njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Za kulipa baunsa lake mwarabu fighter je😆Sasa hela za mikorogo atapata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za kulipa baunsa lake mwarabu fighter je😆Sasa hela za mikorogo atapata wapi?
Sio Nabii Eliya wa Siloam huyo?Kwahiyo aliuza udongo kabisa na mkanunua na akalipa tra😅😅😅😅.
Na ukute ulivyokua mpumbavu wewe umenunua udongo huku una Shamba au ardhi heka 5+ unaenda kudanganywa na udongo wa upako toka wapi?
Kuna siku nimekunywa mafuta bakuli zima sijui mnaita ya upako kwa nabii mmoja maarufu tu ashafariki na yalikua mafuta ya kawaida tu ya mzeituni toka Italy.
ye kadanganya watu na wamelipa eti mafuta yaupako.yametoka kwa yesu.
Na walianguka wengi tu pale.
mi alishindwa kunidondosha
Mpaka hapa naandika sijaona mabadiliko yoyote yaliyoletwa na mafuta yale.
Kwahiyo aliuza udongo kabisa na mkanunua na akalipa tra😅😅😅😅.
Na ukute ulivyokua mpumbavu wewe umenunua udongo huku una Shamba au ardhi heka 5+ unaenda kudanganywa na udongo wa upako toka wapi?
Kuna siku nimekunywa mafuta bakuli zima sijui mnaita ya upako kwa nabii mmoja maarufu tu ashafariki na yalikua mafuta ya kawaida tu ya mzeituni toka Italy.
ye kadanganya watu na wamelipa eti mafuta yaupako.yametoka kwa yesu.
Na walianguka wengi tu pale.
mi alishindwa kunidondosha
Mpaka hapa naandika sijaona mabadiliko yoyote yaliyoletwa na mafuta yale.
Mkuu ni hawa kama si TB Joshua itakua yule mmalawi.Sio Nabii Eliya wa Siloam huyo?
Ndio hicho watu wasichoelewa,leo hii ukimweleza mtu haamini chochote mpaka aende huko kwa manabii feki.Mambo ya KIROHO watu wengi wanadanganywa Sana kwa kukosa ufahamu mzuri.
Ni vizuri MTU hata Kama afahamu vizuri mambo ya kiroho afatishe mafundusho ya dini yake yatamsaidia.
Watu makanisani wanasumbuliwa na psychological issue na sio sipiritual issue Ila hawajui.
Mfano swala la hela MTU anashindwa kutulia kuwa na financial management kuweka akiba uwekeza na Ku-Live below ur means.
Then MTU huyo Anataka aombewe apone kutoka katika ukata.
Ukija katika issue ya magonjwa , magonjwa MTU anajua huu ni ugonjwa Ila hataki kuutibu wakati hata mwamposa huwa anatibiwa hospalini.
So it is better MTU akawa na ufahamu mzuri katika spiritual issue then akawa na ufahamu katika Psychological issues . na baada ya hapo MTU ajifunze financial education.
issue ya kupona kiimani IPO Ila inafanya Kazi kupitia subconscious mind na sio maji ya upako wala udongo.
secret society
Ujumbe mzuri sana.Ndio hicho watu wasichoelewa,leo hii ukimweleza mtu haamini chochote mpaka aende huko kwa manabii feki.
Haijaanza jana,mpaka anakuja kakobe kulikua na wahubiri kama Esta pale mikocheni zamani sijui alifia wapi.
Tulikua tunapeleka gunia za sukari,mchele,maharage na maza huku home hatujui tutakula nini.
Ukiuliza maza anasema tumemtolea Mungu.
Sasa hapa home je
,'aah tulia mwanangu Mungu atatupa majibu".
Mpaka anakufa maza hatujapata majibu wala chochote zaidi ya kutoa.
Kanisani kusema ukweli mi muhudhuriaji mzuri tu,na ndipo imani yangu ipo.
Nasali kwa imani na sijali yuko nani mwongoza ibada.
Nashkuru Mungu ananipigania siku zote kusema ukweli.
Hajawai kuniangusha.
Hata hivyo sio kazi ya serikali kuamua kanisa lipi la kweli lipi la uongo. Serikali za kuzimu kujipatia madaraka ya ku-regulate ukristo ni kosa kubwa sana!!
Acha kujitoa akili na kuingiza siasa kula sehemu we bwege.Bila shaka atakuwa haungi mkono ccm
Ni hilo tu..na mleta uzi kutaka kutuonyesha hapa amesoma na msajili,tabia za uchawa wa Ki CCM: Mbona CCM inadhalilisha sana tu UKRISTO mpaka na UISLAMU??Mitume na Manabii wote hata Biblia na Msahafu vinakemea toka enzi uozo katika jamii kama, rushwa,wizi,uongo, umasikini, uuaji,ujinga, maradhi nk?Mbona CCM inayaiishi na kuyafanya mpaka zaidi ya hayo.?MBONA YENYEWE HAIJAFUTWA? Wananchi kila wanapoifuta kwa kura ina kwiba tena kura zao na kupindua matokeo.?Bila shaka atakuwa haungi mkono ccm
Lakini mhuni katoa ajira kwa vijana mabaunsa watakula wapi?Anavaa hivi kuficha sugu za mkologo
Kuna siku alimwambia mchungaji mmoja hapo kanisani kwake wakati anamtimua muda wa ibada kiwa yeye kiboko ya wachawi anamzidi kila kitu hadi dhambi
USSR
Aliunga sana+kujipendekeza kwa polisi na kuwapa helaBila shaka atakuwa haungi mkono ccm
Huyu hawezi kufungiwaMwamposa afungiwe haraka sana
Huo ni ujanja ujanja tu wanalipwa basi mara buku mbili mara tatu na sifa kibao eti anawalipa zaidi ya wabungeLakini mhuni katoa ajira kwa vijana mabaunsa watakula wapo?
Mkuu Mshana umeadimika sana. Tunaku miss.Huyu hawezi kufungiwa
Manabii wa uongo wametufikisha hapa......Hali ni mbayaMambo ya KIROHO watu wengi wanadanganywa Sana kwa kukosa ufahamu mzuri.
Ni vizuri MTU hata Kama afahamu vizuri mambo ya kiroho afatishe mafundusho ya dini yake yatamsaidia.
Watu makanisani wanasumbuliwa na psychological issue na sio sipiritual issue Ila hawajui.
Mfano swala la hela MTU anashindwa kutulia kuwa na financial management kuweka akiba kuwekeza na Ku-Live below ur means.
Then MTU huyo Anataka aombewe apone kutoka katika ukata.
Ukija katika issue ya magonjwa , magonjwa MTU anajua huu ni ugonjwa Ila hataki kuutibu wakati hata mwamposa huwa anatibiwa hospalini.
So it is better MTU akawa na ufahamu mzuri katika spiritual issue then akawa na ufahamu katika Psychological issues . na baada ya hapo MTU ajifunze financial education.
issue ya kupona kiimani IPO Ila inafanya Kazi kupitia subconscious mind na sio maji ya upako wala udongo.
secret society Kama Freemason na Illuminati wale jamaa wamewaacha mbali Sana watu wa dini kwakuwa wao wapo illuminated na enlightenment.
Tatizo Kuna kusingiziwa...Mara nyingi wachawi wanatetewa sana, hata mkimkamata anawanga, hakuna kesi, waganga wakiwaumbua, wao waganga wanashtakiwa, ndio maana wamekuwa wengi
Sasa mtu kama huyu , tunaenda wapi
Dah akili za watu zimepolwaKulifungia hilo genge lake tu haitoshi huyu ataifishiwe mali zote alizzopata kitapeli kisha arudishwe kwao DRC. Na kuna mwingine pale Mwenge Mpakani anaitwa James Nyakia huyu naye ni tapeli mkubwa anayedai kufanya vipimo vya X-Ray,Utra Sound,MRI na CT Scan kwa kutumia viganja vya mikono yake,anawapiga hela ndefu watu na analaza watu hapo kilingeni kwake