa kazi nzuri inayoendelea kufanya. Unamuwakilisha vema Dr. Samia
WIKI 2 ZIILIZOPITA NILIMTUMIA MSG UKIENDELEA NAHUDUMA YAKOO MWEZI HUU NIITE MBWAAAA

AKAJIBU HUNIJUI TU WEWE M NAMBA NYINGINE

BOSS KBK YA WACHAWI AKA HASSAN WAMBAAAAA UPOOOO.....MUNGU ADHIHAKIWIII KAKAAAA WALE MAKANYAGA ULIOWACHEZEA LEOO WANALIA HAWAJUI PAKWENDAAA


KOSAA KUBWA NILIMWAMBIA N HILI
1.ACHA MUNGU AKUKWEZE NDUGUU USILAAZIIMISHE KUJIKWEZAA
II2.USIJILAZIMISHE KUWA KAMA MHUBIRI FLAN WALE WOTE WAKIANZA CHINI WAKAJINYENYEKEZA KWA MUNGU AKAWAINUA WEWE UNALAZIMISHA UKISALI SEMA MUNGU WA KIBOKO WA WACHAWI WE NANII??

INA PAST ALIANZA NAE KANISAN AKIWA HABA WATU JAMAA AKAWA ANAPITA NYUMBA ZA WATU KUHUBIRI

KAMA MLIONA MAHUBIRI FLAN AKAMDHALILILISHA AKAMFUKUZA IBADA IKIENDELA TOKA NJE NIMESEMA TOKA NJE

NIKAMWAMBIA NDUGU HUYU BWANA KAKUJAZIA WATU LAKN UMEAMUA KUMDHALILISHA MUNGU ANAJIBU DUNIANI

AKAJIBU UNANIJUA WEWE HATA WEWE NAWEZA KUKUONDOA SAA YOYOTE HAHAHAA KBKOOOÒO NKASITA KWANZA KUJIBU NKASEMA ASIJE TUMIA WASIOJULIKANA

SIKUTATU NKAPATA NGUVU YA KUMJIBU HAPO NILIFUNGA NA MAOMBI KAMA ANATUMIA UCHAWI KWISHNA

NAONAAA WAMAMAAAA WALIOKUWA WAKILIPWA 20000 NA 10000 WADONDOKEANE AKIWAPULIZIA PUMZI KWENYE MAIKI PAMBAVUU ZENU MKASALI MAKANISA YENU OG

0744 184 460

ANAJIITA HASSAN WAMBA

AJABU UKIFIKA KWENYE MAKUBALIANO YA PESA ANAKUPA LINE INA JINA LA DOMINIC NYOKO HUYUUUU
 
NIWACHEKESHEEEE TU JAMAA AKINGIAA WALIKUWA WANAIMBAAQ YEULEEE YRULEE KIBOKO AMEINGIAA EEH YEULEE TEULEEE KIBOKO AMEINGIAAA EEH MPASUA WACHAWIII TENA HUYOOO AMEINGIAA EEEH


JANA NKAMCHEKESHA MDADA MMOJA DALALI WAKE WA KUTAFUTA LAK 5 ZA WATU NKAMWIMBII YEULREE YRULEEEE KIBOKOOO AMEONDOKAAA YEULEE YEULEEE KIBKOOO AMEKIMBIAA EEEHH

KIJANAA ALIBANANISHWA 18 NISTORY NDEFU YA KUFURAHISHA ALIJUA KUPELEKA MADC OCD MAKANISAN KWAKE NA DAS WATAMSAIDIA KUIDHINISHA HUOOO UCHAFU WAKEE
 
It was just a matter of time. Kiboko ya wachawi amefanya sana usanii kwa muda mrefu. Kuna mtu wangu wa karibu aliniambia jinsi huyu jamaa anavyonunua watoa ushuhuda feki kwa lengo la kuvutia biashara yake. Mpuuzi sana huyu jamaa aisee!! Sina hamu naye.
Mpwaaaqaqa

Huyuuu msengeee alitaka kunidandiaa gfriend wangu mmoja nkamtukanaaa mbaya na namba yake ya siri 0744 184 460

Akajifanya sio yeye nkamwambiaa mbwa wewee nakujua hadi sautiyakooo na hii namba naipeleka kunakooo

Baadaee nikamtumia salamu hapa kati

Nahisi amepokeaaaaaa miujiza aliokuwa akiisubiriiii
 
Back
Top Bottom