Guardiola
JF-Expert Member
- Jun 21, 2024
- 406
- 936
Ni muigizaji sio Mchungaji ushanielewa!?
Naam mkuu upo sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muigizaji sio Mchungaji ushanielewa!?
Analipa kodi TRA kupitia Kampuni yake ya Maji na MafutaPunguza chuki ustaadhi, Mwamposa kakukosea kitu gani!?
Nabii Tito bado yule chifu wenu nae kufungua kanisa la kishetani kule mmemuonaYaani yule bora wenzie kina Mwamposa ila yeye sura imekaa kitapeli na mkorogo wake
Nilipoona kamkaribisha Nabii Tito nikajua tu hapa hakuna MchungajiEti nimeona nyumbani kwako kwamba Mumeo ana kusaliti 😁😁
Chifu wa nani mkuu mimi nitoe kwenye huyo Uchafu ni Muislam safi siabudu ujinga ujinga.Nabii Tito bado yule chifu wenu nae kufungua kanisa la kishetani kule mmemuona
Jamaa bwege sana aisee; hajui hata kudanganya.Eti nimeona nyumbani kwako kwamba Mumeo ana kusaliti 😁😁
Chifu wenu yule wa tiktok kufungua kanisa anamuabudu shetaniChifu wa nani mkuu mimi nitoe kwenye huyo Uchafu ni Muislam safi siabudu ujinga ujinga.
Ajabu na watu wanamuitikia Ameen,Mimi ningekuwa karibu yake ningempiga ngumi ya mdomo 😁Jamaa bwege sana aisee; hajui hata kudanganya.
Yule mtu ana matatizo ya Afya ya akiliChifu wenu yule wa tiktok kufungua kanisa anamuabudu shetani
Sio mchezo wengine wenye pigo km zake warudi nyuma hatua 10 sasaKwanza niseme kwamba lile halikuwa kanisa bali pango la walaghai na wanyang'anyi.
SafiSerikali kweli IPO kazini Kwa kuchukua hatua ya haraka pale inapobainika mahali watu wanaenda isivyo. Kiboko ya wachawi amekuwa akimfanyia kazi ya Mungu kama kufanya uganga na ushirikina ufanyikavyo. Ukristo umekuwa ukidharirishwa sana na watu wanaojiita watumishi wa Mungu lakini wakifanya mambo ya ajabu. Tumeeona athari za imani potofu pale watu wengi wamekuwa wakipoteza maisha. Nampongeza sana rafiki yangu na aliyekuwa CR wangu pale chuoni Mr. Emmanuel Robert, msajili wa jumuiya za kijamii Kwa kazi nzuri inayoendelea kufanya. Unamuwakilisha vema Dr. Samia
Mnamuita Chifu Godolavu sijui ndio huyo kufungua mkanisa anamuabudu shetani himself na kibari kapewaYule mtu ana matatizo ya Afya ya akili
Asee kuna watu wanakera we acha tu! Anatumia ulaghai wa hali ya juu sana kuwalaghai akina mama na kuwaibia shekeli zao kwa njia za kidanganyifu.Ajabu na watu wanamuitikia Ameen,Mimi ningekuwa karibu yake ningempiga ngumi ya mdomo 😁
Jamaa anakwambia kanisani kwake binti akikaa vibaya ana angalia vyupi yake na yeye yupo kwa ajili ya sadaka ya waumini wake😁Kwanza niseme kwamba lile halikuwa kanisa bali pango la walaghai na wanyang'anyi.